Yummy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 1,796
- 1,337
Umenikumbusha kitu,
Kuna makabila, mwanamume akioa mke mwenye mtoto mdogo anaweza kumuua ili mwanamke asipoteze muda kunyonyesha na kuchelewesha jitihada zake za kutafuta mtoto wa kwake (kama wanavyofanya simba)!!
Jambo gumu sana ila ni fact ambayo hatuwezi kuikimbia!!
Babu DC!!
Hii kali na mpya kwangu......ama kweli Mama Tuli kua uyaone mweeeh