Wanaokanyagana makkah sababu huwa ni nini?Huwezi kulinganisha watu wanaokanyagana makka na hao wanaokanyagana kisa mafuta ya nabii feki. Pure nonesense
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio amechana Qur'aan yenyewe.
Waislamu wenye kulichukulia jambo hili kwa jazba, hawana elimu juu ya Uislamu wao, hilo mosi.
Pili,kuna kitu kilichopelekea hili, tumeusiwa sana tusioende mijadala ya dini, kwani mara nyingi hupelekea kutukaniwa vipenzi vyetu (Allah, mtume wetu, na mitume na manabii wengine na waja wema walio pita). Kwahiyo tunatakiwa kujiepusha na mijadala hasa sisi ambao hatuna elimu ya hii dini.
Tatu, uvumilivu jambo la msingi sana ukiwa katika nchi kama hizi ambazo hazitawaliwi kiislamu, kwani kuondoa udhia katika nchi kama hizi kunataka elimu na maarifa mapana tena kwa kuangalia faida na hasara.
Nne, ningekuwa mimi ndio mwenye mamlaka, huyo mtu ningemuachia, ila najua Allah aliye juu hatomuacha hivi hivi, atamlioa stahiki yake tu kwa namna anayoijua Allah.
Wew ni farasi
Kiini cha hoja yangu umekiona? Hivi kabla ya utaalam wa kuchapisha kutokea Quran ilikuwa unaijuaje kwamba hii ni Quran? Maana enzi za mtume Mohamed (S.A.W) mitambo ya uchapishaji haikuwepo?
Na wale wanaohifadhi Quran nao ni mpaka wawe na kitabu kilichochapishwa ndiyo useme kwamba wana Quran? Sisi wengine tumekuzwa na waislam kweli kweli wanaoiheshimu dini yao haya mambo tunayajua kwa kiasi chake. Nasema huyo kijana kakosea lakini si sahihi kumharamisha kama watu wanavotaka itokee.
Hakuna uchawi, na uchawi hauthibiti, ni hisia zao na woga wao tu zimetawala maamuzi yao.Uchawi unathibitishwa kwa athari na kuna ishara za kujua uchawi na kujua mtu amefanyiwa uchawi, huyo mpaka amepewa hiyo hukumu watu wamejiridhisha ndio maana kauliwa.
Sasa unapokubali kwamba ni mchawi kisha unakanusha kwa kusema ni mtu ambae hana hatia, inaonyesha ni kwa namna gani hujui unacho egemea. Huu ujinga huwa nauona jf pekee watu wajadili jambo wasilokuwa na elimj nalo.
Tatizo limechukuliwa kidini zaidi, je hiyo Kitabu ilikuwa ya nani? Je wakati anachoma kulikuwa na mabishano? Tusifanye vitabu vya dini kama hirizi
This is why i don't like Islam.
Hao watu wameonyesha ukomavu na uvumilivu wa kiimani wa hali ya juu.
Au hivyo ndivyo Mungu wenu anawafundisha?
Kifungu namba ngapi
Kumbe Waislam wanaweza kusababisha vurugu kubwa kisa mtu kuchana Quran?
Mbona hiyo imani inakashifiwa sana hata hapa JF?
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekiona alichokiandika huyo dem kuwa angepigwa jambia la kichwa?Hakuguswa na mtu,na hakufanywa kitu,ni sheria inachukuwa mkondo wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa staili hii unadhani kuna mtu ataacha kuuita uislamu ni ugaidi?
Unadhani mimi nitashawishika kuwa muumini wa imani hiyo ambayo Mungu wake hawezi kujitetea?
Ukishafahamu wewe tu inatosha.
Na vipi yale makanisa waislam waliyoyachoma zenji?Hivi kwa akili yako ndogo,hujui kama huyo alivyofanya ni vurugu.Au wataka kumtetea kwa vile,wafikiria ni mkristo,ni wapi katika mafundisho ya Kirsto,yanayosema,kuharibu au kuchana kitabu cha imani nyingine,unaruhusiwa.Kwa wakristo wanaojielewa,pia lazima wapinge kitendo hicho.Hakuna mafunzo ya dini yoyote,yanaoruhusu kuchana kitabu cha dini nyingine,ndio ukaona toka Biblia iwepo,hakuna kumbukumbu yoyote ya muislamu,kuchana Biblia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe Mungu wenu ana dini na hawezi kuilinda basi sawa
Haki kama kuna mtu alitaka kusilimu leo anaacha maana atagundua waziwazi nyie ni wajinga na anakwenda kupotea.
Corona haijaanza kugundulika jana wewe stuka unapotea vibaya sana, huyo allah angekuwa na uwezo angeshawafanya mbaya sana wayahudi na marekani
Dini gani sasa hiyo ya kuuana?
Yani raha ya Ukristo unachoma Biblia tunakutazama na unakuja kula wali nyumbani kwangu bila shida.
Waislamu akili zenu haziwatoshi sasa kabisa, mnauwana maelfu kwa maelfu makkah kila mwaka kwa kugusa lile jiwe la makureshi [emoji13][emoji13]
Waislamu akili zenu haziwatoshi sasa kabisa, mnauwana maelfu kwa maelfu makkah kila mwaka kwa kugusa lile jiwe la makureshi [emoji13][emoji13]
Achana nae huyo, humu JF hatujuani kikweli ndio sababuKwani hoja yako hasa ni ipi?
Vifungu alivoviweka vimekosewa? Au sio vya kweli?
Au hujapenda tu vifungu kuwekwa hadharani kwasababu tu kuna watu wamesomea miaka minne na wapo kimya?
Elimu bila kuelimika!
Sent using Redmi Y2