Mtungie shairi lenye ubeti mmoja au zaidi mwanadada umpendaye hapa JF

Watu weweeeee.... Shairi tamu hadi jogoo anawika
 
Dinazarde uko wapi, Gogle ninaangamia
Ukimya wako mkuki, moyoni unanichoma
Jitokeze tafadhali, unipe jibu murua
Mtoto kama asali, nipate kujilambia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu hebu mtaje.

Ukikaa naye kula si vinachacha kabla ya kula sasa
Mkuu si mpenzi wangu lkn ni wa jamaa fulani!,hivyo nimerusha jiwe gizani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…