Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Mtume Muhammad: Jamii isipotoshwe; Jua huzama katika Chemchemu ya matope Meusi na Mazito

Status
Not open for further replies.
St Augustine ndiye alikuwa Kungwi wa Mary ???


Regarding the Marriage of Mary to Joseph, Catholic Encyclopaedia ( CATHOLIC ENCYCLOPEDIA: St. Joseph), says:

"When forty years of age, Joseph married a woman called Melcha or Escha by some, Salome by others; they lived forty-nine years together and had six children, two daughters and four sons, the youngest of whom was James (the Less, "the Lord's brother"). A year after his wife's death, as the priests announced through Judea that they wished to find in the tribe of Juda a respectable man to espouse Mary, then twelve to fourteen years of age, Joseph, who was at the time ninety years old, went up to Jerusalem among the candidates; a miracle manifested the choice God had made of Joseph, and two years later the Annunciation took place."


Unarudia kosa lile la waliowatangulia. Wewe badala ya kutuwekea yote haya ungesoma na kutueleza kwa ufupi kinachoongelewa hapo.Kwa kutuwekea mkeka wa maelezo namna hii,ina maana hujaelewa chochote.
Note: That article on Catholic Encyclopaedia obtains its information from early


HABARI NDIO HII


virginity-of-mary-ever-virgin-lie.png



In Jn. 7:3-5, we read:

Jesus' brothers said to him, "You ought to leave here and go to Judea, so that your disciples may see the miracles you do. No one who wants to become a public figure acts in secret. Since you are doing these things, show yourself to the world." For even his own brothers did not believe in him.


I saw none of the other apostles -- only James, the Lord's brother (Gal. 1:19 NIV).
 
Mkuu,elezeni vitu kwa uyakini na sio kuongezea chumvi!

Kwa maelezo yako hapo juu, ina maana maelezo ya Khadija juu ya tabia njema ya Muhammad kabla ya ufunuo, ndiyo yanatoa ushuhuda kwamba kile kilichomkuta Muhammad pangoni ilikuwa ufunuo kweli na si vinginevyo? Kwa maelezo yako, ina maana hata maelezo ya Khadija nayo yana ufunuo?Kwa maana kwamba kila alichokiongea Khadija kuhusu ufunuo wa Muhammad ndiyo ukweli?
Sio kwamba unaleta ubishi pekee ila wewe hutaki kuelewa, ni vyema ukabaki na imani yako maana unachokiamini wewe wengine hawakiamini
 
Mkuu:

Ninaona hatari moja katika baadhi ya waumini wa Kiislamu.Kwamba ninyi munajitahidi kuinyoosha Kurani kwa kuipa ujumbe mwingine zaidi hata ya Muhammad alivyokusudia.Alexander the Great alifariki miaka mia tatu kabla Yesu hajaliwa na Miaka 800 kabla Muhammad hajazaliwa.Ilikuwaje watu wamuulize Muhammad habari za Dhul-Qarnaini (Alexander the Great).Ni lini Muhammmad alionana na Alexander the Great?
Unataka kuelekezwa kitu gani mbona unarukaruka watu walitaka kujua kama kweli ni mtume wa Mungu tupe habari ya dhul qarnaini na sio hilo tu kuna maswali mengine mawili aliulizwa sasa ww uelewi nn alaaa
 
Lengo la mada yako haikua kutafuta ukweli bali kuushambulia uislam huo ni udhaifu mkubwa nimefuatilia mjadala mzima mpaka sasa nimekuelewa vyema, nikujuze huyo Alexander sio Dhurqarnain, Dhurqarnain kwa mujibu wa Qur'an alikutana Nabii Musa swali je huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa

Mkuu,

Usione mpaka nimeamua kuleta uzi ina maana ninafahamu vizuri sana juu ya kiini cha imani yako.Sasa hebu tueleze Dhurqarnain ni nani hasa katika historia ya dunia. Kuna mwenzio kasema alikuwa ni mtawala Cyrus. Je, huyo Cyrus alikuwepo wakati wa Musa? Wewe unafahamu Musa aliishi kipindi gani?
 
Mkuu

Hilo la Vijana wawili waliozimishwa pangoni kwa muda wa karne na kisha kuzinduka, nalo subiria muda wake utafika wa kuwekwa wazi.Waislamu wengi mumezeshwa hadithi na ngano ambazo ninyi munafikiria kwamba ni matukio halisi kumbe sivyo.Stay tuned.Tunawasaidia ili muondokane na vitu vya namna hii.Ni vizuri tuwazindue ili muviachie vizazi vyenu vijavyo ukweli halisi.
Kama hiyo aya 18:83 umeshindwa kuelewa sasa una lipi lakuzindua watu
 
Sio kwamba unaleta ubishi pekee ila wewe hutaki kuelewa, ni vyema ukabaki na imani yako maana unachokiamini wewe wengine hawakiamini

Jibu hoja juu ya maelezo ya Khadija kumpinga Muhammad kuwa hakuwa amepagawa na pepo kule pangoni.Tueleze ni kwa vipi maelezo ya Khadija yanapaswa kuaminiwa na kuchukuliwa kuwa ni ushuhuda kuwa Muhammad alikuwa ametokewa na malaika?
 
Malaika wa kweli asingaliweza kufikia kumkaba Muhammad kwa kushindwa kusoma jambo lolote.Ikiwa Jibrili alitumwa na Mungu kwa Muhammad ina maana Mungu MWENYE UWEZO wa kufahamu yote, hakuwa akifahamu kuwa Muhammad hajui kusoma wala kuandika na hivi atafute njia ya kufanya mapema kuliko kusubiria hadi Jibrili aende kumkwida kiasi kile Muhammad hata kumsababishia homa?

Je,ina maana Mungu alikuwa ameishiwa uwezo wa kumfanya Muhammad aelewe kusoma aliyokuwa anaambiwa ayasome ndio maana aliamua kutumia nguvu?

Je,kwa maelezo yako, ina kipigo ndio mwishowe kilimfanya Muhammad aweze kusoma alichokuwa anaelezwa kusoma?
Kwaiyo ww unaona ajabu kuminywa mtume
 
Mkuu,

Usione mpaka nimeamua kuleta uzi ina maana ninafahamu vizuri sana juu ya kiini cha imani yako.Sasa hebu tueleze Dhurqarnain ni nani hasa katika historia ya dunia. Kuna mwenzio kasema alikuwa ni mtawala Cyrus. Je, huyo Cyrus alikuwepo wakati wa Musa? Wewe unafahamu Musa aliishi kipindi gani?
Wewe unamsema huyo Cyrus jina ambalo halijatajwa popote kwe Qur'an, jibu swali nilokuuliza huyo Alexander alikuwepo kipindi cha Musa? Maana ukisoma kwenye hiyo sura ulofanya ni msingi wa hoja utamuelewa vizuri na usingejaribu kwa namna yoyote kusema Alexander ndo Dhurqarnain njoo na hoja za msingi
 
Jibu hoja juu ya maelezo ya Khadija kumpinga Muhammad kuwa hakuwa amepagawa na pepo kule pangoni.Tueleze ni kwa vipi maelezo ya Khadija yanapaswa kuaminiwa na kuchukuliwa kuwa ni ushuhuda kuwa Muhammad alikuwa ametokewa na malaika?
Yaani we mtu ni kituko kweli, thread hii ulifungua kwa lengo gani?
 
Ili kumaliza ubishi tuambieni huyo Dhulqarnayn ndiye nani na aliishi alikoishi.Toeni na historia yake.

Kuhusu hizo tafsiri za Kurani, tunaomba utueleze kama nazo zina ufunuo kama Kurani kabla hujatutaka sisi tuzitumie.Ikiwa Muhammad ndiye mtume wa mwisho mwenye ukweli,hizo tafsiri zingine tutaziamini vipi wakati chanzo chake sio Muhammad?


Kaka umenichekesha sana. Tatizo ni elimu na hili nalikariri mara kwa mara. Kwanza nianze na hili la Dhulqarnayn.

Dhulqarnayn ni Dhulqarnayn vile vile,sasa ukiniambia nikwambie ni nani ndio swali gani ?

Tunaposema Tafsiri ya Qur'an huwa tunachukuwa yale mapokezi waliyoyachukua maswahaba zake mtume amani iwe juu yake kutoka kwake mtume mwenyewe.

Yaani aya fulani mtume aliwafafanulia vipi maana yake au ilikuwa ina maanisha nini.

Na mapokezi haya tunayapata kupitia elimu yenye sharafu (utukufu/tukufu),maarufu kwa jina la ELIMU YA HADITHI,wapo wanaume ambao walidhibiti mpaka mkao wa msimuliaji wa mapokezi hayo mpaka kufikia kwa mtume wa Allah.

Kwetu sisi hi pia huitwa elimu ya UHAKIKI WA HABARI na ina misingi yake yakujua habari hii ya kweli na hii si ya kweli.

Inataka muda ili kuijua elimu hii.
 
Kama hiyo aya 18:83 umeshindwa kuelewa sasa una lipi lakuzindua watu

Utakuja kunielewa tu.Andaa tafsiri pia juu ya hao vijana wawili kuzimishwa na kisha kuzinduliwa baada ya karne nyingi.Wewe hujui kama unafunga mlango na madirisha na mwisho wa siku utakosa pa kutokea.Stay tuned.
 
Jibu hoja juu ya maelezo ya Khadija kumpinga Muhammad kuwa hakuwa amepagawa na pepo kule pangoni.Tueleze ni kwa vipi maelezo ya Khadija yanapaswa kuaminiwa na kuchukuliwa kuwa ni ushuhuda kuwa Muhammad alikuwa ametokewa na malaika?
ina maana ww ushahidi wa quran ujauona au unajitoa akili
 
Utakuja kunielewa tu.Andaa tafsiri pia juu ya hao vijana wawili kuzimishwa na kisha kuzinduliwa baada ya karne nyingi.Wewe hujui kama unafunga mlango na madirisha na mwisho wa siku utakosa pa kutokea.Stay tuned.
Kwa hoja za nyepesi nyepesi hizo
 
Mkuu,

Usione mpaka nimeamua kuleta uzi ina maana ninafahamu vizuri sana juu ya kiini cha imani yako.Sasa hebu tueleze Dhurqarnain ni nani hasa katika historia ya dunia. Kuna mwenzio kasema alikuwa ni mtawala Cyrus. Je, huyo Cyrus alikuwepo wakati wa Musa? Wewe unafahamu Musa aliishi kipindi gani?
Mbona unalazimisha mambo ww sifa za dhul qarnaini mbona zimetajwa unaangaika nn
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom