Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Ndio muache kiherehere cha kupesti sheria na kuzipachika mitandaoni!

Hiyo ni taaluma ya watu wanakaa darasani miaka nane na zaidi kujifunza!

LLB miaka minne, PGDLP mwaka mzima, Ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali mwaka mzima, LLM miaka miwili....na LLD.

Wewe mbumbumbu ngumbaru standard two failure unakimbia google unakopi na kubandika tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Soma hapa Waterloo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uvunjifu wa amani,unafikiri waislamu,wangechukuwa sheria mkononi ingekuwaje.Hapo ni kuwasifu waislamu,kwa kuwa na moyo wa uvumilivu na upendo,hawakuchukuwa sheria mkononi,na ndio inavyotakiwa,ili vyombo vya sheria vifanye kazi yake.Wapewe sifa,waislamu na wasio waislamu,waliokuwako maeneo hayo.
Shusha munkari sheikh kosa lake ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukichukuwa sheria mkononi unakuwa muhalifu utasakwa na utakamatwa ufungwe.
Uvunjifu wa amani,unafikiri waislamu,wangechukuwa sheria mkononi ingekuwaje.Hapo ni kuwasifu waislamu,kwa kuwa na moyo wa uvumilivu na upendo,hawakuchukuwa sheria mkononi,na ndio inavyotakiwa,ili vyombo vya sheria vifanye kazi yake.Wapewe sifa,waislamu na wasio waislamu,waliokuwako maeneo hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20200207-WA0042.jpg
 
Kaa ujidanganye,nchi karibia 18,maradhi yameenea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hyo Tanzania kwa kua hatuunajisi uislam hakuna magonjwa, watu wote ni wenye afya na wazima tele.

Saudi Arabia, Yemen, Iran, Iraq ambao nsio msingi wa uislam wao hawana magonjwa, watu wote ni wazima kabisa wa afya.

Hivi ukiwa mfuasi wa hii dini akili hua zinafubaa?
 
Back
Top Bottom