Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Mkuu, tumeambiwa tuitawale, tuile !!Mnaitesa mifugo tuπ©
Inawezekana maana Mimi na yeye bado ni Vijana !!Nyinyi bado watoto.
Mbona imeanza dar
Na Mungu amejibu maombi yetu huku Dar ni mvua tuu toka asubuhi, tena iendelee mpaka usiku [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwetu jua kali,nipo kuomba inyeshe kubwa yenye ujazo tupate maji maana mabombani hayatoki,Mbona imeanza dar
π π π π π Mvua nzito ishuke
Tena ya mawe iharibu na Barabara ikate na umeme watu wasiende disko na simu zizime..ππ π π π π Mvua nzito ishuke
Ishuke yenye ujazo aisee[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mvua nzito ishuke
Isikate hadi kesho kutwa.Na Mungu amejibu maombi yetu huku Dar ni mvua tuu toka asubuhi, tena iendelee mpaka usiku [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii meme naona kwa Morogoro imekuwa applied vizuri... Kuna mvuaaa mpaka hatutoki ndani.....
Ndiyo vizuri,Hii meme naona kwa Morogoro imekuwa applied vizuri... Kuna mvuaaa mpaka hatutoki ndani.....