MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Watu mnalalamika sijui team kiba, wema, joketi upuuzi mtuupu (platnumz alichukua mtv EMA na timu hizo hizo plus timu lowasa) , ila wasanii watanzania wajitahidi watoe album naona international wanatizama sana album kuliko single, la sivyo watafeli na hizi timu zinaeffect kila upande usizan zinaeffect tu upande wa DAI.
Kipindi kile timu yak ilikua active tofauti na zama za kipindi kile team zikiwa active. Sijui lowasa toka lini alikua na timu za kisanii?
 
mbavu zangu😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Japokuwa Ali Kiba hajapata Tuzo ila ameimba vizuri...Ametendea haki mashabiki...

Daimond alikuwa anatetemeka kama ana schizophrenia ya mdomo..Play back ya CD ipo mbele yeye na sauti ya mitetemeko yupo nyuma....Aliniudhi sana...

Ameng'ang'ana na kucheza....Sikuelewa Diamond ni yupi na Dancers ni wapi...Ni vurugu tupu.....

MTV awards japokuwa wasanii wetu hawajashinda ila Ali Kiba kafunika...
Alikiba kaimba live?
 
kutoka mitandao mingine

Am so happy that both mondi and kiba missed because those people who said unity is power ain't fools. Now people will learn teams bring nothing but shame. Let them continue with their team waone watakavyozidi lose every single day... am so happy today but still my fellow Tanzanians are fools they will keep doing the same shit. Wacha nkalale
Bado category moja ya mtz kubeba
 
Oyaaaaaaa!! Kama watu hamuelewi kinachoendelea pigeni kimya.. Mnaanza kuandika barua za maombolezo sijui tanzania tumeambulia patupu sijui nini nini..

Bado category mbili!
Leo lazima tung'are aisee..
 
Oyaaaaaaa!! Kama watu hamuelewi kinachoendelea pigeni kimya.. Mnaanza kuandika barua za maombolezo sijui tanzania tumeambulia patupu sijui nini nini..

Bado category mbili!
Leo lazima tung'are aisee..
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] safari hii tumekamatwa vizuri
 
Back
Top Bottom