Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Wewe una hasira kuliko allah mwenye kitabu!!?
bendera ya tanzania ukiifanya kama alivyofanya huyu muhuni hayawani,magu hawezi kupiga kelele utashughulikiwa na watu huko mtaani.sasa huyu kiumbe mwenzetu anataka tugawane majengo ya serikali atakipata tu.ili iwe fundisho kwa wenzake
 
Mkuu..kuwa mchawi au vitendo vinavyoashiria uchawi/ushirikiana, ni kosa"
Pia hata kumiliki zana zinazosadikiwa kuwa ni za kichawi.
Mkuu haya mambo yanayohusu imani za jamii flan ni sensetive!
Yasipotendwa ki uhaki wake yataigharimu serekali. Hakichelewi kunuka!
Umewahi kuona mtu amekamatwa kwa sababu amechoma zana za waganga au wachawi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Redmi Y2
 
Al lah katuma Jaffo amsaidie kumtetea kitabu chake kimechanwa!
 
Reactions: PNC
Hili suala halina tofauti na lile la Nabii Tito,hadi leo sijajua ni kwanini yule nabii Tito alikamatwa na kosa lake lilikuwa lipi? Polisi walimdhalilisha sana Tito pasina sababu ya msingi.
 
sawa mzee baba mpe kazi sasa.Sie tayari tumelizika, kazi kwako!!
 
Huyu bwana mdogo huenda akili hazipo sawa. Mie nashauri apimwe akili maana kwa usomi wake, mtumishi wa umma na eneo alilopo kuna walakini katika kichwa chake. Kajiaibisha yeye na wengine wanaomzunguka
Kama ukiangalia vizuri Ile video anaonekana kama kalewa vile....lkn hii si sababu ya kufanya yale aliyofanya kama kalewa je korani aliitoa wapi? Inamaana alikuwa nayo tayari kwa kuchanwachanwa au alijua kuna anayo pale ofisini akaichukua na kufanya alivofanya ....wacha aje mtaani aine kulivyo kuchungu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga mtupu yaani kuna kitabu kisichochanwa duniani ? huwezi mzuia mtu kufanya atakalo jamani tubadilike
 
Awaombe msamaha waumini wa dini ya kiislam kwa kitendo chake kisichokuwa cha kistaarabu cha kukichana na kukinajisi kitabu kitakatifu kwa waislam. Yawezekana kilichomsukuma kufanya hivyo ni pombe ambazo baada ya kumtoka kichwani huenda akili yake itakaa vizuri na baadaye kuanza kujuta.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…