Mtwara: Kamati ya Uchunguzi matukio ya mauaji yadai kubaini Polisi walimpora fedha mfanyabiashara wa madini

Mtwara: Kamati ya Uchunguzi matukio ya mauaji yadai kubaini Polisi walimpora fedha mfanyabiashara wa madini

BigTall

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2022
Posts
525
Reaction score
1,257
Taarifa ya Kamati ya uchunguzi wa matukio ya mauaji yanayodaiwa kufanywa na baadhi ya askari mkoani Mtwara inadaiwa kubaini Jeshi la polisi lilishindwa kuteleza wajibu wake wa kulinda usalama wa Raia na mali zake badala yake likageuka kumpora fedha mfanyabiashara wa madini.

Sirro.jpg

Pia soma
- Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7 (25/01/2022)
 
Ripoti imeshathibitisha kuwa wanahatia ila cha ajabu mahakama nayo inakuja kuthibitisha ukweli usiokuwa na shaka yoyote.
Kwa wenzetu wachina wakiunda tume ikaja na ripoti hakuna kupoteza muda mahakamani. Hukumu inaanza kutekelezwa mara moja
 
Hii taarifa ni feki nasubili ya kamanda silo ndio nitakayo amini😵
nasubili=nasubiri
Silo=Sirro

Unaishi wapi mkuu Sirro mwenyewe Ni mtuhumiwa atajichunguzaje? Yaani polisi wafanye uhalifu halafu wajichunguze wenyewe?

Hili raisi alilisema na ndiyo akaagiza Waziri Mkuu kuunda tume maalumu kuchunguza.Sirro mwenyewe nae anasubiri km wewe.
 
Kwa kauli hii, wahukumiwe tu. Hakuna kesi tena ishahidi umeshapatikana wa kutosha
 
Back
Top Bottom