Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Muda huu Hizbullah yazichakaza airbases za Israel. China yasema ipo pamoja na Lebanon kujilinda

Sasa mkuu USA baada ya kupeleka hayo mapendekezo ya kusitisha vita hapo UNGA walipokelewaje kwenye hicho kikao
Pendekezo limepokelewa ila bado hawajakaa na kulijadili kwa kina.
Japo upande wa hawa waarabu wao wako tayari kwa lolote yani hawajalizingatia suala la usitishwaji vita.
Ndio maana hata muwakilishi wa Iran alimjibu muwakilishi wa Israel kuwa hata vita ikiendelea wao bado watawaunga mkono Lebanon.
 
Baada ya mashambulizi makubwa hapo jana yaliyofanywa Lebanon na jeshi La Israel kwenye maeneo IDF iliyosema ni zaidi ya 1300.

Muda huu Hizbullah wanarusha mvua ya maroketi kuelekea vituo vya kijeshi vya Israel.
Kwa mujibu wa matangazo hayo ya moja kwa moja makombora mawili kati ya hayo yameangukia baharini uwelekeo zilipo meli za kivita za Marekani kwenye bahari ya Mediterranean.

Waziri wa mambo ya nje ya China amesema taifa lake liko pamoja na Lebanon katika kulinda heshima yake.

Kwa upande wa Uturuki japo vita vimeanza rasimi na kuua watu karibu 500 bado inatoa tahadhari kuwa vita hivi vinatishia kuliingiza eneo zima la mashariki ya kati katika vita vipana z aidi.

Israel attacks Lebanon live: Hezbollah fires missiles at Israeli airbases

ALLAHU AKBARU-TAQYYAYA MTU MOHAMMED; endeleeni hivyo hivyo huku kipigo mnakipata on the ground
 
Back
Top Bottom