Mtumie Ujumbe wa Merry Christmas Mkeo/Mpenzi, Screenshot Alichojibu leta hapa

Kwa nini?

Unamaanisha tabia za mwanamke ni mbaya mno bora hata tabia za mtoto?

Tabia za kike sio mbaya ikiwa zinaonyeshwa na wakike, ila mwanaume kuwa na tabia za kike ni mbaya sana.

We muhaya wa wapi unashindwa kuelewa? Badilika.
 
Unatumia nguvu nyingi kutype kumwelewesha mtu hakuelewi.

Achana nae huyo ata Vichaa wanazeeka[emoji28]
 
Ni bora mwanaume akawa na utoto ( kama unavyonisema mimi), kuliko kuwa na tabia za kike kama wewe.

Ile tu kuumia na kujisikia vibaya juu ya kitu ambacho hakikupunguzii chochote huo ni ukike.

CHANGE OR PERISH.
Ukike gani na wewe hiyo ni hulka/ tabia tu ya mtu. Haijalishi kike au kiume. Eti huo ni ukike Loh!!
 
Heri yenu nyie mie nimeachika jana usiku kmmk[emoji17]View attachment 2458128
Napendaga sn wajuaji km huyu dem, im so toxic as fvck to these losers, whn i misbehave dont expect me to please you cuz i only care for my pride, you should keep quit bitch im your king, dont need your opinions just give me a pussy that's all i want [emoji1787]
 
Huu ndo uanaume mkuu ...
Hongera sana
 
Huyu alikua na MTU wa kumtoa out, kwahio aliamua kukuweka pending kidogo, ndio maana anataka muwe marafiki tu. Ulishindwa kununua Zawadi, lazima!
Daahhh najitahidi kwa nafasi yangu na uwezo wangu ila sio kesi maisha lazima yaendelee!!
 
I see!

Umenielewesha kwa uvumilivu sana. Poa nimekupata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…