Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Huo mkono wa umma ndio mashetani wakubwa wakisingizia vitabu vinavyo chapishwa kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuchana hadharan ndio kosa mana linaleta chuki katika jamii maana waislam hawataweza kufurahia jambo hilo. Na swali la kujiuliza ni kwann Shane!!!? Huo ni uchochezi na hauna matokeo mazur hasa kwa jamii yetu hii ambayo tunashirikiana katk mambo mengi ya kijamii. Mtu yeyote Si vema kuidhihaki na kuidhalilisha imani ya Mtu mwingine na ukizingatia yeye Ni mtumishi wa umma haikupendeza yeye kuufanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimemaanisha kwnn achane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga wa kushika dini na Mapenzi ndicho kitu pekee Mwafrika anaweza kujipambanua Ulimwenguni. Jitu zimaaa mpaka mishipa ya mkun-d'u inasimama kisa Kitabu kilichotolewa Photocopy hapo Mtaa wa Congo kimechanwa! Akili matope kabisa Kiongozi pia kusimamisha kazi mtu kisa kachana Kitabu, SERIKALI HAINA DINI MJUE
 
Pia sijawahi ona karatasi ya Quran sehemu yoyote ikitumiwa ndivyo sivyo.
 
Dah, ajira yake ndio basi tena,na ivi kuna vijana wapo katika database ya utumishi wiki ijayo nafasi yake itakuwa ishazibwa.
Atashinda kesi ya kufukuzwa kazi, atapiga mpunga mrefu wa fidia.
 
Hapo watesema allah kamhukumu hadi kakamatwa na Polis. Hahahaaaaaaa. Hivi katiba inakataza kuchana makaratasi?
katiba inakataza kuchoma vitambaa au kuvichana?mbona mtu akichana bendera za vyama vyenu mnakuja juu sana. Iweje mtu aje achezee mwongozo wa imani ya watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…