Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

Muda niliopoteza kwa mtu asiyesahihi unanicost, je naweza pata mke tokea mtandaoni akawa mwema?

Jamaa ana masharti kinoma.. Ungeweka na wewe vigezo vyako..

Mfano:

5.Awe na 24-30 years (Na wewe Sema Umri wako)

6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata (Na wewe sema kama unayo)

7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4 (Na wewe sema Elimu yako)

8.Awe Mrefu sitaki wafupi (Taja urefu wako kama ni milimeta 10 au chini)

Na wao wana machaguo ujue.
Si ndo hapo Sasa?unakuta mtu anahitaji sifa ambazo yeye mwenyewe hana. Na ndo watu wanaopiga kelele kwenye mahusiano wakati wao ndiyo tatizo wanasahau kuwa utamu wa chai sukari.
 
2.Awe na Wazazi wote wawili

Ni aidha ufafanue hapa au utakuwa unawatusi watu waliopoteza wazazi. Hakuna mtu anayependa kubakiwa na mzazi mmoja au kutokuwa nao kabisa. Kifo husababisha yote haya. Kuna watu wamelelewa na mzazi mmoja kwakuwa tu mzazi mwingine au wote walifariki.
 
Pass,tako,mkagera/mrwanda duu wewe naona ni mnyambo . anyways endelea kutafuta wakati unajiandaa kuzeeka hivyo hivyo maana kwa umri unaotaka wewe mwenyewe bila shaka uko 40/above
 
Ni aidha ufafanue hapa au utakuwa unawatusi watu waliopoteza wazazi. Hakuna mtu anayependa kubakiwa na mzazi mmoja au kutokuwa nao kabisa. Kifo husababisha yote haya. Kuna watu wamelelewa na mzazi mmoja kwakuwa tu mzazi mwingine au wote walifariki.
Sijawatusi ila maana yangu awe na walezi wote wawili, siyo mpaka awe mzazi kabisa, watoto waliolelewa na mzazi mmoja wana matatizo, mbaya zaidi wakiwa wamelelewa na mama tu,
 
Sijawatusi ila maana yangu awe na walezi wote wawili, siyo mpaka awe mzazi kabisa, watoto waliolelewa na mzazi mmoja wana matatizo, mbaya zaidi wakiwa wamelelewa na mama tu,
Kwahiyo kama mzazi mmoja alifariki alazimishe ili tu aolewe na wewe? Kwahivi vimasharti vyako utakuwa mojakati ya wanaume wasioweza kumudu purukushani za ndoa.
 
Kwahiyo kama mzazi mmoja alifariki alazimishe ili tu aolewe na wewe? Kwahivi vimasharti vyako utakuwa mojakati ya wanaume wasioweza kumudu purukushani za ndoa.
Asithubutu maana si lazima kuolewa namimi
 
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,

Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi akileta mizengwe nakata tamaa,

Niliwai kuhapa kwamba sitakuja kutafta mwanamke mtandaoni, lakini kumbe wa mtaani ndo hawa hawa wa mtandaoni!

Nikiangalia walionizunguka mtaani au nao wajua hawana vigezo vinavyostahili kuwa mke, ndo maana nikahisi nikitumia platform hii naweza pia nufaika au Kipanua wigo wa suala hili,

Nataka na itapendeza sana nipate mwenza awe na sifa hizi
1.Awe Mkristo
2.Awe na Wazazi wote wawili
3.Awe Hajazaa sitaki single mother
4.Awe anatokea kanda ya ziwa itapendeza akiwa kagera, au mchanganyiko na Rwanda au Uganda,
5.Awe na 24-30 years
6.Awe na Pass ya Kusafiria au awe na vigezo vya kuipata
7.Elimu si Kigezo ila asiwe chini ya Form4
8.Awe Mrefu sitaki wafupi
9.Awe mnene wastan sitaki model, lakin angalizo asiwe na tumbo kubwa wala maziwa yaliyopitiliza, (Hips na nyuma pawe safi kidogo staki flat screen)
10.Rangi ningependelea Maji ya Kunde au mweusi
11.Sitak mtu alo cream au anayejiweka artificial sana, nataka natural
12.Usafi ni Muhim sana

Vigezo vingine vyaweza cheza kidogo au kutotimizwa ila kigezo namba 3,4,8,9,10 ni Muhimu na Mashart kuzingatiwa,

Niko serious kwa ajili ya Ndoa,
Karibu Inbox .
Asante
Tafuta helaaaa
 
Hahhaahaha kwenye vigezo vyako tu inaonekana unaoa muonekano kuliko tabia....

Kua kwanza japo kdg
 
Back
Top Bottom