Umeandika point kubwa, hawa wanafia dini kwenda kwa Allah! basi watakufa sanaShida hata huyu mwandishi mwenyewe anaamini Hamas wanapigania Dini yao
Sababu Dini yao pamoja inawafundisha Wayahudi ni Maadui wao na Wakristo.
Guerilla war haipigwani Urban area karibu na wananchi akajifunze ANC na Makaburu, Samora Machel na Portuguese na vita za Angola
Vita ya Hamas na Israel ni ya kidini zaidi ndio maana mmoja anaopt misamiati ya Dini yao akiamini watu kufa wengi ni kupata Huruma na Kuhamsha wafia dini kupambana
Hawa watu wamechanganyikiwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia, brainwashing ni mbaya sana yaani unapandikizwa maneno inafika muda unaona unaweza kufanya chochote kwa mtu yyte ili hali huna huo ubavu.Nimeipata hii video ambayo inaonyesha Huyu Isalamis mwanamke anamchoma kisu Askari wa Israel baada ya hapo akachezea kichapo cha maana
Hebu faidini hiyo sinema; maana hii mijitu si ya kuionea huruma
View attachment 3043171
The Messenger of Allah(ﷺ) said, "The Last Hour will not come until the Muslims fight against the Jews, until a Jew will hide himself behind a stone or a tree, and the stone or the tree will say: 'O Muslim, there is a Jew behind me. Come and kill him,' but Al-Gharqad tree will not say so, for it is the tree of the Jews."inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Huu ni ujinga wa hali ya juu uliojazwa kichwani mwako! ... Hamas wanapigania dini waipeleke wapi? kabla ya taifa la Israel kuundwa Palestina ilikuwa inakaliwa na dini moja? walikuwepo waislamu, mayahudi na wakristo pia mbona hatukuona wakipigana? for centuries hawa watu waliishi pamoja kwa amani hapo!Hamas hawapiganii uhuru wa wapelestina wale wanapigania dini. Wangekuwa wapigania uhuru wasingeenda kujificha katikati ya raia.
Naomba unitajie wapigania uhur ambao walikuwa wanajificha katikati ya wananchi anaowapigania?
Siku watu wenye misimamo mikali ya dini wakiacha kuwatumia wananchi wa gaza kwa manufaa ya kidini ndo amani ya kweli itapatikana.
Hiyo ni state of no return! ... hujui amepoteza nini na nani huyo mtu!Hawa watu wamechanganyikiwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia, brainwashing ni mbaya sana yaani unapandikizwa maneno inafika muda unaona unaweza kufanya chochote kwa mtu yyte ili hali huna huo ubavu.
Hii ndo propaganda uliopandikizwa kichwani mwako, waislamu wangekuwa wanataka kuwaua mayahudi wangefanya hivo toka enzi za Ottoman, wametawala kwa karne ngapi ardhi ya Palestina? waliuliwa wayahudi?Waacheni wapelestina wapiganie uhuru wao bila kuingiza itikadi za kidini. Kama mnataka kuwaua wayahudi tengenezeni jeshi la kidini likapigane nao siyo kutumia wapelestina wasio na hatia.
Wanaojiita 'civilized world ' walishakosea toka awali....wao walisema Israel ina haki ya kujilinda wakasahu huko kujilinda kuna mipaka yake.
Kwa unyama uliofanyika hapo Gaza sidhani kama kuna hiyo inayoitwa 'International law order ' bado ipo.
Ni haki yako kusema nimepandikizwa propaganda wakati kila kitu kiko wazi dunia ya leo ni kinaonekana. Mimi sisubiri mtu aje anisimulie ila natafuta taarifa vyanzo mbalimbali vya habari na kufanya ulinganisho.
Kabla ya Ottoman kulikuwa na utawala gani? Je, kama nimezeshwa propaganda hakuna maandiko ya kiislamu ambayo yanahimiza kuwaua wayahudi na kwamba kuna kipindi hadi miti na mawe itakuwa inawaonesha waisalmu myahudi alipo ili wamuue?
Je, preamble ya hamas tawi la muslim brotherhood haisemi kwamba israel itaendelea kuwepo hadi pale uslamu utakapoiangamiza? Je, Iran haijwahi kusema hadharani kwamba wanataka kuifuta Israel kwenye uso wa dunia? Unaijua Ideology ya Hezbollah? Nani anawafadhili kijashi Hamas na vikundi vingine kama hivyo? Iran inanufaika vipi na uhuru wa wapelestina?
Wewe ndo uliyemezeshwa propaganda unakuja kuzimwaga kwangu.
Waacheni wapelestina na wayahudi watatue mgogoro wao acheni kuingiza imani zenu kwenye masuala yasiyohitaji imani.
Acha uongo, kila kitu kiko kwenye Quran yenu ya Kishetani, ona hapa chiniHii ndo propaganda uliopandikizwa kichwani mwako, waislamu wangekuwa wanataka kuwaua mayahudi wangefanya hivo toka enzi za Ottoman, wametawala kwa karne ngapi ardhi ya Palestina? waliuliwa wayahudi?
Hivi huoni kama migogoro mingi hapa duniani kuwa kuna western influence nyuma yake? na wala wao hawafanyi kwa malengo ya kidini, infact wao siku zote hudai kupeleka Demokrasia pale wanapokwenda kupachafua, na wazawa waki-protest huambiwa ni magaidi ya kidini yanayopigania dini.
Kwanini Hamas hawaji kupigania dini Afrika then? Hiyo dini wanaipigania kwenye ardhi yao tu?
Ni haki yako kusema nimepandikizwa propaganda wakati kila kitu kiko wazi dunia ya leo ni kinaonekana. Mimi sisubiri mtu aje anisimulie ila natafuta taarifa vyanzo mbalimbali vya habari na kufanya ulinganisho.
Kabla ya Ottoman kulikuwa na utawala gani? Je, kama nimezeshwa propaganda hakuna maandiko ya kiislamu ambayo yanahimiza kuwaua wayahudi na kwamba kuna kipindi hadi miti na mawe itakuwa inawaonesha waisalmu myahudi alipo ili wamuue?
Je, preamble ya hamas tawi la muslim brotherhood haisemi kwamba israel itaendelea kuwepo hadi pale uslamu utakapoiangamiza? Je, Iran haijwahi kusema hadharani kwamba wanataka kuifuta Israel kwenye uso wa dunia? Unaijua Ideology ya Hezbollah? Nani anawafadhili kijashi Hamas na vikundi vingine kama hivyo? Iran inanufaika vipi na uhuru wa wapelestina?
Wewe ndo uliyemezeshwa propaganda unakuja kuzimwaga kwangu.
Waacheni wapelestina na wayahudi watatue mgogoro wao acheni kuingiza imani zenu kwenye masuala yasiyohitaji imani.
Hii vita ya Ghaza ndiyo inatutambilisha wanafik ni kina nani duniani.inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.
Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.
Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.
Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.
Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande
An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza
Tarehe 7 oktoba 2023 mlikuwa mnakata mauno na kubweka Allah akbar allah akabar. Sasa hivi hata hiyo Allah akbar mna bweka kwa kujikaza na kujilazimisha huku mmebanamarinda.Hii vita ya Ghaza ndiyo inatutambilisha wanafik ni kina nani duniani.
Hii siyo vita ya Waislam na wasio Waislam, hii ni vita ya ardhi ambayo kwa bahati nzuri wamiliki wengi ni Waislam.
Mpaka sasa tumeona Wayemeni, Wairan, Wasyria, Walebanon na baadhi ya Wairaq ndiyo wamejitpolea kwa hali na mali.
Wanafik wengine wote wameufyata.
Hapa ndo mnapokuwa mnachukuwa vitu out of context, either kudanganya watu ama nyinyi kuendeleza mlicho danganywa! ... hii hadithi ni katika dalili za kiama pia ni utabiri wa nini kitatokea huko mbeleni. In short, when this has happened then one should know that on hour is just around the corner.Acha uongo, kila kitu kiko kwenye Quran yenu ya Kishetani, ona hapa chini
Huyu islamist Taqqya ndiyo waliyofunzwa yaani kusema uongo ili mradi wanautetea uislam
View attachment 3043973
Akili za madrasa hizoMzee wiki iliyopita si ulileta uzi hapa namna gani Israel amepigika huko Gaza? Leo unajiliza nini tena shehe wangu.
Kwanza hiyo vita haituhusu....wamfufue Joshua waliemuuwa kikatili ndo tuwaunge mkonoTarehe 7 oktoba 2023 mlikuwa mnakata mauno na kubweka Allah akbar allah akabar. Sasa hivi hata hiyo Allah akbar mna bweka kwa kujikaza na kujilazimisha huku mmebanamarinda.
Mlolongo Mzee makoti Adiosamigo Jagina babu na mjukuu Mamlukii Ritz
Kama ulivyobarikiwa wewe ?Tutaijadili wakati nakupatia barka-tul!
Mimi ndiyo mtoa baraka.Tulia na ufuate maelekezo usije kukosa baraka.Kama ulivyobarikiwa wewe ?
Kwahio unataka waoane kama kwenu mnapooana wanaume kwa wanaume na kinyume chake?Nchi za kiislamu zilizojaa wanaume wanawaza kuoa wake wanne na kuacha kwa talaka. Kisha waoe wengine. Ndio hao unataka wamkemee ama wapigane na muisrael.
Mamamae watachinjwa kama kuku. Myahudi huwa halei wazembe