masoud mshahara
JF-Expert Member
- Mar 31, 2018
- 4,712
- 2,010
una mpangia Mungu cha kufanya? ww unayo yafanya anakupangia nan?Mungu alishindwa kufanya neno lake lieleweke na watu wote siku zote bila utata wa fasiri, tafsiri au kutaka dira?
Pia, alishindwa kulishusha hilo neno lake likae kwenye DNA zetu kila mmoja alijue kabla hajajua lugha na kusiwe na tatizo lolote la fasiri, tafsiri au dira?
Hujajibu swali.Hili swali nilishakujibu mara kadhaa wa kadhaa. Sipotezi tena muda tena katika hili.
Hii faida nyingine chukua,jifunze kuweka kitu mahala pake.
Yaani watu wanajadili kuhusu tarjama potofu ya aya 83 - 86 katika surat al- Ahkaf na yale yamuhusuyo mja mwema Dhulqarnayn wewe unaleta maswali yaliyojibiwa eti uthibitishiwe kama Allah yupo.
Huo ni utovu wa adabu.
Thibitisha hiyo logical consistency ndio njia bora ya kuthibitisha dai lako la uwepo wa mungu? na huo mfano wako alieua ndio anajua njia bora na ukitaka atakuthibitishia wacha kurukaruka thibitishaSuala si kwamba ni njia bora au si njia bora.
Suala ni, inathibitisha au haithibitishi?
Ukishaandika sentensi ukaiwekea alama ya kuuliza tu (?) kuonesha unahoji kitu, tayari umeshakubali logical consistency.
Sasa unaihoji logical consistency kama ina maana kwa kutumia logical consistency hiyo hiyo?
Ukiuliza hivyo nitakuuliza njia bora kwa kigezo gani? Unavyosema njia bora una maana gani?
Nikikupigikia misumari msalabani nikusulubu ufe baada yavmasaa nitakuwa nimekuua.
Pia naweza kukupiga risasi kichwani nikakuua kwa dakika tu.
Ipi njia bora ya kukuua?
Na hiyo isiyo bora haikuui?
Tufute aya kwa uelewaka mbovu unashindikwa kufasiri aya unatuletea habari za kuokotaHata kama wamegundua kwamba Mungu hakuwahi kusema hivyo kwamba Jua linachwea katika matope meusi,ni suala la kukiri tu hadharani na kufuta hiyo aya na kisha maisha yanaendelea.Kwani kuna shida gani kufuta hiyo aya katika Kurani na kubakisha yale yaliyo ya kweli?
Hapana. Simpangii. Naonesha kwamba hana logical consistency.una mpangia Mungu cha kufanya? ww unayo yafanya anakupangia nan?
Unajua utume wa Mud ulianzia wapi?
Toa utaratibu wa kupewa utume unaoeleweka mbona tena unakimbiakimbiaUnajua utume wa Mud ulianzia wapi?
Mkuu tulia mm nitakwenda nae sawa nijue akili yake inaishia wapKaka mtu hata kama humpendi jaribu kumfanyia uadilifu na kumuheshimu pia.
Kitendo cha kumuita mtume wetu "Mud" ni utovu wa adabu na si kitendo kizuri.
Sisi huyu ni mtume wetu tunampenda kweli kweli,tunamfata yeye na kumuadhimisha pia amani ya Allah iwe juu yake.
Huwa sipendi sana kujadiliana mijadala ya dini kwa kuchelea watu kama nyinyi huenda ukamtukaan kipenzi chetu na kumkosea adabu kama ufanyavyo wewe.
Mtume wetu aliudhiwa tangu alipokuwa hai na aliudhiwa pia baada ya kufa kwake,bali mpaka leo anaudhiwa.
Hala hala kaka ! Tuchunge heshima za watu.
Utume wa Muhammad amani ya Allah iwe juu yake ulianza alipotimiza miaka 40.
Unaweza kuthibitisha Allah yupo na si hadithi za watu tu?
Wapi? Weka nukuu yako ulipoimaliza hapa.Hii kazi nilishaimaliza kitambo kaka.
Niwie radhi mkuu.Kaka mtu hata kama humpendi jaribu kumfanyia uadilifu na kumuheshimu pia.
Kitendo cha kumuita mtume wetu "Mud" ni utovu wa adabu na si kitendo kizuri.
Sisi huyu ni mtume wetu tunampenda kweli kweli,tunamfata yeye na kumuadhimisha pia amani ya Allah iwe juu yake.
Huwa sipendi sana kujadiliana mijadala ya dini kwa kuchelea watu kama nyinyi huenda ukamtukaan kipenzi chetu na kumkosea adabu kama ufanyavyo wewe.
Mtume wetu aliudhiwa tangu alipokuwa hai na aliudhiwa pia baada ya kufa kwake,bali mpaka leo anaudhiwa.
Hala hala kaka ! Tuchunge heshima za watu.
Utume wa Muhammad amani ya Allah iwe juu yake ulianza alipotimiza miaka 40.
Wapi? Weka nukuu yako ulipoimaliza hapa.
Hata siku moja- katika mwezi wa Ramadhani mwezi 17, Jumatatu katika mwaka wa 40 ½ wa umri wake- mtume alimwona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumwona wapi katokea, akamwambia; “soma”. Mtume akamjibu; “Mimi sijui kusoma kwani sijapata kujifundisha kusoma.” Akaja akamkamata akambana, akamwambia tena; “soma,” Mtume akamjibu jawabu yake ileile. Hata mara ya tau akamwambia; “soma- Iqraa Bismi Rabbik.” Akamsomea sura hiyo ya 96 mpaka kati yake. Kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa. Hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika Qur’an, ingawa haijawekwa mwanzo.Toa utaratibu wa kupewa utume unaoeleweka mbona tena unakimbiakimbia
Hapana. Inaonesha unalazimisha kumbukumbu ambazo hazipo ziwepo.Hiyo si kazi yangu. Inaonyesha unafuta sana kumbukumbu,wewe katika ile Elimu ya Rijali habari zako zisingekuwa zinachukuliwa.
rudi ulisome hilo bandiko " vyema " huwenda unatatizo la uelewasasa ujuzi wa yote na kushusha aya kwa matukio kuna uhusiano gani?
Hapana. Inaonesha unalazimisha kumbukumbu ambazo hazipo ziwepo.
Hujathibitisha Mungu yupo.
Acha kulazimisha mambo.
Kamanunabusha weka post hapa tuone.
Huwezi kuweka. Kwa sababu hiyo post haipo. Kama ambavyo huyo Mungu hayupo.
Acha kuishi kwa maruweruwe.
tatizo unapenda kuhusianisha visivyo na uhusiano ilo ndio tatizorudi ulisome hilo bandiko " vyema " huwenda unatatizo la uelewa
Tatizo lako lipo wap hapo kwenye hayo maelezo uliyocopy?eleza tukusaidieHata siku moja- katika mwezi wa Ramadhani mwezi 17, Jumatatu katika mwaka wa 40 ½ wa umri wake- mtume alimwona mtu kamsimamia mbele yake bila ya kumwona wapi katokea, akamwambia; “soma”. Mtume akamjibu; “Mimi sijui kusoma kwani sijapata kujifundisha kusoma.” Akaja akamkamata akambana, akamwambia tena; “soma,” Mtume akamjibu jawabu yake ileile. Hata mara ya tau akamwambia; “soma- Iqraa Bismi Rabbik.” Akamsomea sura hiyo ya 96 mpaka kati yake. Kisha mtume akaisoma kama alivyosomewa. Hii ndiyo sura ya kwanza kushuka katika Qur’an, ingawa haijawekwa mwanzo.
Mara, yule mtu (Malaika) akaondoka machoni mwake- asimwone kenda wapi. Na mtume naye akarejea kwake-khofu imemshika. Alipofika nyumbani, Bibi Kadhija alidhani ana homa, akamfunika maguo gubigubi na akakaa mbele yake akimsikiliza anavyoweweseka. Hata homa ilipomwachia alimweleza Bibi Kadhija yote yaliyomtokea; na Bibi Kadhija akamtuliza moyo wake, akamyakinishia ya kuwa hapana lolote baya litakalomzukia. Mara bibi huyu akaondoka akenda kwa jamaa yake – Bwana Waraqa bin Naufal- akampa habari yote iliyompata mumewe. Naye akamwamrisha amwite. Na mtume akenda akamweleza habari yake yote. Bwana Waraqa akamwambia; “ Huyo ndiye Jibril aliyemshukia Nabii Musa na Nabii Isa. Basi jibashirie kuwa wewe ni mtume wa umma huu, nami natamani kuwa hai nikuone unavyosimama kuwatengeneza jamaa zako; Inshaallah nitakuwa mkono wako wa kulia” Wakarejea kwao na khofu yote imemtoka”.
Historia ya Kanisa yaonyesha zamani biblia haikusomwa na kila mtu wadhani kwa nini?Sasa kama ni beyond our tiny capabilities kuelewa, hii Quran imeandikwa ili nani aielewe? Au ameandikiwa nani?
Kwanini hicho kiumbe kimkabe? Mbona kwa mitume wengine hicho kiumbe kiliwaendea kwa upole?Tatizo lako lipo wap hapo kwenye hayo maelezo uliyocopy?eleza tukusaidie