kifupi waziri kaingia mzima mzima bila kushika pembeni kujilinda.Vip wale walio hubiri uchomaji makanisa, na wakatekeleza??
Na wale wanao hubiri baadhi ya watu waueliwe tena viongozi??
Vipi na wale wanahubiri hadhalani kuwa jamiii fulani au watu wa dini fulan wauliwe, wanakamatwa??
Wale ambao wana lazimisha dini nyingine zifate dini yao kipindi chao kama mfungo, na ukikutw unakula msimu huo unafanyiwa vurugu, unapigwa vipi wali kamatwa?
WATU WAACHE DOUBLE STANDARD.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona hoja yako ina mashiko mkuubado watu wanaonyesha ni jinsi gani dini hazijawasaidia kustaarabika.
kuna ushahidi asilimia nyingi tu kwamba,wapagani wamefanikiwa kuwa wastaarabu kuliko wenye hizi dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vyovyote vile alivyo fanyiwa huyo jamaa kwenye hilo tukio ni unyama, hiyo sio dini ni unyama tu.Sasa kaka huyu anae chinjwa hapo ni MCHAWI. kila kosa linahukumu yake katika Uisla, mathalani Mchawi anauliwa kama alivyo uliwa hapo.
Ebu chukua noti ya 1000 uliyo itafuta kwa nguvu yako alafu nenda mbele ya kituo cha polisi kaichane, au kanunue bendera ya taifa nenda kaichome moto ili tukuone ushujaa wako wa kutetea upuuzi uko wapi.Kuchana hadharani kuna kuhusu nini wakati kitabu kakinunua yeye? Kosa kama kachukua cha mtu mwingine haya mambo ni kuendekeza upuuzi tu kwani vitabu kama hivyo vimeisha madukani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu cha kujifunza ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu jamaa!
Uchawi unathibitishwa kivipi?Sasa kaka huyu anae chinjwa hapo ni MCHAWI. kila kosa linahukumu yake katika Uisla, mathalani Mchawi anauliwa kama alivyo uliwa hapo.
Huo ni ni uchokozi
Kwa hiyo jamaa atashitakiwa kwa uchochezi au kosa gani?
Na kusimamishwa kazi kuna husianaje na hilo kosa lake lisilohusiana na utendaji wa kazi zake?
Hana kosa kisheria ila tujifunze kuheshimu mawazo na tamaduni za wenzetu
Atatoka wamemuweka lockup kwasababu za kiusalama tu.
Na ww nenda kafanye hicho alicho kifanya huyo jamaa ili na wewe tuuone ushujaa wako.Hapa huyu jamaa wanampotezea muda wake tu na kudekeza watu wa jamii frani kwani leo mtu akinunua Bible na kuichana nani atakuwa na muda wa kupoteza juu yake? Maana madukani zipo tele
Sent using Jamii Forums mobile app
Tujifunze uvumilivu mi cjaona sababu ya kuona usalama wake ni mdogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe kwenye maelezo yako, ila waziri hakutakiwa kuamua aliyoyaamua, kama kuna kifungu kinamruhusu kufanya hivyo tuelimishane tu.. nilitegemea afikishwe mahakani then sheria ichukue mkondo wakeOKEY KWANINI UFANYE KILE KINACHOWEZA KULETA TAHARUKI KATIKA SEHEMU YA UMMA UNAOUNGOZA? HUONI HII SINTOFAHAMU INAWEZA LETA UTENGANO NA CHUKI?
HAPA TUNAWEZA CHUKUA MFANO WA HUKUMU ILIYOTOLEWA BRAZIL ZIDI YA FILAMU YA USODOMA ALIOFANYA YESU. SI WOTE WAAMINIO KATIKA KRISTO HIVYO WENGINE WANAMUONA YESU KAMA MR BEAN TU
Why nonsense,that is an obvious truth.Non sense
Dini yako ya Kikristo imeingiaje hapo?
Unazijua sababu za yeye kufanya hivyo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiyari keshaanza kuadhibiwa maana kasha poteza kazi na kama alikuwa hana sehemu nyingine ya kuingiza chochote, wawato wanaenda kupata tabu kwa upumbavu wake.Ndiyo Mungu atamwadhibu ila serikali imemsaidiatu kumlinda na hasira za Watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niulize hivi, hicho kitabu kinauzwa Dukani?
Je kama kinauzwa nani kakinunua?
Maana kama kakinunua mwenyewe na amekichana mwenyewe hana kosa maana ni maali yake, isipokua kama kachukua cha mtu mwenye kitabu ndio mwenye haki ya kuchukua hatua za kisheria au kusamehe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ujinga wa kushika dini na Mapenzi ndicho kitu pekee Mwafrika anaweza kujipambanua Ulimwenguni. Jitu zimaaa mpaka mishipa ya mkun-d'u inasimama kisa Kitabu kilichotolewa Photocopy hapo Mtaa wa Congo kimechanwa! Akili matope kabisa Kiongozi pia kusimamisha kazi mtu kisa kachana Kitabu, SERIKALI HAINA DINI MJUE