Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Utukufu wake ni nini kuishinda Biblia? maana ina habari za kwenye Biblia kibao aliyemkopi mwenzie hawezi kuwa na utukufu kabisa
Ninyi viumbe wa ajabu sanaa, mtamteteaje mtu aliechoma kitabu tukufu! Ulishawai kuckia au kushuhudia Muislamu akichana bible yenu? Hakuna! Na ndio biblia yenu haiwezi lingana na Quran hata kidogo,Hata tukiamua leo kuichana haitatuletea madhara yoyote icpokua tunaheshimu tu imani zingine, na haitatokea kwa cc waislamu kufanya upumbavu kama mfanyavyo ninyi manaswara/wayahudi weusi.
ii) Qur’an Yenyewe inajieleza kuwa ni ufunuo kutoka kwa Mwenyezi Mungu (s.w.) wakati biblia yenu imetungwa tu na binadamu wenzio.
Ukiisoma Qur’an kwa makini utakuta kuna aya nyingi zinazojieleza kuwa Qur’an imeshushwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu, kama inavyodhihirika katika aya chache zifuatazo:
Lakini Mwenyezi Mungu anayashuhudia kuwa aliyokuteremshia (kuwa ni haki) ameyateremsha kwa ilimu yake, na Malaika (pia) wana shuhudia. Na Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi. (4:166).
"Uteremsho wa Kitabu hiki hauna shaka kuwa umetoka kwa Muumba wa ulimwengu. Je, wanasema: "Amekitunga mwenyewe." (Sivyo hivyo). Bali hicho ni haki itokayo kwa Mola wako ili uwaonye watu wasiojua na muonyaji kabla yako. Huenda wakaongoka". (32:2-3).
Na Kitabu tulichokuletea kwa wahyi ndicho cha haki, kinachosadikisha (vitabu) vilivyokuwa kabla yake. Bila shaka Mwenyezi Mungu kwa waja wake ni mwenye kuwajua vyema na kuwaona vizuri." (35:31).
Ni mwenye kuleta baraka (kweli kweli) yule Aliyeteremsha Qur’an kwa mja wake, ili awe muonyaji kwa walimwengu wote. (25:1).