MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

MTV Mama Awards 2016: Watanzania waambulia patupu, Nigeria na South Africa wang'ara

Hahhahahahaha hahahahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona majibu ya jazba yameanza watu washavurugwa ndugu yangu muuliza swali watu hawapendi ujinga hahaah
Hakuna jibu la jazba labda kama wewe ulilete
 
Watu mnalalamika sijui team kiba, wema, joketi upuuzi mtuupu (platnumz alichukua mtv EMA na timu hizo hizo plus timu lowasa) , ila wasanii watanzania wajitahidi watoe album naona international wanatizama sana album kuliko single, la sivyo watafeli na hizi timu zinaeffect kila upande usizan zinaeffect tu upande wa DAI.
 
Hahhahahahaha hahahahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona majibu ya jazba yameanza watu washavurugwa ndugu yangu muuliza swali watu hawapendi ujinga hahaah
Hahaha me nmeuliza tu mdau labda style mpya yeye kajuaje si kama mdogo mdogo Ile ana tetemeka
 
yaani diamond alikuwa na watu wachache sana wa kumpigia kura maana tanzania ametengeneza magroup kibao
team wema
team kiba
team hamisa
uganda kaharibu kamtukana ivan
kenya zari kawatukania huda wao plus wanampenda kiba
Na nature ya wabongo pia kumwona kapiga hatua so jealous hata kupiga kura ikawa ni issue sana. Hizi timu nazo ni janga
 
kutoka mitandao mingine

Am so happy that both mondi and kiba missed because those people who said unity is power ain't fools. Now people will learn teams bring nothing but shame. Let them continue with their team waone watakavyozidi lose every single day... am so happy today but still my fellow Tanzanians are fools they will keep doing the same shit. Wacha nkalale
 
ni lini diamond atajifunza ku concentrate na kuimba badala ya kucheza? sauti yake ya live ni mbaya sana,kinachomuokoaga na show za kenya na bongo ni watu kuitikia nyimbo zake na mchecheto wa kumuona,huwa wanamrahisishia show zake,utasikia tuimbe sote,twendeee lakini leo jamani afadhali mara mia kiba sauti ya kiuimbaji imeonekana,diamond aamue kama anataka ku dance au kufanya live shows serious
 
mshana jr Kama utashindwa kuwaroga MTV basi usituletee tena stori za uganga....
haiwezekani taifa linateketea alafu nyie mupo mumetulia tu...
hapa maombi mwakan tuwaroge

eti pamoja na timu lowassa duuhh
Watu mnalalamika sijui team kiba, wema, joketi upuuzi mtuupu (platnumz alichukua mtv EMA na timu hizo hizo plus timu lowasa) , ila wasanii watanzania wajitahidi watoe album naona international wanatizama sana album kuliko single, la sivyo watafeli na hizi timu zinaeffect kila upande usizan zinaeffect tu upande wa DAI.
 
Watu mnalalamika sijui team kiba, wema, joketi upuuzi mtuupu (platnumz alichukua mtv EMA na timu hizo hizo plus timu lowasa) , ila wasanii watanzania wajitahidi watoe album naona international wanatizama sana album kuliko single, la sivyo watafeli na hizi timu zinaeffect kila upande usizan zinaeffect tu upande wa DA
 
Japokuwa Ali Kiba hajapata Tuzo ila ameimba vizuri...Ametendea haki mashabiki...

Daimond alikuwa anatetemeka kama ana schizophrenia ya mdomo..Play back ya CD ipo mbele yeye na sauti ya mitetemeko yupo nyuma....Aliniudhi sana...

Ameng'ang'ana na kucheza....Sikuelewa Diamond ni yupi na Dancers ni wapi...Ni vurugu tupu.....

MTV awards japokuwa wasanii wetu hawajashinda ila Ali Kiba kafunika...
 
Back
Top Bottom