Pendekezo limepokelewa ila bado hawajakaa na kulijadili kwa kina.Sasa mkuu USA baada ya kupeleka hayo mapendekezo ya kusitisha vita hapo UNGA walipokelewaje kwenye hicho kikao
Japo upande wa hawa waarabu wao wako tayari kwa lolote yani hawajalizingatia suala la usitishwaji vita.
Ndio maana hata muwakilishi wa Iran alimjibu muwakilishi wa Israel kuwa hata vita ikiendelea wao bado watawaunga mkono Lebanon.