Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
- Thread starter
-
- #361
HahaManka wangu nakupenda,
Hakyamungu nakupenda,
Yesu na maria nakupenda,
Yani ninavyokupenda niko tayari kwenda kuiba dukani kwa urassa nikupe chochote unachotaka.
Wako Mangi.
Chonde chonde...Eeh demiss cha mdeko, mchuchu wangu kimwana
nalipenda lako cheko. usiyejua kununa
na huo mji mtako, nipe (penzi) ntakukuna
ni tayar kwa chochote, nimpokonye mshana.
Moyo umetua jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aisee wewe jamaa ni fala[emoji23]
NgastukaaaaaManka wangu nakupenda,
Hakyamungu nakupenda,
Yesu na maria nakupenda,
Yani ninavyokupenda niko tayari kwenda kuiba dukani kwa urassa nikupe chochote unachotaka.
Wako Mangi.
Ngj na mm nakujibu sasa hiviChonde chonde...
Manka wangu nakupenda,
Hakyamungu nakupenda,
Yesu na maria nakupenda,
Yani ninavyokupenda niko tayari kwenda kuiba dukani kwa urassa nikupe chochote unachotaka.
Wako Mangi.
Aya Mama nasubiri, lakin chonde chonde msinivute kilingeni..Ngj na mm nakujibu sasa hivi
HUBA MITHILI YA RUBA,MAHABA BILA SHULUBA.Chonde chonde...
[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji182] [emoji182] [emoji182] i ddint expect this?!! thank you bae[emoji3] [emoji3]moyo wangu ume lizia,
kuku penda wewe Inna
mwingine tena siwazi,
usije niumiza mtima
Nina muomba mwenyezi
maisha nikae nawe
Pendo langu mim nawe
halihitaji wapambe
Naomba sana uelewe
usi hofu wenginewe
wabaki na simulizi,
watuige wapagawe
Hahahahahah ngoja na mm nikupe kama wamekususaHaya washairi
😀 Dah!Hahahahahah ngoja na mm nikupe kama wamekususa
Najua unaogopa, napia unamashakaHUBA MITHILI YA RUBA,MAHABA BILA SHULUBA.
IDHILALI BILA SHABA,KIKUKOSA MAHABUBA.
NAPENDA UKIWA SABA,KIUNGO NANE NAKABA.
Kwako Hassan Mambosasa😀 Dah!
Moyo wangu, moyo wangu unauadhibu,Najua unaogopa, napia unamashaka
Penzi tamu nitakupa, kamwe huwezi kuchoka
Pili mimi ni kibopa, nyumba gari nitakupa
Ni tayari kwa chochote, nimpokonye mshana.
Ewaaaa acha niringe mie kwakukupata kipenzi cha moyo wangu,unanifanya kila siku nakuona mpya,nakupenda wewe mwifwa wanguKwako kipenzi changu moneytalk.
Wangu kipenzi mzuri, mfano kama hariri.
Wewe kwangu ni habari, kifani chako dinari.
Zipite enzi dahari, ubaki wangu uturi.
Mola akujaze kheri, akuepushe na shari.
Toa pongezi basiKhaaaaaah