Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Vip wale walio hubiri uchomaji makanisa, na wakatekeleza??

Na wale wanao hubiri baadhi ya watu waueliwe tena viongozi??
Vipi na wale wanahubiri hadhalani kuwa jamiii fulani au watu wa dini fulan wauliwe, wanakamatwa??
Wale ambao wana lazimisha dini nyingine zifate dini yao kipindi chao kama mfungo, na ukikutw unakula msimu huo unafanyiwa vurugu, unapigwa vipi wali kamatwa?

WATU WAACHE DOUBLE STANDARD.

Sent using Jamii Forums mobile app
kifupi waziri kaingia mzima mzima bila kushika pembeni kujilinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kaka huyu anae chinjwa hapo ni MCHAWI. kila kosa linahukumu yake katika Uisla, mathalani Mchawi anauliwa kama alivyo uliwa hapo.
Vyovyote vile alivyo fanyiwa huyo jamaa kwenye hilo tukio ni unyama, hiyo sio dini ni unyama tu.
 
Kuchana hadharani kuna kuhusu nini wakati kitabu kakinunua yeye? Kosa kama kachukua cha mtu mwingine haya mambo ni kuendekeza upuuzi tu kwani vitabu kama hivyo vimeisha madukani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu chukua noti ya 1000 uliyo itafuta kwa nguvu yako alafu nenda mbele ya kituo cha polisi kaichane, au kanunue bendera ya taifa nenda kaichome moto ili tukuone ushujaa wako wa kutetea upuuzi uko wapi.
 
Ndiyo Mungu atamwadhibu ila serikali imemsaidiatu kumlinda na hasira za Watu.
Kitu cha kujifunza ni kwamba binadamu ni wajinga,hawajitambui na ni wanafiki! Kama Mungu yupo si ajitetee mwenyewe? Kwa nini watu/serekali inamtetea Mungu? Kama mtu kachana kitabu kitakatifu kilichoshuka kutoka mbinguni si waache Mungu amuadhibu jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kaka huyu anae chinjwa hapo ni MCHAWI. kila kosa linahukumu yake katika Uisla, mathalani Mchawi anauliwa kama alivyo uliwa hapo.
Uchawi unathibitishwa kivipi?
Wameuwa mtu asie kuwa na hatia kama kosa lake ni uchawi.
 
Hapa huyu jamaa wanampotezea muda wake tu na kudekeza watu wa jamii frani kwani leo mtu akinunua Bible na kuichana nani atakuwa na muda wa kupoteza juu yake? Maana madukani zipo tele

Sent using Jamii Forums mobile app
Na ww nenda kafanye hicho alicho kifanya huyo jamaa ili na wewe tuuone ushujaa wako.
Maana naona umetokwa na mishipa kutetea upumbavu.
Na umefurahishwa na alicho kifanya huyo mpuuzi.
 
OKEY KWANINI UFANYE KILE KINACHOWEZA KULETA TAHARUKI KATIKA SEHEMU YA UMMA UNAOUNGOZA? HUONI HII SINTOFAHAMU INAWEZA LETA UTENGANO NA CHUKI?
HAPA TUNAWEZA CHUKUA MFANO WA HUKUMU ILIYOTOLEWA BRAZIL ZIDI YA FILAMU YA USODOMA ALIOFANYA YESU. SI WOTE WAAMINIO KATIKA KRISTO HIVYO WENGINE WANAMUONA YESU KAMA MR BEAN TU
Nakubaliana na wewe kwenye maelezo yako, ila waziri hakutakiwa kuamua aliyoyaamua, kama kuna kifungu kinamruhusu kufanya hivyo tuelimishane tu.. nilitegemea afikishwe mahakani then sheria ichukue mkondo wake

Huko kwenye filamu ya Yesu, mamlaka husika si ndo ilifanya maamuzi..? Au nakosea?
 
Naomba niulize hivi, hicho kitabu kinauzwa Dukani?
Je kama kinauzwa nani kakinunua?

Maana kama kakinunua mwenyewe na amekichana mwenyewe hana kosa maana ni maali yake, isipokua kama kachukua cha mtu mwenye kitabu ndio mwenye haki ya kuchukua hatua za kisheria au kusamehe


Sent using Jamii Forums mobile app

Acha kuongea usiyoyajua,,,Quran co madaftari, vijitabu au biblia yenu,,,ile ni Quran tukufu. Mnatia huruma sana enyi wayahudi weusi
 
Ulevi wa dini ni mbaya sana, unafanya usiwe na uwezo wa kufanya mambo kwa kuangalia vitu vya maana bali unakuwa unaongozwa na hisia za kidini ukiamini unampendeza Munngu. Mara nyingi huwa nawaambia watu kuwa kama pepo ipo basi tusishangae kutokuta muumini yeyote wa dini huko, huenda pepo ikajaa wapagani watupu.
 
Mbona unabwekea upande mmoja?
Hata maji ukiyatumia sivyo yaweza kukudhuru, basi hivyo hivyo hocho kitabu japo kimetolewa copy huheshimiwa, usipokiheshimu watakuua wenye nacho au utaokolewa na hao unaowaona.
Unabisha jaribu.
Ujinga wa kushika dini na Mapenzi ndicho kitu pekee Mwafrika anaweza kujipambanua Ulimwenguni. Jitu zimaaa mpaka mishipa ya mkun-d'u inasimama kisa Kitabu kilichotolewa Photocopy hapo Mtaa wa Congo kimechanwa! Akili matope kabisa Kiongozi pia kusimamisha kazi mtu kisa kachana Kitabu, SERIKALI HAINA DINI MJUE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom