usawa wa kulia
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 454
- 154
jk hakuna kutoa msamaha kwa hawa wabakaji.kuna majitu humu yanajidai yana huruma wkt hayajui machungu waliyoyapa wale watoto,mmoja ni jirani yangu,walimuharibu vibaya sana.
atakuwa zzk
labla awe raisi wa mpododo wako kenge wewe
Amina. Umesema yote na mimi nafahamu hivyo, hawasingiziwi hata tone. Wanaodai eti hao wahalifu wamesingiziwa hawakufuatilia mwenendo wa kesi ile. Ilionekana dhahiri walifanya na kwa vitendo vile ingefaa wanyongwe kabisa. Hivi mtoto wako afanyiwe vitendo kama vile halafu usikie Rais wako eti kamsamehe utajisikiaje?
Tutamtoa tu maana ukawa iko njia moja!!!!!!!
mpuuzi kabisa wewe, f.a.l.a hawa watu wamesingiziwa mm nina binti namjua sinza alinambia ilivyokua alikua 1 kati ya mashahidi wa uongo....
wewe ni K.U.M.A unaongea usiyoyajua, hajahusika kasingiziwa
Jamani si kweli kyfungwa kwa babu seya JK anausika waliwanajisi kweli na laiti wewe yngekuwa wewe umefanyiwa ungeomba wewe ndio umsamehe kwanza na sio rais ambaye watu wamemsingizia.Mimi nilukuwa nakaa jirani nao na walukuwa wanaingiza hao watoto na kuwafanyia mambo ya kishenzi kwa kuagizwa na mganga wa kuenyeji ili mambo yao yanyooke.Kama anamsingizia JK atoke adharani au aandike kwa haki za binadam wamtetee.Hata hivyo ungekuta kaonewa ungekuta akina Lissu na wenzake walishaibebea bango.Mimi JK sio baba yangu wala sio nini ila watu wanajua kusema vitu wasivyovijua
Ina maana wewe huwezi soma alama za nyakati???
Yes nyumbani kwangu Tanzania,vinginevyo tutavaa combat tuingie msituni-kuikomboa nchi hii na umasikini tunaitaji maamuzi magumubibie yaani wewe baada ya kusoma hizo alama zako za nyakati umegundua anakaribia kuwa rais wa nyumbani kwako
Jamani si kweli kyfungwa kwa babu seya JK anausika waliwanajisi kweli na laiti wewe yngekuwa wewe umefanyiwa ungeomba wewe ndio umsamehe kwanza na sio rais ambaye watu wamemsingizia.Mimi nilukuwa nakaa jirani nao na walukuwa wanaingiza hao watoto na kuwafanyia mambo ya kishenzi kwa kuagizwa na mganga wa kuenyeji ili mambo yao yanyooke.Kama anamsingizia JK atoke adharani au aandike kwa haki za binadam wamtetee.Hata hivyo ungekuta kaonewa ungekuta akina Lissu na wenzake walishaibebea bango.Mimi JK sio baba yangu wala sio nini ila watu wanajua kusema vitu wasivyovijua
lakini hapo hapo na mimi pia nina binti ninayemfahamu na hata sasa yupo na atakuwa ameshakua pia anaishi hapo sinza nyuma tu ya hiyo hostel ya udsm ( jina nalihifadhi yasije nikuta ya kamukara mie mtoto wa watu ) ambapo huyo binti alikuwa anahadithia kuwa yeye anachokumbuka ni kuwa alichukuliwa pamoja na wenzake kama wanne hivi kisha wakati wanapelekwa kupimwa kwa daktari ambaye na yeye pia alishapewa maelekezo nyeti na ya kimafia zaidi ni kwamba walivuliwa nguo zao za ndani kisha zile nguo zikapakwa chilli source ili kusudi tu wakipelekwa hospitalini kupimwa basi ionekane kuwa walibakwa na kuumizwa. sasa kama huyu binti alitudanganya ni shauri yake ila ukweli huo alituthibitishia mwenyewe kwa mdomo wake na bahati nzuri mtoto mdogo hua haongopi na ndiyo maana hata mkienda mahakamani na unashindanishwa na mtoto basi jua tu kuwa 95% imekula kwako kwani wanasikilizwa, wanaaminika mno lakini hata psychologically au naturally watoto wako very faithfull. na ili kulithibitisha hili wewe fanya tu kitendo kibaya nyumbani kwako kwa mfano ni baba halafu mkeo kasafiri na ukajitusu kuingiza mwanamke ndani basi kaa ukijua kuwa hata kama utajifanya kumpiga mkwara mwanao kuwa asiseme au ukamuhadaa kwa vijizawadi jua tu kwamba siku akiwa tu amekaa na mama yake ( mkeo ) dogo atafunguka kila kitu na hatimaye kitasanuka. kwa kumalizia tu ni kwamba hili suala la akina babu seya na mwanae papii lina confusions nyinginyingi tu kwa mfano wewe umemtaja " mjomba " kuwa kahusika lakini kuna taarifa kuwa bifu halikuwa la " mjomba " bali ni yule i.g.p wetu mstaafu aishie morogoro na ambaye amejenga bonge la msikiti maeneo ya misufini jirani kabisa na soko la manzese la morogoro na alishawahi hata kukumbwa na kashfa ya kukataa mti wake mzuri wa mbegu aliyoipanda mwenyewe na beki tatu ndani ya 6 * 6 na wengine pia wanahusisha na " mtangaza nia ambaye mpaka jana tunaaminishwa kuwa ameshajikusanyia saini laki 7 na elfu hamsini ". sasa sijui tuamini lipi na tushike lipi labda kuna wengine wanaweza wakawa wanalijua hili hivyo si vibaya na wao tukapata mtazamo au ufahamu wao wa hili suala.
Amina. Umesema yote na mimi nafahamu hivyo, hawasingiziwi hata tone. Wanaodai eti hao wahalifu wamesingiziwa hawakufuatilia mwenendo wa kesi ile. Ilionekana dhahiri walifanya na kwa vitendo vile ingefaa wanyongwe kabisa. Hivi mtoto wako afanyiwe vitendo kama vile halafu usikie Rais wako eti kamsamehe utajisikiaje?
Walifanya kosa kweli, hivi jifikirie angekuwa mtt wako ungefanya nini na hiyo kitu imewaharibu kisaikolojia maisha yao yote, wengine mpaka leo hawawapendi kabisa wanaume.
una uhakika gani M.K.U.N.D.U WAKO WA MOTO,..ushahidi wote watu wanaotoa kua wameonewa bado unamtetea jk au anakupiga MITI
unaumia babu seya kufungwa kwa sababu alikuwa anakufila mfate gerezani akakufile vizuri, ------ nini na kama una ushahidi hajafanya nenda mahakamani ukapinge.
Na huyo bwana wako babu seya hatoki ng'o na yeye atafirwa kama alivyokuwa anawafanyia wtt wetu, kama unauchungu umemkosa bwana wako aliyekuwa anakufira anika matako yako barabarani utapata bwana wa kukufira kama babu seya.
Mshenzi mkubwa wewe