interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
Iache mipumbavu iendelee kuvuna inachokitaka maana inamgeuza Mungu kuwa hakuona mbali kumuumba Mwanamke awe Mama wa nyumbani na Mlezi wa watoto badala ya kula kwa jasho sawa na Mwanaume.Hii yote inatokana na huu ujinga “Mke wangu anafanya kazi ili tusaidiane maisha”!!!well atakusaidia mpaka kuwahi kuuona udongo na eleweni hakuna duniani kitu kama hiko.
Vijana mkiendelea kukimbia majukumu yenu mliyoandikiwa kwamba mtatafuta ridhiki za familia zenu huku wake zenu mliowaowa wakiwazalia watoto na kuwaangalia kwa ukaribu majumbani mwenu basi mtagongewa sana na mtakufa na kuuwa mpaka akili zenu ziwakae sawa.
Kizazi hiki kinataka kupambana na nature jambo ambalo ni kosa kubwa sana
Hakuna kitu km hicho, huyo Mwanamke kamkuta jamaa ana mali kibao za urithi, Baba na ukoo wanazo, Dada mtu alikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya juu kabisa Serikalini sembuse Mashemeji ni wababe ambao wanaweza mnyanyua dakika yoyote huyo Binti kwa aina yoyote
Nsoji Go Nvaa Story yako ina ukweli kama 75% hawa wafipa kina Mxxxxfi hawawezi muacha kwani katika nyumba hizo km ghorofa la Kikuyu Dadamtu kahusika vilivyo na Mke kalikuta na jamaa alikuwa hata kazi hana, hiyo ngazi ya uhasibu hajafikia bado mpaka mauti yalipomfika.
Ulevi alikuwa nao km mawazo ya kugongewa huenda ikawa chanzo, lakini huwezi lewa pombe ukaenda jifungia vioo vyote katika gari pale Morena, lazima utakosa hewa hata km umewasha AC.
Mke wa jamaa atakuwa mjinga kama karudi na mtoto wa Mkurugenzi, kwani Kesi ya Mirathi haiwezi isha mapema hivi sembuse ya mauaji
Hata hivyo tumefunguka mengi sasa kwa huyu jirani yangu hapa IR rd
Oa ili tujue kama una matatatizo ya akili au laah.Mnatutisha sasa tusioe jaman
Upo sahihi kabisaaNdo tatizo la kutokuwa na michepuko hilo ,jamaa angekuwa na michepuko wala asingewaza chochote angamtema kiroho safi na kuendelea na maisha
kumbe hudhaniSidhanii kama ni rahisi hivyo
Bro usijidanganye.
..........Mwanamke kama ni malaya ni Malaya tu, awe mama wa nyumbani au mtumishi.
Nakumbuka humu Jamiiforums kuna Dada yetu alileta Uzi kuwa anamtamani mwendawazimu anayemuona akiwa uchi njiani anakopita akienda na kurudi kazini, Dada zetu akili zao wanazijua wenyewe.
Na what if Baba hana Kazi Mama ana Kazi Mali mgawanyo unakuwaje?Hakuna Cha contribution Kama mumeoana.Mama hata Kama ni Mama wa nyumbani mnagawana sawa yeye anafanya kazi za nyumbani wewe kazini wote mnafanya kazi.Mgao nusu kwa nusu
As long as baba asiye na kazi anafanya kazi zote za nyumbani.kuanzia kufagia ,kufua,kupika ,kudeki,kuosha watoto na vyombo,kuwapeleka watoto kliniki,kufua nguo za mama na watoto na kupiga pasi nk mgao ni nusu kwa nusuNa what if Baba hana Kazi Mama ana Kazi Mali mgawanyo unakuwaje?
Asante kwa ufafanuzi! Maana hili suala huwa lina utata sana na wanaume kudhulumiwa na wanawake.As long as baba asiye na kazi anafanya kazi zote za nyumbani.kuanzia kufagia ,kufua,kupika ,kudeki,kuosha watoto na vyombo,kuwapeleka watoto kliniki,kufua nguo za mama na watoto na kupiga pasi nk mgao ni nusu kwa nusu
Nilifikiri mchumba hasomeshwi kumbe hata mke.Mwanamke asomeshwi.............. Over......... Jitie kibuli cha mbuzi uone matokeo yake.
Kweli kabisa mkuu.Mwanamke akipata mtu wakumrubuni na akampenda na huenda kwako alikukubali kwasababu ulikua umemwahidi ndoa na unampa mahitaji yake kama mfadhili wake ila hakukupenda nidhahiri ataenda kwa anaempenda iwe umemsomesha au hujamsomesha.
Shida sio kumsomesha, Kama umepata mke asiefaa hata akae nyumbani tu ufunge nyumba na kufuli bado atachoropoka.
Mwanamke akipata mtu wakumrubuni na akampenda na huenda kwako alikukubali kwasababu ulikua umemwahidi ndoa na unampa mahitaji yake kama mfadhili wake ila hakukupenda nidhahiri ataenda kwa anaempenda iwe umemsomesha au hujamsomesha.
[emoji1787][emoji1787]Hoja imeungwa mkono
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Usioe kumaliza matatizo yako ya kifedha......Hii nimeipenda sana mkuuSiku zote nasema.
Oa rafiki yako
Oa mtu wa kwenu
Oa mwanamke msiyepishana umri sana
Mila na desturi zizingatiwe
Usioe ukoo au jamii yenye malaya wengi
Usioe mwanamke mpumbavu
Usioe ili umalize matatizo yako ya pesa
Kwa ushauri zaidi njoo pm
Ndoa hazina formula mkuu, kaoe tuuMnatutisha sasa tusioe jaman