Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

Muda wa kawaida wa tendo la ndoa ni dakika 3 mpaka 7, fantasy zinaua mahusiano na ndoa za watu

Tuwekane sawa

#Kwanza kabisa zaidi ya 90% ya wanaume wenye shida ya nguvu za kiume ni just psychological / shida ya kisaikolojia tu.

#Pili kwa wanawake Kiuhalisia hakuna mwanaume atakuoa akamaintain huo muda wa tendo la ndoa kama mkiwa kwenye relationship au ukichepuka.

Kuna mambo mengi nyuma ya huo muda kuna kukamia na dawa za nguvu pia

UHALISIA

Tendo la ndoa

Dk 1-2 ni muda mchache

Dk 3-7 ni muda KAWAIDA

Dk 10-30 na kuendelea ni muda mrefu

Mwanamke usimuache mtu wako kisa muda mchache

#Ukimuonesha tu unaridhika na hujali mumeo au mpenzi wako taaratibu ataperfom vizuri

#Ukionesha kutoridhika na kumsema ujue unamuharibu na hatokuja kukaa sawa.
huwa nachezea 6-14 first score nipo kwenye kiwango gani
 
Kumekuchaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu dada ni mtu wa pwani,mapenzi ni somo kubwa sn upande huu and they take care it properly,ukimpata mtu km huyu inabidi ubadilishe mpk mlo wako chips and urojo ondoa Ktk lishe yako,unahitaji protein and kufanya mazoezi otherwise atakukimbia kwakua humfikishi,au aishi na ww tu kwakua unahela then kuna msela pembeni anapiga show ya ukweli
 
Back
Top Bottom