Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Karibu sana mkuu!Gonga Balimi zako ukiwa na tahadhari sana kwa sababu ikitokea matope linakochwea hilo Jua yaka-overflow, Balimi itageuka kuwa msiba.
Ha ha ha Mkuu, hayo matope kidogo yana uwalakini, ila siyo vyema ku-block mind zetu, ngoja wanazuoni waje kutuambia hayo matope yana maana gani kiarabu isije ikawa ndiyo ile michezo ya kimjini
 

Kwa hiyo, hapo kwa aya hiyo,sio Jua linaongelewa hapo? Ni nini hasa Mungu alikuwa anamaanisha kwa kumueeleza Muhammad kwamba Jua huzama katika matope meusi? Na vitabu gani hivyo ambavyo ndio Mungu kwavyo anatoa ufafanuzi? Na je hivyo vitabu,vinavyofafanua hayo mafumbo aliyokuwa Mungu anampatia Muhammad, navyo aliviandika Mungu au nani? Kama aliandika Mungu vilipokelewa na nani? Je,navyo vilipokelewa na Muhammad kwa kupitia malaika Gabriel? Na kama vitabu hivyo vya ufafanuzi havikupokelewa na Muhammad, vinaaminikaje? Na kama vitabu hivyo vya ufafanuzi havikuandikwa na Mungu vinaaminikaje kama ndio vyenye ufafanuzi wa ukweli?
 
Napenda sana uelewa wa kiwango hichi. Mambo mengi tumeaminishwa sivyo.
 
kwanza"" ni umbumbu"" kukaa na"kuamini kuwa Jua linatua kwenye ""matope " wakati"" inafamika kuwa linajoto Kali ""na kuunguza""", hayo matope"" mpka muda huu jamani"" si yangekuwa"" yameshaungua na udongo wake ""kuwa"" kma"" tofari la"" kuchoma""

wanao"" amini ""mafundisho", Ya dini",, ni watu " ambao ",wameamua " kuwa " wapumbavu" kifikira
 
Umenichekesha sana.
 
Dini nyingi zina hadithi nyingi za kale zisizokuwa na ukweli, primitive mythologies
 
Tatizo kubwa ni AIBU, waumini wanaona aibu kukiri ukweli kwamba wamedanganywa!
hahaaaa ""wamedanganywa " muda mrefu sana ",so wanashindwa",kuachana " na imani zao " kwakuwa wanaogopa kuchekwa na wenzao""

juzi " nilikuwa " namueleza" jamaa " yangu",hizi Habari" aiseee"" alipanick sana "alifikia stage yakuniita" mimi " mtu mbaya
 

Lugha asili ya Kurani ni Kiarabu.Unalikubali hilo? Wewe umetumia tafsiri ya Kiingereza na mimi nimetumia tafsiri ya Kiswahili.Je,unataka kusema tafsiri ya Kiswahili siyo sahihi ila ya kiingereza ndio iko sawa? Je,kwa nukuu hiyo ya Kiswahili, ni wapi mimi nimekosea? Je,ni mimi niliyetafsiri Kurani katika lugha ya Kiswahili kuonyesha alichokiongea Muhammad?
 
hahaaaa ""wamedanganywa " muda mrefu sana ",so wanashindwa",kuachana " na imani zao " kwakuwa wanaogopa kuchekwa na wenzao""

juzi " nilikuwa " namueleza" jamaa " yangu",hizi Habari" aiseee"" alipanick sana "alifikia stage yakuniita" mimi " mtu mbaya

Huyo rafiki yako kama alikuona mbaya ni kwa sababu hafahamu mambo mengi.Hili la Jua ni cha mtoto.Ninawaomba wanazuoni wa kiislamu wajipange sawa sawa.Kuna hoja tunaomba majibu yake yasiyoacha shaka.
 

Wewe unasema mimi napotosha.Sawa unaweza kuniambia Muhammad alimaanisha nini kusema kwamba Mungu alimuambia kuwa maziwa ya Ng'ombe hutokea katikati ya Mavi na damu yake?
 
Ha ha ha Mkuu, hayo matope kidogo yana uwalakini, ila siyo vyema ku-block mind zetu, ngoja wanazuoni waje kutuambia hayo matope yana maana gani kiarabu isije ikawa ndiyo ile michezo ya kimjini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Weweeeee hatariii Sana
 
Mud sijawahi kumwelewa kabisa, kuna mahali anasema alienda mbinguni go and return.

Hayo yote tutayaleta humu hadi yapatiwe majibu.Sasa wameanza kuhamisha magoli kwa kusema kwamba Kurani haisomwi kama vitabu anavyoandika Shigongo.Sawa, lakini mbona hawatuonyeshi hivyo vitabu vya kufafanulia hayo ambayo yameandikwa kwa mafumbo na Mungu?
 
So, if Muhammad in moving and finally viewing the boundary,was that enough for him to conclude that what he was seeing was the dark muddy spring onto which the Sun had set in?
 
Ha ha ha Mkuu, hayo matope kidogo yana uwalakini, ila siyo vyema ku-block mind zetu, ngoja wanazuoni waje kutuambia hayo matope yana maana gani kiarabu isije ikawa ndiyo ile michezo ya kimjini
hahaaaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…