Mtumie Ujumbe wa Merry Christmas Mkeo/Mpenzi, Screenshot Alichojibu leta hapa

Hehehehe
Naendelea kusoma comments
 
Daahhh hahahah mkuuu nmefurah sana Bana !!.
Japo bado yupo kanisani kwenye birthday party ya Yesu ila nmeona isiwe hiana kumuwish baada ya kuona huu uzi maana nisingefanya ivo saiv ningesahau kabisa.

Kuna muamala nilimfanyia night ya jana hope siku yake itaenda vizuri ingawa sio mtu wa viwanja.

WOMEN DESERVE LOVE [emoji3590][emoji3590][emoji3590]
 
Hakika Mkuu !!
 

Hizo miguu kichwa na mbupu nazipataje
 
Alafu kuna sisi wengine 😅😅😅hatuna wapenzi hatuna kamfugo tupotupo tu aah kwanza mapenzi anasa 🚶🏾‍♀️🚶🏾‍♀️
Na hatuna chakula🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…