- Thread starter
- #21
Kikosi Kazi ndo kinawakwamisha Chadema kwani kinavyozidi kuchukua muda chadema washindwa kuja na hoja juu yetu tunaokutana na Ndugu TOZO.
Lakini haya ni ya muda tu
Chama tawala hakitaki uanaharakati. Ikumbukwe:
Uanaharakati ndiyo njia pekee ya kuipata katiba ya wananchi
Suala la siasa za kistaarabu ni porojo kwa manufaa ya walamba asali.
Mikakati yetu ya kutuvusha haipaswi kufungamanishwa na walamba asali.