Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!

Muda si mrefu dada zetu watahitaji mume zaidi ya mmoja ili angalau kukidhi haja ya tendo!!

Mwanamke anaweza fake orgasm, kuguna ki wizi wizi, kusifia uongo ili ujione kidume..

asichoweza fake ni ule uchovu nyan'ga nyan'ga nusu kuzirai kama kweli kapewa show... hakikisha unatembeza pipe ukimaliza zipite dakika 15-20 hanyanyui ata kidole au alale kabisaa hii ndo hua litmus test yangu šŸ˜‚

Nb; hilo kundi nahisi ni watoto wa late 90s mpaka 2000s upwards mana wanaathirika na mitandao zaidi, vijana early 90s, 80s huko wengi show show!
 
Kinachowaumiza wanaume kwa sasa ni uchumi duni na stress za maisha. Huwezi kumridhisha mwanamke wakati una buku tano mfukoni na hujui kesho utaamkaje.
Hiyo siyo sababu.

Mimi ni mwanaume na huwa nachacha balaa lakini dula-kichwa-mdeko huwa hajali status yeye ni mwendo wa game after game
 
Hio kama humridhishi mkeo ni wewe na matatizo yako hakuna cha muda kufika mwanamke kuwa na wanaume zaidi ya mmoja akiamua kuwa nao hata kama unamridhisha hizo sio shida zake we kama una matatizo angalia jins ya kuyamaliza siamini sana tafiti mnazozifanya kwamba chips zinamfanya mwanaume kuwa legelege kama ulizaliwa legelege utakuwa hvyo hadi mwisho usitumie hoja za kip'"'"vu kusupport ujinga napinga kwa asilimia zote kama mkeo unaona humridhishi tutakusaidia wanaoweza kuridhisha THAT IS

Ashakum si matusi [emoji4]
 
Hongera mkuu, umejitune vizuri. Nikiwa na tension ya mambo ya pesa nakuwa likizo kwa mda.
Mkuu sili baga wala kihepe.

Mbogamboga, ngogwe, bamia kwa wingi kuliko hata ugali ndo mwendo wangu
 
Mwanaume unapokuwa faragha unatakiwa uwe katili,piga show hadi kutoke Moshi mweusi na mwekundu
 
masculinity subject lazima tuanze kuwafundisha watoto wetu

mwanaume anatengenezwa

men are born to suffer

mwanangu Ethan yupo kindergarten but anakula mafunzo ya TPDF mdogo mdogo kila kitu kinaenda kwa push up siwez lea upumbavu feminist watasema ni mateso kwa sabb tupo kweny pandemic ya feminism

ur son need strong father figure
"Raizo my son life is combat" siyo maneno yangu alisema mwalimu Ozunu akimuhasa Raizo.
 
Mkuu sili baga wala kihepe.

Mbogamboga, ngogwe, bamia kwa wingi kuliko hata ugali ndo mwendo wangu
Tatizo sio chakula, tatizo ni mindset. Project zangu haziendi nianze kuiwazia K siwezi.
 
Tatizo sio chakula, tatizo ni mindset. Project zangu haziendi nianze kuiwazia K siwezi.
Unapokuwa arena you just close the door and leave the world outside without an inch of its feelings
 
Mi mwenyewe nimekwisha mwambia mke wangu atafute bwana wa kumridhisha. Mimi mwenyewe kimoko chali. Haya yapo wakuu
 
Mentality ya kimaskini yaan unaangaika kumridhisha mwanamke...kuna level yamaisha ukifikia hauwezi kabisa kuwaza mambo ya kumridhisha mwanamke
 
Back
Top Bottom