Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi

Afisa biashara wa Halmashauri yuko chini ya ofisi ya Raisi ? Au ndo tu-connect dots hapo ?
 
1. Kinachoshangaza ni kwamba hawa WaIslam sijasikia hata siku moja kwamba wamechana au kukojolea Biblia.
2. Lakini ajabu ni kwamba, wanaochana au kukojolea Qur'an wengi wao ni Sisi Wakristu, ambao tunaambiwa ni vichaa. Hivi mnataka kusema kuwa WaIslam ndio watu wenye akili sana kuliko Sisi Wakristu. Je, wao hakuna vichaa.
3. Hivi Sisi tumesoma sana hadi tukawa vichaa kwa sababu ya kusoma au wengi wetu tuliiba mitihani?
4. Hivi kweli kwamba tumesoma sana hadi tunahitaji mafuta ili tuokoke au tumesoma bila kuelimika.
5. Nilikuwa nimekaa mahali fulani nikasikia waIslam wanatucheka wanasema: 'Waachani wauane wenyewe kwa kukanyaga mafuta ya nguruwe'.
Hivi sisi walokole tunakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo maswali kaulize boko haramu au al shabaab
1. Kinachoshangaza ni kwamba hawa WaIslam sijasikia hata siku moja kwamba wamechana au kukojolea Biblia.
2. Lakini ajabu ni kwamba, wanaochana au kukojolea Qur'an wengi wao ni Sisi Wakristu, ambao tunaambiwa ni vichaa. Hivi mnataka kusema kuwa WaIslam ndio watu wenye akili sana kuliko Sisi Wakristu. Je, wao hakuna vichaa.
3. Hivi Sisi tumesoma sana hadi tukawa vichaa kwa sababu ya kusoma au wengi wetu tuliiba mitihani?
4. Hivi kweli kwamba tumesoma sana hadi tunahitaji mafuta ili tuokoke au tumesoma bila kuelimika.
5. Nilikuwa nimekaa mahali fulani nikasikia waIslam wanatucheka wanasema: 'Waachani wauane wenyewe kwa kukanyaga mafuta ya nguruwe'.
Hivi sisi walokole tunakwama wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana bahati sana hajauawa na waumini wa Kiislam, sifa nyingine za kijinga zinaponza sasa angalia anasimamishwa kazi.

Hii aione bibi yangu kipenzi FaizaFoxy
Ma shaa Allah sifa zote zimuendee Allah.

Nimesoma kutoka group la WhatsApp hii habari na kuna mtu humo kasema, Waislam wamefanya vizuri sana kumwachia, nami naunga mkono hoja yake.

Huyo "anakaanga mbuyu aache wenye meno watafune".
 
kuchana hadharan ndio kosa mana linaleta chuki katika jamii maana waislam hawataweza kufurahia jambo hilo. Na swali la kujiuliza ni kwann Shane!!!? Huo ni uchochezi na hauna matokeo mazur hasa kwa jamii yetu hii ambayo tunashirikiana katk mambo mengi ya kijamii. Mtu yeyote Si vema kuidhihaki na kuidhalilisha imani ya Mtu mwingine na ukizingatia yeye Ni mtumishi wa umma haikupendeza yeye kuufanya hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchana hadharani kuna kuhusu nini wakati kitabu kakinunua yeye? Kosa kama kachukua cha mtu mwingine haya mambo ni kuendekeza upuuzi tu kwani vitabu kama hivyo vimeisha madukani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema hivyo ukiwa kama nani mkuu?
Naomba niulize hivi, hicho kitabu kinauzwa Dukani?
Je kama kinauzwa nani kakinunua?

Maana kama kakinunua mwenyewe na amekichana mwenyewe hana kosa maana ni maali yake, isipokua kama kachukua cha mtu mwenye kitabu ndio mwenye haki ya kuchukua hatua za kisheria au kusamehe


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa cha habari kinavysomeka hapo juu

Nimetizama video ya yule kijana mchana Quran nilichogundua ni kuwa huyu jamaa alikuwa kalewa na hata hajielewi

Na hapo awali walibishana kama atachana Quran bas atakufa hapo hapo

Cha ajabu hajafa

Cha ajabu Quran imeshindwa kujitetea yenyewe hadi imetetewa na waziri

Lakin nafikiri huyu jamaa Endapo angechana BIBLE angepuuzwa tu

Na angepambana na kristo mwenyewe wala siyo na waziri

Maana BIBLE inajitetea yenyewe wala siyo na wanadam

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mfanyakazi wa serikali analewa wakati wa kazi?
 
Hapa huyu jamaa wanampotezea muda wake tu na kudekeza watu wa jamii frani kwani leo mtu akinunua Bible na kuichana nani atakuwa na muda wa kupoteza juu yake? Maana madukani zipo tele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom