Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Jana nilimnunua Gauni nikiwa nataka nimsupriz , Sasa nikafika nikaliweka kabatini bila yeye kujua .
Leo nimetoka Mapema sana Alfajiri kufata Kamfugo ndanindani huko , Sasa nikaingia na wazo la kumtumia Meseji ya kumuwish Mama watoto Heri ya Christmas .
Najua una Wife unaishi naye Home au pengine mpo mbali mbali .
Inawezekana ni Mpenzi mnayeelewana !!.
Huyu Mimi nmegundua , yeye Kati ya Zawadi na Ujumbe muhimu wakumuomba Mola, yeye katanguliza Zawadi !!.
Wako anasemaje ??
Karibuni wandugu , Ostadh yupo ili wote bila kujali Dini 👇👇
Leo nimetoka Mapema sana Alfajiri kufata Kamfugo ndanindani huko , Sasa nikaingia na wazo la kumtumia Meseji ya kumuwish Mama watoto Heri ya Christmas .
Najua una Wife unaishi naye Home au pengine mpo mbali mbali .
Inawezekana ni Mpenzi mnayeelewana !!.
Huyu Mimi nmegundua , yeye Kati ya Zawadi na Ujumbe muhimu wakumuomba Mola, yeye katanguliza Zawadi !!.
Wako anasemaje ??
Karibuni wandugu , Ostadh yupo ili wote bila kujali Dini 👇👇