Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Corona haijaanza leo kutokea china, mataahira wengi huhusisha corona na mambo ya kijinga ila ukweli ni kua sio mara ya kwanza kutokea.
Mbona haitokei marekani kila siku anawanajisi quran na hakuna kinachowatokea.
Soma hapa WaterlooNdio muache kiherehere cha kupesti sheria na kuzipachika mitandaoni!
Hiyo ni taaluma ya watu wanakaa darasani miaka nane na zaidi kujifunza!
LLB miaka minne, PGDLP mwaka mzima, Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali mwaka mzima, LLM miaka miwili....na LLD.
Wewe mbumbumbu ngumbaru standard two failure unakimbia google unakopi na kubandika tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana bahati sana hajauawa na waumini wa Kiislam, sifa nyingine za kijinga zinaponza sasa angalia anasimamishwa kazi.
Hii aione bibi yangu kipenzi FaizaFoxy
Shusha munkari sheikh kosa lake ni lipi?
Kichaa anacho mamako. Nakuambia unitajie kifungu cha sheria za kazi kilichovunjwa unatukana? Mbwa koko wewe!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe jikite na hiyo juzuu!Ile tafsiri wewe unaejua acha porojo
Aise kuchana kitabu ya imani ya dini fulani tena yenye wafuasi wengi siyo kosa mkuu?? Huoni kama inaweza kupelekea machafuko no wonder ccm inatawala hii nchi mpaka leoWamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
Uvunjifu wa amani,unafikiri waislamu,wangechukuwa sheria mkononi ingekuwaje.Hapo ni kuwasifu waislamu,kwa kuwa na moyo wa uvumilivu na upendo,hawakuchukuwa sheria mkononi,na ndio inavyotakiwa,ili vyombo vya sheria vifanye kazi yake.Wapewe sifa,waislamu na wasio waislamu,waliokuwako maeneo hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Assaulting Religious Beliefs! Usitetee upuuzi.Wamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
Me kuna mtu namjua aliichana hakuwa mjusi wala Kenge na yupo hai mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo Tanzania kwa kua hatuunajisi uislam hakuna magonjwa, watu wote ni wenye afya na wazima tele.
Wamemsimamisha kazi kwa sababu za kijinga sana.
Hilo nalo ni kosa?
kama ni cha kwake ameamua kukichoma kosa liko wapi? mbona watu huchoma nguo zao za ndani na hawakamatwi?