Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
Kabla ya kusema Mungu hivi au vile.

Unaweza kuthibitisha yupo kwa namna yenye kutojipinga kimantiki?

Usiweke stories nyingi kumhusu Mungu ambaye hata kuthibitisha kwamba yupo huwezi.
Kwa kuthibitisha imani yangu katika Mungu yanitosha, na kizuri zaidi sipo mwenyewe tu, ni billion of God believers! Lakini hata nawe pia una Dini yako ya Sayansi na hauko peke yako, bali unao watu kadhaa pia. Cha muhimu jitahidi kuipreach hata nje ya JF mkuu I mean anzisha temple ya Mpinga Mungu na mikutano ya kutosha ili uwavute wafuasi wako wa JF.
 
Nani kakwambia namtetea Muhammad hapa?

Wewe ndiye mtu unayejiita mwerevu? Kwa sloppy thinking hii ya kunisema nafanya false assumption wakati wewe ndiye unafanya false assumption kwamba namtetea Muhammad hapa?

Unajua kusoma wewe?

Wewe mbona unafanya double standard?

Unaisema Quran kwa kuwa na uongo. Nakubaliana nawe. Quran ina uongo wa kitoto. Sikubishii hapo.

Sasa mbona nikikwambia na Biblia nayo ina uongobwa kitoto hivyo hivyo unakimbia mjadala?

Au uongo unauona ukiwa kwenye Quran tu, ukiwa kwenye Biblia unakuwa si uongo, unageuka ushairi?

Kafungue uzi independent ili nije nichangie huko na katika kufanya hivyo sitaingiza mambo ya Uislamu huko.Kutakuwa ni issues za Kikristu tu! Unanielewa sasa point yangu?
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.


Kaka sikufchi nimeusoma uzi wako ila ukanifurahisha sana. Mimi ni muislamu tena mwenye elimu ndogo sana juu ya Uislamu wangu ila kwa elimu yangu ndogo na neema ya akili niliyopewa na Allah aliyejuu,nimeona ujinga wako uko wapi.

Sasa kabla sijaenda mbali,umeandika mengi lakini nakupa majibu mafupi yenye kujitosheleza na ikibidi ufafanuzi utakuja baadae,tena kama nikiona kuna ulazima.

Naanza kwanza na swali. Hivi umeshwahi kwanda sehemu za upwani na ukaangalia muonekano wa jua linapozama ?

Kaka haiitwi Kurani inaitwa Qur'an.

Ukijibu nakupa maelezo sasa ya hizo aya.
 
Kwa kuthibitisha imani yangu katika Mungu yanitosha, na kizuri zaidi sipo mwenyewe tu, ni billion of God believers! Lakini hata nawe pia una Dini yako ya Sayansi na hauko peke yako, bali unao watu kadhaa pia. Cha muhimu jitahidi kuipreach hata nje ya JF mkuu I mean anzisha temple ya Mpinga Mungu na mikutano ya kutosha ili uwavute wafuasi wako wa JF.
Sijaomba mahubiri ya imani yako. Hujathibitisha Mungu yupo.

Sijakutaka uhubiri. Nimekutaka uthibitishe.

Huwezi kuthibitisha.

Kwa sababu huyo Mungu hayupo.

Sijadili imani hapa.

Najadili fact.

Imani unaruhusiwa hata kuabudu mti kuwa ni Mungu.

Katiba ya nchi inakutetea.

Universal declaration of human rights linakutetea.

Sijadili imani. Najadili fact.

Huwezi kuthibitisha Mungu wako yupo.

Kwa sababu hayupo.
 
Naona wewe ndiye wakati Muhammad anapewa ufunuo kule pangoni ulikuwa pamoja naye.Wewe ni mjuzi kabisa wa Kurani.Hongera kwa sayansi ya Kiarabu mkuu!
Ww unajua kule alikuwa na nan?
Kitu kama hujui usiongee hapa
Fanya tafiti ndo uongee

Usiwe mshabiki.

Unajua maandiko yameshuka marangap?
Unajua yametumia miaka mingap kushuka?
Unajua nani aliywkuwa anayaandika baada yakuwa yameshuka?

Napokuambia hakuwa pekeake nielewe.
Kutype ni long story?

Fanya utafiti ujiridhishe ndo uzungumzie kuhusu uislam.
Hii si dini ya kubahatisha inahitaji uwe mbobezi kweli tena ukiwa na research kweli kweli.
C maneno ya kusikia
 
Kafungue uzi independent ili nije nichangie huko na katika kufanya hivyo sitaingiza mambo ya Uislamu huko.Kutakuwa ni issues za Kikristu tu! Unanielewa sasa point yangu?
Uzi huu unahusiana na uongo katika dini.

Umeusema uongowa Uislamu. Sijakupinga. Uislamu una uongo sana.

Nikiusema uongo wa Ukristo hutaki kujadili. Unataka nifungue uzi mwingine.

Kwa kukataa kujadili uongo ulio katika Ukristo, unatuambia kwamba uzi huu hautaki kutafuta ukweli.

Unataka kushambulia Uislamu tu.
 
Sema tu hujui brother. Unachokisema hakipo hivo.
Hakupokea akiwa pekeake broo.
Kasome vzr.

Uislam si din ya kusoma juu juu ukaja apa kuandika comment.

Unahitaj deep investigatio na intesive reading ndo utaweza bro.

Mtaaibika jmn. Uislam kila kinachoandikwa mule dunia inafanya research mpka leo wana prove n kwel.

Kama hakupokea akiwa peke yake alikuwa na nani kule kwenye pango la Hira? Unaweza kutueleza jinsi alivyotoka pangoni alienda kumuona nani kuuuliza maana ya hicho kilichokuwa kimemtokea huko pangoni na je, unafahamu ni nani aliyemwambia Muhammad kuwa yule aliyemkaba pangoni alikuwa ni malaika Gabrieli? Kama una masimulizi juu ya Kurani kaa pembeni.
 
Hivi hujakwenda bahari wakati jua linachomoza au linazama?huwa linaonekana kama linazama vile kwenye maji kumbe sio na hata asubuhi wakati jua linachomoza ukiwa bahari ambapo huoni mwisho wake pia jua hapa huwa linaonekana kama linachomoza kwenye maji vile ndio maana halisi ya hiyo aya hapa huyo jamaa alikua anaona hivyo hata leo hii ukikaa bahari unaona hivyo kwa upeo wa macho wa kawaida

na muda mwingine kukiwa na kukiwa na mlima mrefu au mawingu mazito utaona kama jua linachomoza au linazama kwenye mlima kumbe sio
 
Kama hakupokea akiwa peke yake alikuwa na nani kule kwenye pango la Hira? Unaweza kutueleza jinsi alivyotoka pangoni alienda kumuona nani kuuuliza maana ya hicho kilichokuwa kimemtokea huko pangoni na je, unafahamu ni nani aliyemwambia Muhammad kuwa yule aliyemkaba pangoni alikuwa ni malaika Gabrieli? Kama una masimulizi juu ya Kurani kaa pembeni.
Alafu hujui katika uislam hakuna kitu kinaitwa gabriel (WTF)

Tafta jina la huyu malaika vzr ndo nikupe material
Maana unataka nikufungulie the whole story.

Swali lingine unajua maandiko ya kiislam yameshuka kwa mida wa miaka mingap?.
Na wakat yanashuka nani alikuwa akiyaandika?
Ukijibu haya maswali mawili niko radhi kuacha usingiz wangu nikuoe elim usiku huu
 
Wanajukwaa:

Dunia yetu inaendelea kushika kasi katika suala la Sayansi na Tekinolojia.Kwa siku za hivi karibuni,wanasayansi wamegundua kuweza kutengeneza Moyo kwa kutumia stem cells,ikiwa ni hatua katika kuelekea kutengeneza moyo wa binadamu,hali ambayo itasaidia katika kukabiliana na matatizo ya Moyo yanayowakabili wanadamu,kwa kiasi kikubwa, yale ambayo uhusisha mwanadamu kupoteza maisha, kwa sababu tu Moyo wa mgonjwa husika hauna repair au hauwezi kubadilishwa.Miaka kama kumi hivi iliyopita,wanasayansi walikuwa wamefanikiwa kutengeneza Moyo wa panya kwa kutumia hizo stem cells.

Kumbe,kwa tafiti mbalimbali zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali duniani,ama ardhini au angani,zote zinalenga katika kuboresha maisha ya mwanadamu na hata kuongeza siku za kuishi kwake.Historia inao watu wengi sana ambao wamejihusisha na Sayansi kwa nyakati tofuati tofauti.

Leo,ninataka tumuangalie Mtume Muhammad kwa namna alivyoweza kujihusisha na suala la Sayansi kwa kile kinachosemwa ni kwa msaada wa Mungu.Kurani neno la Mungu;maneno ambayo Mungu akiisha kuyaandika huko Mbinguni, alikuwa anampatia Malaika Gabriel na malaika Gabriel akampatia Mtume Muhammad katika Nyakati tofauti tofauti na Muhammad kuyaweka katika maandishi,lakini kwa namna ya pekee,kwa mara ya kwanza kabisa ikiwa ni katika Pango lililoko katika Mlima Hira, Jabal an-Nour,huko Makka,ambako inadaiwa Mtume Muhammad alipokea ufunuo huo, kwa matatizo sana kwa sababu ya kutojua kwake kusoma na kuandika,Malaika Gabrieli alijikuta anamkaba.

Kwa njia ya ufunuo wa Kurani,tunafunuliwa mambo mengi ya Kisayansi ambamo Muhammad anatujuza jinsi mambo yalivyo.Kwa leo, ninawaletea jambo moja tu.Nalo ni juu ya namna Jua linavyokuchwa na kadri Mungu atakavyotujalia tutayaangazia na mambo mengine.


Kurani kupitia Sura al-Kahf (18: 83-86), inaeleza kwamba Jua huchwea katika chemchemu ya matope meusi mazito(dark Muddy spring):

“83-Na wanakuuliza khabari za Dhul- Qarnaini. Waambie: Nitakusimulieni baadhi ya hadithi yake.84 -Sisi tulimtilia nguvu katika ardhi na tukampa njia za kila kitu.85 - Basi akaifuata njia. 86 - Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.”

Wakati Muhammad akiwa ametupasha ukweli huo ambao aliandikiwa na Mungu, Ukweli wa kisayansi umebainisha kwamba Jua ni kubwa zaidi na lenye joto kali kuliko dunia.Na ikitokea kwamba Dunia inakaribiana na Jua,basi dunia itayeyuka kutokana na joto kubwa la Jua.

Ukweli mwingine,ambao pia Sayansi imetupatia ni kwamba Jua halitembei bali sayari mbalimbali ndio hulizunguka,ikiwemo Sayari yetu ya Dunia. Historia inaonyesha kwamba mtu wa kwanza kugusagusa habari za kuwa Jua lilikuwa halizunguki alikuwa ni Aristarchus (310-230KK).

Aristarchus alikuwa ni mwana-Astronomia wa Kigriki.
Yeye aliamini dunia ilikuwa katikati ya Mfumo wa Jua(Solar system) na sayari zingine (ikijumuishwa na nyota ambazo zilikuwa zimefungwa katika nafasi fulani) ndio zilizokuwa zikilizunguka Jua.

Hata hivyo, baadaye mwanasayansi,Aristarchus, alikuja kugundua kuwa sio dunia iliyokuwa katikati ya Mfumo wa Jua, bali ni Jua na hivi kwamba ni Dunia na sayari zingine ndizo zilikuwa zikilizunguka Jua.Ugunduzi wa namna hii ulipatikana miaka mingi sana (takribani karne tatu hivi) kabla hata ya Yesu Kristu kuzaliwa na karne tisa kabla ya Muhammad kuzaliwa.

Mwanasayansi mwingine pia aliyekuja na mtizamo tofuati na wa Muhammad (kwa kadri ya ufunuo kutoka kwa Mungu) ni Jean Buridan (1300-1359/61). Huyu) anafahamika kama Mwanafalsafa Mashuhuri sana katika Ufaransa.Buridan alikuwa Mwalimu katika Kitivo cha Sanaa cha Chuo Kikuu cha Paris kwa kupindi chote cha maisha yake ya kitaaluma akimakinika hasa hasa katika masuala ya Logiki (Logic) na kazi za mwanafalsafa Aristotle.

Ni Bridan aliyeanzisha wazo juu ya kiitwacho Copernican Revolution katika Ulaya.Hili ni fundisho lililoleta mwangaza kutoka kuamini kwamba dunia ilikuwa imesimama sehemu moja katika ulimwengu na kwamba Jua ndio lilikuwa linaizunguka dunia (Geocentrism) hadi kueleweka kwamba kumbe Jua ndilo limesimama wakati dunia na sayari zingine zikilizunguka (Heliocentrism).

Kumbe, sasa kwa uchache,kwa mawazo ya hao wanasayansi wawili,tunapata picha kwamba Muenendo wa Jua kuchomoza na kutua sio jambo lililoanza wakati wa Muhammad.Na kama suala la Sayansi ya Mfumo wa Jua lilianza mapema kabla ya Yesu na Muhammad kuzaliwa, yeye Muhammad alipopewa ufunuo na Mungu, hakuweza kujiuliza iwapo ufunuo huo wa Mungu inakuwaje unapingana na ukweli wa mambo?Katika kutafakari ufunuo huu wa Mungu kwa Muhammad, nimejikuta nina maswali yafuatayo,ambayo naomba yatuongoze katika kujadili suala hili.Ni muhimu kujadili kwa sababu pengine Dunia inatufundisha vitu ambavyo havipo.Hivi kweli Mungu anaweza kumueleza Muhammad mambo ya uongo?Maswali mengine ambayo bila shaka hata wewe unaweza kujiuliza ni haya:

1. Hiyo Chemchemi ya matope mazito na meusi iko hapa duniani?Na kama haipo hapa duniani iko angani? Na kama iko angani iko sehemu gani?


2. Huyo Dhul-Qarnaini alikuwa ni kiumbe wa namna gani huyo aliyepewa uwezo wa kuona Jua linavyotumbukia katika matope?


3. Pamoja na kwamba wakati wakati wa Muhammad, labda Sayansi ya kwamba Jua halizunguki, isipokuwa dunia ndio hulizunguka Jua, ilikuwa haijafika katika maeneo ya ardhi ya Arabia, bado hata vizazi vya zamani sana havikupata kuwa na uelewa kama huo wa Muhammad kuwa Jua lilikuwa linatua matope meusi! Je,ilikuwaje katika Vizazi vyote hivyo hapo katikati(ikiwemo na Yesu mwenyewe ambaye Muhammad anamuelezea kama aliyekuwa na uwezo wa kufinyanga wanasesere na kuwapulizia uhai na wakawa ndege kamili), kabla ya Muhammad, akakosekana mtu mwenye uelewa wa kuliona Jua likizama katika matope meusi tofauti? Hivi wewe kwa sayansi hii ya Muhamma juu ya Jua kuchwea katika matope meusi haikupelekei kujiuliza yafuatayo:

· Je, Muhammad kusema mambo ambayo hakuwa nayo uthibitisho ilikuwa ni kutafuta tu kuonekana kwamba Mungu amempa ufunuo wa kipekee juu ya ulimwengu?


· Je, vizazi ya Kiarabu na dunia kwa ujumla baada ya kugundua kwa tafiti za kisayansi, ambazo zimethibitisha kuwa Jua huzungukwa na sayari mbalimbali, ikiwemo Sayari yetu ya dunia, vimuoneje, Muhammad na Uislamu kwa ujumla?


· Je,wanadamu wa vizazi vyote vinavyofahamu kuwa Jua halijawahi kuzama katika matope ama meusi,bluu au meupe, visimuamini Muhammad katika mambo mengine aliyoyasema au vimuchukulie kama mtu aliyekuwa anajaribu kupiga ramli ya jinsi mambo yalivyo?

Lakini swali la mwisho kabisa ambalo nitaomba ujiulize ni hili:Je,Ni kwa nini hadi leo baada ya kugundulika kuwa Jua halizami na wala halizunguki,ni kwa nini hadi sasa aya hiyo iko imesalia katika Kurani?Je,ni nani anasema uongo kati ya Mungu na wanasayansi juu ya suala la Jua?

Karibu kwa mjadala ili tupate kujua ukweli kwa faida ya maendeleo ya Dunia yetu.

Huku ukiwa unatafakari swali langu nililokuuliza,kwanza unapaswa ujue mambo yafuatayo kuhusu Qur'an :

1. Qur'an imeshushwa kwa lugha ya kiarabu ili watu wapate kupambaukiwa.

2. Kila aya ilikuwa ina sababu ya kushuka kwake.

3. Qur'an imetafsiriwa na mtume Muhammad amani ya Allah iwe juu yake,sababu kuna maneno mapya maswahaba wake walikuwa hawajui maana zake,kwahiyo walikuwa wnapewa maelezo na kuelewa.

Sasa cha kusikitisha zaidi ni wale maadui wa Uislamu wakisoma tarjama ya aya basi wanaichukua hivyo hivyo bila kuuliza maana yake au hata japo kutaka ufafanuzi wa aya hiyo,unakuta mtu huyo anabeba kama ilivyo na kutumia muda mwingi kuandaa mada,mada ambayo inakuwa imebeba uongo wa wazi.

Sasa hili ni tatizo kubwa liwakumbalo,na mwisho wa siku huwa mnaaibika.

Naendelea.....
 
Unamkumbuka yule mwanafasafa wa kirumi aliyeuwawa na kanisa katoliki kwa kusema dunia ni duara na siyo flat?
Kurudi kwenye swali lako ni kwamba Quran haisomwi kama riwaya za kufikirika bali ipo kwa mafumbo ambayo huhitaji kusherehewa na kutafsiriwa kwa kutumia vitabu vingine na wanazuoni wasomi.
Vitu kama hivi mkuu ni beyond your tiny capabilities kuelewa..
Mfano " tumemuumba Adam kwa udongo.." kwa tiny brain yako utadhani Allah alikuwa na washirika.
Just let it go hii sio riwaya ya Eric Shigongo
Nanukuu.."Mfano tumemuumba Adam kwa udongo"!!!

Samahani mkuu kama hutojali,ni mimi kiswahili kimenipotea au vipi sijajua ila ktk uelewa wa kawaida niliojaaliwa siamini kwamba kwa kauli hiyo inawezekanaje asiwepo mwengine walieshirikiana?alishindwa nini kuandika "nimemuumba"

Kwanini haikuwa 'Nime' na iwe 'Tume'?ninini kilichofichama hapa?inaonekana aliyeandika hapa either kuna sehem ali-copy ila kwa kupitia page hii hii aliyoiandika akawakataza wale watakaoisoma wasihoji sana zaidi ya kuamini kile alichokifafanua maana wangehoji wangeweza kustuka!

Sina nia yakubishana nachotaka ufafanuzi tu
 
Ww unajua kule alikuwa na nan?
Kitu kama hujui usiongee hapa
Fanya tafiti ndo uongee

Usiwe mshabiki.

Unajua maandiko yameshuka marangap?
Unajua yametumia miaka mingap kushuka?
Unajua nani aliywkuwa anayaandika baada yakuwa yameshuka?

Napokuambia hakuwa pekeake nielewe.
Kutype ni long story?

Fanya utafiti ujiridhishe ndo uzungumzie kuhusu uislam.
Hii si dini ya kubahatisha inahitaji uwe mbobezi kweli tena ukiwa na research kweli kweli.
C maneno ya kusikia

Tuambie aliokuwa nao basi ni akina nani? Kazi ya Mungu ambayo alikuwa anamshushia Muhammad inawezekanaje ichukue miaka hivyo kukamilika? Huyo aliyekuwa anashusha Kurani, alikuwa ni Mungu mwenye uwezo wote au Mungu mdoli tu hadi kazi yake ichukue muda mrefu hivyo?
 
Hivi hujakwenda bahari wakati jua linachomoza au linazama?huwa linaonekana kama linazama vile kwenye maji kumbe sio na hata asubuhi wakati jua linachomoza ukiwa bahari ambapo huoni mwisho wake pia jua hapa huwa linaonekana kama linachomoza kwenye maji vile ndio maana halisi ya hiyo aya hapa huyo jamaa alikua anaona hivyo hata leo hii ukikaa bahari unaona hivyo kwa upeo wa macho wa kawaida

na muda mwingine kukiwa na kukiwa na mlima mrefu au mawingu mazito utaona kama jua linachomoza au linazama kwenye mlima kumbe sio
Kwa hiyo Allah naye hakujua kwamba jua halizami na kuchomoza kama linavyoonekana ?

Allah alishindwa kumpa mtume periodic table yote kwenye Quran watu wajifunze kemia yote kutoka kwenye Quran?

Kwa nini Allah aliishusha Quran kwa Waarabu kwa Kiarabu na hakuweka habari zake kwenye DNA za watu wote wamjue moja kwa moja?

Alishindwa kufanya hivyo? Kama alishindwa huyo ni Mungu muweza yote kweli? Kama hakushindwa, kwa nini hakufanya hivyo?
 
Ndugu usipotoshe Qur'an Kwa kuitafsiri wewe utakavyo!!!

(18:86) until when he reached the very limits where the sun sets,63 he saw it setting in dark turbid waters;64 and nearby he met a people. We said: "O Dhu al-Qarnayn, you have the power to punish or to treat them with kindness."65
63. “The setting place of the sun” does not mean the place of the setting of the sun. According to Ibn Kathir, it means that he marched to the west conquering one country after the other till he reached the last boundary of the land, beyond which there was ocean.
na hata leo hii ukienda baharini utaliona jua kama vile linazama kwenye maji au linachomoza majini wakati wa asubuhi au jioni,mtoa mada kaielewa hii aya vibaya
 
Tuambie aliokuwa nao basi ni akina nani? Kazi ya Mungu ambayo alikuwa anamshushia Muhammad inawezekanaje ichukue miaka hivyo kukamilika? Huyo aliyekuwa anashusha Kurani, alikuwa ni Mungu mwenye uwezo wote au Mungu mdoli tu hadi kazi yake ichukue muda mrefu hivyo?
Boss unaona uislam unavo take point.

Maana yangu kukuuliza haya maswali najua majibu ya maswali ulio niuliza yamo humo.

Kwahiyo nauhakika kam kweli ww n msomi umeamua kuusoma uislam na umeelewa kwann nmekuuliza hayo maswali. Majibu umeyaona humo.

Sasa basi we nijibu hayo maswali mawili uone.
Haha

Hapo ndo majibu yapo. So we nijibu hayo maswali nkupe elim kabla sija lala bro
 
Unaelewa kwamba hujajibu swali la kwa nini Mungu amewanyima watu kumjua halafu anawaadhibu kwa kutomjua?
Mungu hajamnyima mtu kutomjua,huo ubongo wako amekupa kwa ajili hiyo umjue yeye,ila kwa vile binaadam tupo huru tunautumia ubongo huo kumpinga mungu kwa makusudi,mfano kama ww.
 
Kwa hiyo Allah naye hakujua kwamba jua halizami na kuchomoza kama linavyoonekana ?

Allah alishindwa kumpa mtume periodic table yote kwenye Quran watu wajifunze kemia yote kutoka kwenye Quran?

Kwa nini Allah aliishusha Quran kwa Waarabu kwa Kiarabu na hakuweka habari zake kwenye DNA za watu wote wamjue moja kwa moja?

Alishindwa kufanya hivyo? Kama alishindwa huyo ni Mungu muweza yote kweli? Kama hakushindwa, kwa nini hakufanya hivyo?
We nae mbona yesu alishuhwa kwa wayahudi.
.
Ebu ayo maswal jiulize upande wako coz hukukwetu yana majibu.
 
Wewe unasema mimi napotosha.Sawa unaweza kuniambia Muhammad alimaanisha nini kusema kwamba Mungu alimuambia kuwa maziwa ya Ng'ombe hutokea katikati ya Mavi na damu yake?
na ndio ndipo maziwa yanapo tokea mkuu,between blood and dung,au we unajua yanatokea wapi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom