Muda umeisha, Babu Seya ndio basi tena?

Muda umeisha, Babu Seya ndio basi tena?

mimi wameniacha hoi pale walipomfunga hadi yule mtoto wa miaka 18 kifungo cha maisha, wakati kipindi ambacho anadaoiwa kufanya kosa hilo alikuwa na miaka 17 kwa hiyo ilibidi ahukumiwe kama mtoto na siyo mtu mzima, nakumbuka kama sijakosea alikuwa kidato cha pili, halafu kuna mtu humu ameandika kuwa ile familia ilifanya vile kwa maelekezo ya mganga ili wawe matajiri sasa na huyu mwanafunzi alifanya ili awe na akili au maana alikuwa bado hajaanza kujitegemea, halafu inawezekana vipi familia nzima iwe na tabia moja halafu baba awe anafahamu kuwa tabia yake ya kulawiti na wanae pia wanayo na awe anamlipa mwalimu awe anawaleta hao watoto na kuanza kugawana na wanawe kila mmoja na wake, mkuu wa nyumba baada ya kuona kachemka kumfunga hadi mtoto akaamua kumwachia yule dogo ila skakomaa na wengine
 
Unavyoongea kana kwamba wale washenzi walionewa..hivi unajua kwa nini rufaa zote zilibuma? Kwa taarifa yako waliwaambukiza UKIMWI watoto 17..Je huyo Mungu wa Ibrahimu aliwaagiza kufanya hivyo?

hakuna mm nna ushahdi kua walisingiziwa na watoto walioandaliwa watoe ushahdi wa uongo wengne ni ndugu zangu UNAMTETEA ALIYEWAFUNGA AU ANAKUBANDUA NINI M.K.UN.DU WEWE
 
Where we dare talk free

mods mpo au mmelala? tendeni haki ya kimsingi kwa watu wote tafadhali kwani jukwaa hili halijafikiwa watu kutukana matusi makubwa ya namna hii halafu bado tu wanaendelea ku log in. nasisitiza kwenu tendeni haki kwa wote na siyo wote humu ni wahuni kama wengine kwa hizi lugha chafu na zisizovumilika haswa haswa za huyu member.

cc: Invisible kwa utekelezaji na kupima matokeo!
 
Last edited by a moderator:
Adhabu walioipata ni haki yao wala hawajaonewa. Hawa walikuwa wahalifu na wakatili wasiositahili msamaha. Mbona hawasemi kuwa ni waathirika wa HIV na baadhi ya watoto waliofanyiwa hivyo ni victim kwa sasa? Hadi watoto wenu wa kuwazaa wafanyiwe hivyo ndio muone unyama wa hawa washenzi

una uhakika na unacho ongea au umehadithiwa?
 
Kwanini yule mtoto wa nguza alihukumiwa adhabu sawa na ya baba yake then baadaye wakaja kumuachia huru?inamaana mahakama haikujua kama alikuwa under 18?
Sidhani kama kuna mzazi anaweza kushirikiana na familia yake kulawiti watoto .
 
Inafaa wauliwe huko huko jela na sindano ya sumu nimesoma hii mada imenikumbusha machungu makubwa hawa watu ni mbwa, mimi nashangaa watu wanaowatetea.

wewe ni kama nani unayetoa ruhusa wauliwe?jk ni mtu wa visasi mke wake kaliwa nyuchi uko kaamua kuwapakazia kesi kesi ya ubakaji.
tanzania ni zaidi ya uijuavyo
 
Kwani aliyeshtaki ni Raisi, hiyo kesi ni sisi wazazi ndiyo tumefungua na mpaka leo tunauchungu na wtt wetu walivyofanyiwa, kwa kweli ni wauwaji kabisa wengine wtt wetu wamewachukia hata baba zao kwa ajili ya jinsia tu.
uuongo wa wazi kabisa.mwanasheria aliyemtoa mtoto wa nguza gerezani aliweka wazi .tunamjua aliyemweka ndani
 
Peleka ushahidi mahakamani, hatoki ng'o mpaka afie jela mshenzi mkubwa yule.

mkuu povu la nini,nguza so yupo ndani.babu seya ni mjinga anang'ania michepuko ya watu anajifanya ana ubavu
 
Rais ajaye atawasamehe wavimilie mda umekwisha,, wanahaki ya kusamehewa kwani kesi yao ilikuwa utata mtupu
 
Wanamuziki Nguza Viking na Papii Kocha wanaotumikia kifungo cha maisha jela, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasamehe kwa makosa waliyofanya.

Nguza na mwanaye Papii walitoa ombi hilo kupitia wimbo wakati wakitumbuiza katika maadhimisho ya Siku ya Magereza yaliyofanyika Chuo cha Magereza Ukonga jijini Dar es Salaam.

Ombi hilo waliliwasilisha kupitia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe aliyekuwa mgeni rasmi kwenye sherehe hizo ambapo Nguza maarufu Babu Seya na mwanawe, Johnson Nguza (Papii Kocha), walitumbuiza wakiwa na Bendi ya Wafungwa. Walimwomba Waziri Chikawe kufikisha ombi lao kwa Rais Kikwete.

TAARIFA HII NI YA TEREHE 21/JUNI/2014. Mhe. Rais anamaliza muda na juzi alikuwa kule magereza akitunuku nishani. Alisema akisamehe baada ya muda wanaorudi kifungoni ni zaidi ya aliowasamehe.

kwa aina ya jinai waliotiwa hatiani nayo rais hana mamlaka ya kuwasemehe. ikumbukwe kuwa si makosa yote rais anaweza samehe.
 
Kumbe unakaa nje ya dar, ndio maana hujui dunia inaendaje utakaa kila kitu kusimuliwa, mimi aliyefanyiw ni mmoja wa familia yangu, ni mtt wangu sasa niache niongee ukweli tunauchungu kama wazazi na kitendo alichofanyiwa mtt wetu na hujui nina uchungu kiasi gani, naomba kwa Mungu na wewe siku moja yakupate usijie uchungu wake.

Pole mkuu usipende kufuatilia nyuzi za hawa watu kama mzazi natambua unavyoumia.
 
Back
Top Bottom