Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Kwani Christmas ndio siku ya kuambiana kuwa mnapendana na kununuliana zawadi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japo bado yupo kanisani kwenye birthday party ya Yesu ila nmeona isiwe hiana kumuwish baada ya kuona huu uzi maana nisingefanya ivo saiv ningesahau kabisa.Daahhh hahahah mkuuu nmefurah sana Bana !!.
Hakika Mkuu !!Japo bado yupo kanisani kwenye birthday party ya Yesu ila nmeona isiwe hiana kumuwish baada ya kuona huu uzi maana nisingefanya ivo saiv ningesahau kabisa.
Kuna muamala nilimfanyia night ya jana hope siku yake itaenda vizuri ingawa sio mtu wa viwanja.
WOMEN DESERVE LOVE [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
duaa ameipokea,maana mvua inayonyesha huku kwetu ni balaaa
Huku kwetu bado jua kali yaani,ingenyesha nipate mzuka wa kufuaN
duaa ameipokea,maana mvua inayonyesha huku kwetu ni balaaa
Kjkubwa uzima ndugu[emoji7]
Jana nilimnunua Gauni nikiwa nataka nimsupriz , Sasa nikafika nikaliweka kabatini bila yeye kujua .
Leo nimetoka Mapema sana Alfajiri kufata Kamfugo ndanindani huko , Sasa nikaingia na wazo la kumtumia Meseji ya kumuwish Mama watoto Heri ya Christmas .
Najua una Wife unaishi naye Home au pengine mpo mbali mbali .
Inawezekana ni Mpenzi mnayeelewana !!.
Huyu Mimi nmegundua , yeye Kati ya Zawadi na Ujumbe muhimu wakumuomba Mola, yeye katanguliza Zawadi !!.
Wako anasemaje ??
View attachment 2457325
Karibuni wandugu , Ostadh yupo ili wote bila kujali Dini [emoji116][emoji116]
View attachment 2457345
[emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu leteni screenshot ya mlichojibiwa na wenza wenu
Mbambamba zimekuwa nyingi
Huku kwetu pakavuuN
duaa ameipokea,maana mvua inayonyesha huku kwetu ni balaaa
Mapumbu ni mtamuuuu sanaHizo miguu kichwa na mbupu nazipataje
Anhahaa...
Mwamba kazingua anaacha malighafi kihasara hasara [emoji28][emoji28]Oyaa mwanetu alifel wapi.
Yaan hapo Demu ndo anataka kuondoka? Au Demu ndo kafika??
Na hatuna chakula🤣🤣Alafu kuna sisi wengine 😅😅😅hatuna wapenzi hatuna kamfugo tupotupo tu aah kwanza mapenzi anasa 🚶🏾♀️🚶🏾♀️
Skuizi kwenye social media watu wanapenda kua negative sana sjuagi kwann.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Tumeshinda zetu kanisani leo😅Na hatuna chakula🤣🤣
StressSkuizi kwenye social media watu wanapenda kua negative sana sjuagi kwann.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app