Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Hakuna jaziba,ndio maana wamefuata sheria.
Ndio amechana Qur'aan yenyewe.

Waislamu wenye kulichukulia jambo hili kwa jazba, hawana elimu juu ya Uislamu wao, hilo mosi.

Pili,kuna kitu kilichopelekea hili, tumeusiwa sana tusioende mijadala ya dini, kwani mara nyingi hupelekea kutukaniwa vipenzi vyetu (Allah, mtume wetu, na mitume na manabii wengine na waja wema walio pita). Kwahiyo tunatakiwa kujiepusha na mijadala hasa sisi ambao hatuna elimu ya hii dini.

Tatu, uvumilivu jambo la msingi sana ukiwa katika nchi kama hizi ambazo hazitawaliwi kiislamu, kwani kuondoa udhia katika nchi kama hizi kunataka elimu na maarifa mapana tena kwa kuangalia faida na hasara.

Nne, ningekuwa mimi ndio mwenye mamlaka, huyo mtu ningemuachia, ila najua Allah aliye juu hatomuacha hivi hivi, atamlioa stahiki yake tu kwa namna anayoijua Allah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jikite kwenye mada,mada ni kuchanwa kwa kitabu,chenye maandishi,muhimu kwa watu fulani.Wafikiri huyu,angechana hata cheti cha shule cha mtu,na huyo mtu yupo,mbele take,asingemshtaki?
Kiini cha hoja yangu umekiona? Hivi kabla ya utaalam wa kuchapisha kutokea Quran ilikuwa unaijuaje kwamba hii ni Quran? Maana enzi za mtume Mohamed (S.A.W) mitambo ya uchapishaji haikuwepo?

Na wale wanaohifadhi Quran nao ni mpaka wawe na kitabu kilichochapishwa ndiyo useme kwamba wana Quran? Sisi wengine tumekuzwa na waislam kweli kweli wanaoiheshimu dini yao haya mambo tunayajua kwa kiasi chake. Nasema huyo kijana kakosea lakini si sahihi kumharamisha kama watu wanavotaka itokee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi unathibitishwa kwa athari na kuna ishara za kujua uchawi na kujua mtu amefanyiwa uchawi, huyo mpaka amepewa hiyo hukumu watu wamejiridhisha ndio maana kauliwa.

Sasa unapokubali kwamba ni mchawi kisha unakanusha kwa kusema ni mtu ambae hana hatia, inaonyesha ni kwa namna gani hujui unacho egemea. Huu ujinga huwa nauona jf pekee watu wajadili jambo wasilokuwa na elimj nalo.
Hakuna uchawi, na uchawi hauthibiti, ni hisia zao na woga wao tu zimetawala maamuzi yao.
 
Kikwajuni One acha mihemko. Umesoma alichoandika Zurri ? Kila mjadala una kiini chake.

Hicho cheti kama hakina maana kwa huyo mtu hawezi kuhamaki. Hapa kinachojadiliwa ni utukufu wa Qur'aan na Zurri kajibu vizuri sana. Zurri kajibu vizuri sana nini maana ya Qur'aan na mjadala na mimi ukaishia pale.
 
Hivi kwa akili yako ndogo,hujui kama huyo alivyofanya ni vurugu.Au wataka kumtetea kwa vile,wafikiria ni mkristo,ni wapi katika mafundisho ya Kirsto,yanayosema,kuharibu au kuchana kitabu cha imani nyingine,unaruhusiwa.Kwa wakristo wanaojielewa,pia lazima wapinge kitendo hicho.Hakuna mafunzo ya dini yoyote,yanaoruhusu kuchana kitabu cha dini nyingine,ndio ukaona toka Biblia iwepo,hakuna kumbukumbu yoyote ya muislamu,kuchana Biblia.
Kumbe Waislam wanaweza kusababisha vurugu kubwa kisa mtu kuchana Quran?
Mbona hiyo imani inakashifiwa sana hata hapa JF?
Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuguswa na mtu,na hakufanywa kitu,ni sheria inachukuwa mkondo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umekiona alichokiandika huyo dem kuwa angepigwa jambia la kichwa?
Yani Kikwajuni kuna Mkristo akiona mnaandika hayo atasilimu?

Au mtamuaminisha kwa njia gani tena anayesema uislamu na waislamu ni magaidi kuwa ninyi ni watu wa amani na upendo?
 
Hivi kwa akili yako ndogo,hujui kama huyo alivyofanya ni vurugu.Au wataka kumtetea kwa vile,wafikiria ni mkristo,ni wapi katika mafundisho ya Kirsto,yanayosema,kuharibu au kuchana kitabu cha imani nyingine,unaruhusiwa.Kwa wakristo wanaojielewa,pia lazima wapinge kitendo hicho.Hakuna mafunzo ya dini yoyote,yanaoruhusu kuchana kitabu cha dini nyingine,ndio ukaona toka Biblia iwepo,hakuna kumbukumbu yoyote ya muislamu,kuchana Biblia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na vipi yale makanisa waislam waliyoyachoma zenji?
 
Watu wanasilimu kwa hoja,sio kwa akili zako wewe.
Haki kama kuna mtu alitaka kusilimu leo anaacha maana atagundua waziwazi nyie ni wajinga na anakwenda kupotea.
Corona haijaanza kugundulika jana wewe stuka unapotea vibaya sana, huyo allah angekuwa na uwezo angeshawafanya mbaya sana wayahudi na marekani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani hoja yako hasa ni ipi?
Vifungu alivoviweka vimekosewa? Au sio vya kweli?
Au hujapenda tu vifungu kuwekwa hadharani kwasababu tu kuna watu wamesomea miaka minne na wapo kimya?

Elimu bila kuelimika!

Sent using Redmi Y2
Achana nae huyo, humu JF hatujuani kikweli ndio sababu

ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Back
Top Bottom