Sirro ndio mtu wa kwanza anapaswa kuachia au kuondolewa kwa lazima kwenye ofisi ya umma.Hii taarifa ni feki nasubili ya kamanda silo ndio nitakayo amini😵
... ha ha ha! Unasubiri taarifa ya mtuhumiwa.Hii taarifa ni feki nasubili ya kamanda silo ndio nitakayo amini😵
... kabisa! And one of the reforms should be establishment of an oversight body to oversee TPF! Hawa manyang'au wanajitendea wapendavyo kwa kiburi hakuna wa kuwahoji; yaani wao ni alpha na omega!Police force should be reformed Tobe police service
nasubili=nasubiriHii taarifa ni feki nasubili ya kamanda silo ndio nitakayo amini😵