Mtwara: Maafisa Saba(7) wa Polisi wafikishwa Mahakamani kwa tuhuma za mauaji ya Kijana aliyekuwa akiwadai zaidi ya Tsh milioni 33.7

Askari aliekimbia ni Zabroni ndio mtu wao wa connection, mara nyingi anakaa kwenye Bar ya shooters akichunguza nani ana pesa za kutosha na kuwatonya kundi lake la kigaidi.
Aiseee kwahiyo hajulikani yuko wapi?
 
Iko kiasi cha pesa kipoje hapo? Hiyo shilingi 80 ya mwishoni inamaana ipi?
 
Yale yaleeee Ya Hamza . inatia hasira sana wamemuua kwasababu wameogopa kwamba wakimuacha hai atakuja kuwamiminia risasi kama zile za Hamza.
Hamza alikosea sana kuwaua hawa wajinga bila kutoa taarifa angetoa taarifa kwanza kuwa anaenda kuua sababu wamemdhulum pesa zake. Ukitaka kujua polisi ni wezi ukishikwa pale kaunta ukiacha mkanda mzuri hauwezi kuupata kamwe.
 
Japokua wewe ni ling'ombe tu, Ila huu mtiririko upo vizuri na wa ukweli
 

Labda walimwambia tutakuuwa akajiongeza
 

 
Mkuu wao ajiuzuru kwa aibu hii
Haiwezekani askari wote hao na bado yupo yupo tu
Hawa wana damu nyingi sana ambazo zinajificha na hizi za wazi
 
Waandishi wa habari walitaka kupata Maelezo ya kilichosababisha mfanyabiashara wa madini afariki akiwa mikononi mwa polisi lakini IGP Sirro akasema yeye yuko kwenye ziara ya Waziri hivyo ni vema waandishi hao wakamuuliza Waziri.

Source: ITV habari
Siro ni kada wa ccm hana jibu zaidi ya kusema uwongo,policeccm imeua watu wengi sana chini ya utawala wa meko na hangaya
 
Utakuta hapo walijiwekea mgao wa 4,820,682
Tamaa imewaponza wanaenda ishia jela na kuacha familia ikiteseka kwasababu ya hela hiyo.
Hapo bado roho ya marehemu haitowaacha salama .
Dah!Mungu tuepushie mana tunakoelekea sasa ni kubaya mauaji yamezidi.
Yameanza kwa raia kwa raia sasa ni walinda usalama wa nchi kwa raia.
Sijui tukimbilie wapi penye ahueni mana tunaowategemea nao wameanza kukengeuka.
 
Hawa wanatakiwa waje watandikwe shaba pale uwanja wa mkapa live na siku hiyo inakuwa mapumziko ili kutoa funzo na inakuwa live tv zote.
 
Mama samiah bado ana entertain huu upuuzi? Ni vyema akamdalisha haraka SIRRO maana umri umemtupa mkono hivyo kila kinachofanyika yeye anaona ni sawa tu…

Jeshi hili chini ya mzee Nyakoro limepoteza ufanisi wake kwa 100%
Toka ameingia madarakani kuna vijana zaidi ya 10 hawajulikani walipo,yeye na meko mulemule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…