Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
umeuaje kama kadi ya klinikia bila kuisoma?

Sina muda wa kusoma c&P kama nyumba [emoji12] yeye naye hakusoma ameokota na kutumwagia humu! Muhimu ange-edit akatupa maini yake! Mimi nimempa hoja Joseph na Maria uchumba wao uliisha lini na wakaoa? Aliye waoza nani, lini, na wapi? Quran imemtakasa Mariam [emoji117] yeyote anayesema bila Ushahidi wa lini ndoa yao ilifanyika baada ya kuzaliwa Yesu anamsingizi kwamba alizini [emoji15]
 

Mkuu

Hilo la Vijana wawili waliozimishwa pangoni kwa muda wa karne na kisha kuzinduka, nalo subiria muda wake utafika wa kuwekwa wazi.Waislamu wengi mumezeshwa hadithi na ngano ambazo ninyi munafikiria kwamba ni matukio halisi kumbe sivyo.Stay tuned.Tunawasaidia ili muondokane na vitu vya namna hii.Ni vizuri tuwazindue ili muviachie vizazi vyenu vijavyo ukweli halisi.
 
siamini hadithi mkuu labda iwe imeendana sawa sawa na quran,vinginevyo sitaiamini kabisa maana hadithi nyingi zimechakachuliwa

Nani kazichakachua? Na je mumeshindwa kubainisha za ukweli na za uongo?
 

Kwa hiyo ni kweli kwamba Jua linazunguka kupitia hizo njia unazozisema?
 
Kaka kuchunga adabu za kielimu,naomba ukiri ya kuwa umeandika maneno ya uongo,tena ukiri ya kuwa ulikurupushwa na hisia ndio maana ukaandika uongo huu. Hisia zenyewe zilizo kukurupusha ni hisia za chuki yaani CHUKI.

Endelea kutega sikio tu mkuu.
 
Acha kusema uongo. Aliendelea vipi kuwa bikra wakati alijifungua mtoto au alifanyiwa upasuaji? Leta uthibitisho na sio maneno yako...

Hushangai BIKIRA kupata [emoji15] [emoji12] nikuulize iliingiaje?? sasa unashangaa kazaaje na bikra ikabaki [emoji15] kwa nini akili yako unaipeleka mahabusu segerea? [emoji117]
 

Malaika wa kweli asingaliweza kufikia kumkaba Muhammad kwa kushindwa kusoma jambo lolote.Ikiwa Jibrili alitumwa na Mungu kwa Muhammad ina maana Mungu MWENYE UWEZO wa kufahamu yote, hakuwa akifahamu kuwa Muhammad hajui kusoma wala kuandika na hivi atafute njia ya kufanya mapema kuliko kusubiria hadi Jibrili aende kumkwida kiasi kile Muhammad hata kumsababishia homa?

Je,ina maana Mungu alikuwa ameishiwa uwezo wa kumfanya Muhammad aelewe kusoma aliyokuwa anaambiwa ayasome ndio maana aliamua kutumia nguvu?

Je,kwa maelezo yako, ina kipigo ndio mwishowe kilimfanya Muhammad aweze kusoma alichokuwa anaelezwa kusoma?
 
Kwanza tupate majibu ya uhakika na uthibitisho kama kweli yeye ni mtume au garasa tu??
 



Bro Qur'an is full of violence and laws
Discrimination against women etc
 
Aya 84. Dhul-Qarnain. Maelezo ya Qur'an juu ya huyu Dhul-Karnain yanapatana sana
na habari za mfalme Cyrus aliyetawala nchi ya Ajemi baada ya kifo cha baba yake, na baadaye
akaishinda Media ambayo ilikuwa ufalme mkubwa kuliko Ajemi yenyewe. Qur'an imeonyesha
alama nne za huyu Dhul-Karnain: (1) Alikuwa Mtumishi mtawa wa Mwenyezi Mungu na alikuwa
akipokea wahyi (ufunuo) (Aya 87, 92 na 99). (2) Alikuwa mshindi mkuu wa vita na mtawala
mwema mwenye haki; na mataifa aliyoyashinda akayatendea kwa ukarimu kabisa (Aya 85, 89).
(3) Alikwenda upande wa magharibi na akashinda vita sana mpaka alipofika mahali akaona jua
linatua ndani ya chemchem ya maji yaliyovurugika, kisha akaelekea upande wa Mashariki na
akashinda nchi nyingi (Aya 85, 87, 88, 89). (4) Mwisho akaenda sehemu za katikati ambako
kulikaa washenzi, na ambako Gog na Magog (Yajuja na Majuja) walikuwa wakishambulia, na
akajenga ukuta kuzuia mashambulio hayo (Aya 94-98). Sasa katika wafalme wakubwa wa zamani
Cyrus ndiye anazo sifa hizo nne kwa wingi kabisa. Hivyo, yeye anastahili kufikiriwa kuwa Dhul-
Karnain anayeelezwa na Qur'an.
Aya 85. Kila kitu, mradi wake ni kila kitu kilichohitajiwa kwa kumalizia kazi yake.
Aya 87. Maneno haya, Akaliona linatua katika chemchem iliyovurugika, yanaonyesha
ya kwamba maji yale yalikuwa mapana sana, yaani bahari. hata inakuwa ukisimama pwani
wakati wa magharibi jua linaonekana linatua ndani ya bahari. Bahari hiyo inaitwa Bahari nyeusi
iliyoko Asia Minor.
 

Mkuu,elezeni vitu kwa uyakini na sio kuongezea chumvi!

Kwa maelezo yako hapo juu, ina maana maelezo ya Khadija juu ya tabia njema ya Muhammad kabla ya ufunuo, ndiyo yanatoa ushuhuda kwamba kile kilichomkuta Muhammad pangoni ilikuwa ufunuo kweli na si vinginevyo? Kwa maelezo yako, ina maana hata maelezo ya Khadija nayo yana ufunuo?Kwa maana kwamba kila alichokiongea Khadija kuhusu ufunuo wa Muhammad ndiyo ukweli?
 


Na ni Cyrus huyu huyu ambaye anatajwa kuwashikilia Juja na Majuja? Na je bado yuko hai hadi leo? Na kama hayuko hai, na kama ndiye, anawashikiliaje akiwa alishafariki dunia?
 
Mkuu, hayo siyo maelezo yangu mi nimecopy tu kutoka kwenye hicho kitabu.
 
Mkuu hayo siyo maelezo yangu mi nimecopy tu kutoka kwenye kitabu cha kislam.
 

Ili kumaliza ubishi tuambieni huyo Dhulqarnayn ndiye nani na aliishi alikoishi.Toeni na historia yake.

Kuhusu hizo tafsiri za Kurani, tunaomba utueleze kama nazo zina ufunuo kama Kurani kabla hujatutaka sisi tuzitumie.Ikiwa Muhammad ndiye mtume wa mwisho mwenye ukweli,hizo tafsiri zingine tutaziamini vipi wakati chanzo chake sio Muhammad?
 
Lengo la mada yako haikua kutafuta ukweli bali kuushambulia uislam huo ni udhaifu mkubwa nimefuatilia mjadala mzima mpaka sasa nimekuelewa vyema, nikujuze huyo Alexander sio Dhurqarnain, Dhurqarnain kwa mujibu wa Qur'an alikutana Nabii Musa swali je huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…