Mtumie Ujumbe wa Merry Christmas Mkeo/Mpenzi, Screenshot Alichojibu leta hapa

Mtumie Ujumbe wa Merry Christmas Mkeo/Mpenzi, Screenshot Alichojibu leta hapa

Wengine tukitumiwa na voda inatosha,
Screenshot_20221225-092357.jpg
 
Hii mentality ya kuamini kuwa kila anaenjoy mapenzi ni mtoto, nafikiri inaletwa na stress za ushamba na ufukara.

Yani inakuwaje mtu kujibizana na mpenzi wake vizuri iwe ni utoto, kwamba ukiwa mkubwa inatakiwa iwe kinyume chake?

Nimejibu kwa niaba ya uliemshambulia.
Skuizi kwenye social media watu wanapenda kua negative sana sjuagi kwann.

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Hii mentality ya kuamini kuwa kila anaenjoy mapenzi ni mtoto, nafikiri inaletwa na stress za ushamba na ufukara.

Yani inakuwaje mtu kujibizana na mpenzi wake vizuri iwe ni utoto, kwamba ukiwa mkubwa inatakiwa iwe kinyume chake?

Nimejibu kwa niaba ya uliemshambulia.
Umeniwakilisha Ndugu
 
Back
Top Bottom