John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Kwa nature ya tukio hili, huyu lazima atakuwa alinyongwa kwa kuwa alikuwa anazo taarifa zote muhimu kuhusu tukio hili, kifo chake ilikuwa ni Clean-up Mission ili kuficha ukweli wa tukio hili.Alijinyonga akiwa selo.
Mkuu sio pesa tu hata mavazi,nishaona pale taifa askari wanaovaa kiraia akiwa juu ya defender akimpora kofia jamaa,jamaa kushtuka yule polisi akiwa juu ya defender anajifanya kumuuliza kofia nzuri kama hizi uwa mnazitolea wapi nyinyi wakati ile defender ikitembea mdogo mdogo,jamaa akaishia kuangalia kofia yake ikiondoka,nikajiuliza askari kama wale ndio wanakukuta na pesa nyingi si wanakuua kabisa!Polisi tizii wakijuwa una hela watafanya lolote wakutemeshe
Hata yule jamaa hmza chanzo ni hiyo hiyo dhlma aliyofanyiwa sema kwa sababu hatua aliyochukua yeye ilijuwa kali sana akageuziwa kibao
Ova
"Mwenye macho haambiwi tazama"Ewe Police ulie kazini, angalia hii picha ya hao jamaa wenzako ambao walikuwa wananyanyasa rai sababu ya magwanda yao...
Mkiendelea na huo ubaya wenu mna mambo mawili, mtaishia kama wao, au mtakuwa na utu mzima wa mateso, masikitiko na dhiki sana.
Hapa tatizo ni kwamba polisi wanajichunguza wenyewe, mwisho wa siku watajiachia huruAisee majambazi ndani ya polisi. Alafu sheria ya kunyongwa ifutwe napinga kabisa
Wewe kwanini unaona achomokiAnachomokaje kwa mfano?
Dk kwenye mipango akikwepo na ndo akiyetoa mbinu ya kuua,kumbuka hata sindano ya kumwua alitoa yeyeAll in all Dr hakuwa
Wewe kwanini unaona achomoki
Mkuu nimeogopa,nini kifanyike ili kuwaondolea mamlaka hawa jambazi wenye unifomu?😭😭😭Mkuu acha kabisa ....
Mimi nilishasema ukiwa mikononi mwa polisi ...toa ushirikiano hata kama ni uongo ...wakikulazimisha kwamba sign hapa...wewe tii amri
Usijifanye mjuaji ..ukifika mahakamani sema nililazimishwa kusema uongo...
Kuna jamaa pale Moshi mjini mpaka Leo mwaka wa 8 ..magoti yake kila mwezi yanajaa maji kwa kipigo kikali baada ya kujifanya mjuaji kituo cha polisi ... Kwamba sema Mimi Jambazi na Nina miliki silaha nyumbani ..ili maelezo yatumike kama ushahidi ..
Mahakamani ..iliona hakuna ushahidi wa moja kwa moja kumtia hatiani ..lakini tayari ana maumivu ya maisha...
Hawezi kutembea hatua 15 bila msaada wa fimbo ..huwezi kustaki polisi ..maana muundo wa haki una shida ...unaweza kujikuta unastakiwa tena kwa ujambazi...
Ndio maana ukisikia MTU kafa kituoni ..jua kwamba kuna tukio LA kilazima lilikuwa linafanyika na mtuhumiwa anaonyesha jeuri
Ukisoma vizuri maelezo ya Dr, hakuwa anajua kuwa mtuhumiwa ni nani, na askari wana mpango gani nae, wameingia ndani yeye alichokuwa anajua ni kwenda kumchoma sindano ya usingizi na sio kuua, iyo inamuondoa hatianiDk kwenye mipango akikwepo na ndo akiyetoa mbinu ya kuua,kumbuka hata sindano ya kumwua alitoa yeye
Mkuu huyo doctor kakiuka maadili ya kazi,anatakiwa kumtibu mtu katika mazingira sahihi,sio kituo cha polisi,pili yawezekana yeye sio mtaalamu wa maswala ya dawa za usingizi hivyo alifanya kwa msukumo wa pesa.All in all Dr hakuwa
Wewe kwanini unaona achomoki
Yaani inatakiwa auliwe mhusika na ndugu zake wachache ili iwe fundisho kwa ubaya wake.Sasa ukoo unahusika na nini?
Yaani auwe bamdogo uje kuniroga na mimi?
Kama kafa ndugu yenu nasi uweni ndugu yetu mhusika.
Yeye kama Daktari unaambiwa mchome mtu Sindano ya usingizi alafu unamchoma tu.Daktari anayo kesi kubwa ya kujibu pia.Ukisoma vizuri maelezo ya Dr, hakuwa anajua kuwa mtuhumiwa ni nani, na askari wana mpango gani nae, wameingia ndani yeye alichokuwa anajua ni kwenda kumchoma sindano ya usingizi na sio kuua, iyo inamuondoa hatiani
sio GPO,ni PGO(Police General Order)
Hata mdogo wangu alikuwa anataka kuwa askari mama alikataa.In short kuwa askari kwa nchi kama Tanzania ni sawa na mtu aliyelaaniwa.
Babu yangu mzaa mama wakati watoto wake wanachagua kazi za kufanya aliwaonya asithubutu hata mmoja kujisemea anataka kuwa askari,yeye aliutafsiri uaskari kama kazi ya dhulma na ukiangalia matukio wanayofanya hawa mabwana huwezi kuwatenganisha hata nukta na laana.
Duuh siyo Fair" Mahembe alidaiwa kujinyonga hadi kufa Januari 22, 2022 akiwa mahabusu."
Hapa ninahisi ndipo pa kutokea.
Kwenye maelezo hapo juu, Grey kaelezwa kama mtu ambaye alikuwa anajua mengi kuhusu hii kesi.
Greyson alikuwa askari na ni mtoto wa manajeshi mstaafu.
Namna na chanzo cha kifo chake napo ni giza kulingana na maelezo ya ndugu zake kwenye vyombo vya habari.
Kuna siku niliibiwa wallet k'koo,kulikua na baadhi ya vitambulisho kuvipata kwake lazima nipate ripoti ya polisi,si ndio nikatimba pale msimbazi polisi,vioja nilivyofanyiwa pale ikiwa mimi ndio niliobiwa sitosahau!nikatishiwa hadi kuwekwa ndani kwa kosa ambalo hata silijui!😃Shukrani kwa kuweka usahihi wa kijitabu hiki muhimu.
PGO (Police General Order) kinatakiwa hata wajumbe wa nyumba kumi / balozi wa mtaa / ofisi ya serikali ya mtaa wawe na PGO mezani pamoja na ilani ya CCM !
Ili raia katika maeneo yao akikamatwa, mjumbe akiwa shahidi na mlinzi wa amani wachungulie, je taratibu zinafuatwa pia kwa wale wanaoenda kituo cha polisi kwa hiyari pia walindwe na kusikilizwa matatizo yao kwa utaratibu wa PGO