Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!

Maisha yana balaa...

Ila wanaume wawafikishe wake zao kileleni...

Wanawatesa sana...

Mwanamke kuchepuka ni ngumu sana...
ni kweli ni ngumu Kwanza mwanamke kuchepuka sio starehe Tena ni kama adhabu fikiria majukumu alokuwanayo kifmilia Bado anawaza asikutwe atafute mazingira yasiyo rahis kuonekana Bado asiwe na amani kuogopa simuna sms za Mchepuko ni kipengele sana Had kuchepuka ujue amejilipua
 
mbona mnachepuka sana.. wanwake kuchepuka rahisi zaidi kuliko wanaume
 
Sasa kama wanaanza ngono darasa la tatu hadi afike chuo unadhani kapakia abiria wangapi kwa mabus mangapi we nani umridhishe.
Kwa uchumi huu mbovu.
Wakanyagwe tu
 
Umridhishe mwanamke Kwani mpo kwenye mashindano ya ngono.
Kadri mnavyoishi kwa sababu ya majukumu ndivyo kiwango Cha ufanyaji ngono kinavyopungua.
Ulizoea nne uchumbani Leo una miaka 15 ya ndoa kwa kiwango hicho hicho utaweza kweli.Hapo bado mwenzio ajakukera
 
Mimi niliwapelekea wanawake kadhaa moto sana, wao wenyewe wakaniambia sina utu nanikawa na lalamikiwa sana.

Baadhi yao waliniacha na wengine niliwaacha mimi.

NILICHO JIFUNZA KWAO NI KWAMBA HAKUNA MWANAMKE ANAYERIDHIKA
 
Wewe utakua mchuga.. punguza chabo mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…