Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Umeandika point kubwa, hawa wanafia dini kwenda kwa Allah! basi watakufa sana
 
Nimeipata hii video ambayo inaonyesha Huyu Isalamis mwanamke anamchoma kisu Askari wa Israel baada ya hapo akachezea kichapo cha maana
Hebu faidini hiyo sinema; maana hii mijitu si ya kuionea huruma
View attachment 3043171
Hawa watu wamechanganyikiwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia, brainwashing ni mbaya sana yaani unapandikizwa maneno inafika muda unaona unaweza kufanya chochote kwa mtu yyte ili hali huna huo ubavu.
 
The Messenger of Allah(ﷺ) said, "The Last Hour will not come until the Muslims fight against the Jews, until a Jew will hide himself behind a stone or a tree, and the stone or the tree will say: 'O Muslim, there is a Jew behind me. Come and kill him,' but Al-Gharqad tree will not say so, for it is the tree of the Jews."
 
Huu ni ujinga wa hali ya juu uliojazwa kichwani mwako! ... Hamas wanapigania dini waipeleke wapi? kabla ya taifa la Israel kuundwa Palestina ilikuwa inakaliwa na dini moja? walikuwepo waislamu, mayahudi na wakristo pia mbona hatukuona wakipigana? for centuries hawa watu waliishi pamoja kwa amani hapo!

Unauliza mpigania uhuru gani alijificha katikati ya watu! ... swali la kijinga kabisa hili ... unajua maana ya kupigania uhuru? au unadhani mapigano ya uhuru ni kama democratic elections? ... au je hao watu wanaojificha katikati yao hawana midomo? au hawajui kama kuna watu wanajificha katikati yao? ... Hivi unajua hata Mandela na chama chake waliitwa magaidi kabla kuitwa mashujaa? ... Hivi unajua kama Mandela alibakia kwenye list ya magaidi ya USA mpaka 2008 walipojiridhisha kuwa sio threat kwao tena?

Come on bro, za kuambiwa changanya na zako basi!
 
Hawa watu wamechanganyikiwa wanahitaji msaada wa kisaikolojia, brainwashing ni mbaya sana yaani unapandikizwa maneno inafika muda unaona unaweza kufanya chochote kwa mtu yyte ili hali huna huo ubavu.
Hiyo ni state of no return! ... hujui amepoteza nini na nani huyo mtu!
 
Waacheni wapelestina wapiganie uhuru wao bila kuingiza itikadi za kidini. Kama mnataka kuwaua wayahudi tengenezeni jeshi la kidini likapigane nao siyo kutumia wapelestina wasio na hatia.
Hii ndo propaganda uliopandikizwa kichwani mwako, waislamu wangekuwa wanataka kuwaua mayahudi wangefanya hivo toka enzi za Ottoman, wametawala kwa karne ngapi ardhi ya Palestina? waliuliwa wayahudi?

Hivi huoni kama migogoro mingi hapa duniani kuwa kuna western influence nyuma yake? na wala wao hawafanyi kwa malengo ya kidini, infact wao siku zote hudai kupeleka Demokrasia pale wanapokwenda kupachafua, na wazawa waki-protest huambiwa ni magaidi ya kidini yanayopigania dini.

Kwanini Hamas hawaji kupigania dini Afrika then? Hiyo dini wanaipigania kwenye ardhi yao tu?
 
SI ni juz tu hapa mlikua mnafurahia, mkaambiwa, msije mkaanza kulia kibao kikigeuka, mkawa mna bisha
 
Wanaojiita 'civilized world ' walishakosea toka awali....wao walisema Israel ina haki ya kujilinda wakasahu huko kujilinda kuna mipaka yake.

Kwa unyama uliofanyika hapo Gaza sidhani kama kuna hiyo inayoitwa 'International law order ' bado ipo.

Kwèñye vita Hakuna Sheria
Hizô zinazoitwa Sheria NI siasa tuu.
 

View: https://x.com/VividProwess/status/1809699525809827866
 
Acha uongo, kila kitu kiko kwenye Quran yenu ya Kishetani, ona hapa chini

Huyu islamist Taqqya ndiyo waliyofunzwa yaani kusema uongo ili mradi wanautetea uislam
 
Hii vita ya Ghaza ndiyo inatutambilisha wanafik ni kina nani duniani.

Hii siyo vita ya Waislam na wasio Waislam, hii ni vita ya ardhi ambayo kwa bahati nzuri wamiliki wengi ni Waislam.

Mpaka sasa tumeona Wayemeni, Wairan, Wasyria, Walebanon na baadhi ya Wairaq ndiyo wamejitpolea kwa hali na mali.

Wanafik wengine wote wameufyata.
 
Tarehe 7 oktoba 2023 mlikuwa mnakata mauno na kubweka Allah akbar allah akabar. Sasa hivi hata hiyo Allah akbar mna bweka kwa kujikaza na kujilazimisha huku mmebanamarinda.

Mlolongo Mzee makoti Adiosamigo Jagina babu na mjukuu Mamlukii Ritz
 
Acha uongo, kila kitu kiko kwenye Quran yenu ya Kishetani, ona hapa chini


Huyu islamist Taqqya ndiyo waliyofunzwa yaani kusema uongo ili mradi wanautetea uislam
View attachment 3043973
Hapa ndo mnapokuwa mnachukuwa vitu out of context, either kudanganya watu ama nyinyi kuendeleza mlicho danganywa! ... hii hadithi ni katika dalili za kiama pia ni utabiri wa nini kitatokea huko mbeleni. In short, when this has happened then one should know that on hour is just around the corner.

Nini kitasababisha hiyo vita sasa hilo ni jambo jengine kabisa, ila kuna kila evidence kwamba sababu sio just a mere fact kwamba eti hawa ni mayahudi basi lazima tuwaue.

Kama wewe unaelewa hii kuwa ni amri ya waislamu kuua wayahadi then how do u reconcile it with the fact that Mtume Muhammad (SAW) hakuwauwa mayahudi licha ya kuwa walikuwa wapo wa kutosha katika ardhi ya waislamu?. Sio yeye tu hata maswahaba zake baada yake wahakufanya hivo?

Basi hata pia na historia hii ya juzi tu huioni? Yahudi gani aliuliwa na Ottoman empire wakati wote walikuwa chini ya utawala huo? acha kuuliwa ushawahi kuona hata historia ya wao kuteswa na waislamu katika tawala za kiislamu just kwa sababu ya uyahudi wao?
 
Wapiganaji wa Gaza wanatakiwa wakome tena wakome kabisa kuichokoza "Nchi Taifa Teule"
Wanapaswa kujutia maamuzi ya kuwachokoza wana wa Mungu 😌
 
Nchi za kiislamu zilizojaa wanaume wanawaza kuoa wake wanne na kuacha kwa talaka. Kisha waoe wengine. Ndio hao unataka wamkemee ama wapigane na muisrael.

Mamamae watachinjwa kama kuku. Myahudi huwa halei wazembe
Kwahio unataka waoane kama kwenu mnapooana wanaume kwa wanaume na kinyume chake?
Mwanamke anatakiwa aolewe na mwanaume sasa nyie mnaoana wenyewe kwa wenyewe wajinsia moja dah😓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…