Mbona suala ni dogoo.
Nimesema ,mtumie mkeo/Mpenzi meseji ya kumuwish , alafu piga screenshot ulete hata.
Najua Kuna ambao mmngejibiaa
Wewe umekuaje Leo??
Umekosea meseji au??
Mmhhh mvua ishuke Leo!!
Naomba uwe Ivo Kila siku Mume !
All in all ,nikuonyeshe mwitukio wa Mapokeo na kinachoendelea Haina yenu.
Relax Man.... Hata ungemjua Wife, ukajitoa umbeya wa "Carlos Meeonyesha mlichochat ".
Angekuuliza kipi hicho??..alafu nawee ukajibu "Si hayo ya sikukuuu".
Angekujibu....khaaaa Sasa hapo cha ajabu nini, ? Weee naye, mwanaume na umbeya hata hainogi.
Ninaamini, ungeishia kujichekesha chekesha tuu ,shemejiii nayeee ,haya bana shemuuii ila Mimi Nimeona nikuambie tu.
Ungeondoka na Hasira, ukaenda kumuonyesha Mkeo na Maneno like "Wife ,Kuna wanaume wajingaa ,kitu linapost mtandaoni chat zake na mkewe ona hkma huyuuu ".
Mkeo angesoma, jambo pekee angeondoka nalo, ni jina "Carlos The Jackal" na Jamiiforums angeidowload .
Au kama nayeye ananijua na wife anamjua , Trust me angeonana na Wife nahizo Stori aangepiga like "Hongera shogaaa naona unaishi na Carlos vizuri, Nimeona alichopost mkichatishanaaa".
Bwana Mujuni, Kwa akili za Wanawake , Uwezekano wa mkeo kumwelewa Carlos ungeozeka maradufu sana nahata kuliwa mbususu yake na Carlos.
Kwa sababu Wanawake wanaishi Kwa Hisia !!.
Endelea kujiwekea mipaka ya kizeee, Wanawake ni wale wale Leo na kesho ,hata awe na miaka 40 akili yake inabakia kua ya kitoto.
Utanishukuru!!.