Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Wanakuwa "salama" zaidi wakiwa nje kuliko nyumbani,Tanzania!!!Halafu barabara zote zitafungwa na njia nzima watatapakaa maaskari wenye silaha nzito nzito utadhani wanaenda vitani.
Ni wachache sana wataelewa kwa nini maRais wetu kupakiwa kwenye basi kumekuwa gumzo. Miunguwatu kwenye basi!
Ushawahi kushuhudia msafara ,wakiwa nchini? Ama unaishi "ughaibuni"?Ila kweli kwa zile nyuzi na comments za jana, sisi weusi tuna shida sana sana. Yaani Raisi wa Ujerumani kapanda basi na raia wake wala hawana shida. Waziri mkuu wa New Zealand, Raisi wa Italia, Raisi wa EU n.k... vile vile na huoni malalamiko yoyote. Ndio utajua wengi hatuna exposure, tuna uelewa mdogo, tunapenda ufahari. Hizi ni dalili za udumavu wa akili na sababu kubwa ni lishe duni kabla na baada ya kuzaliwa na wakati wa makuzi yetu.