Muda wa mapinduzi vyamani ni sasa

Si ulikuwa unaimba CCM mbele kwa mbele? Isome namba sasa? Hamia umoja party
 

Tulipo hoja hizi zinaishi. Tunaochoshwa na hali hizi tujuane. Ilikuwa kwa sababu kama hizi kulikuwa na PAC na ANC. Chris Hani kutokea PAC akawa mkuu wa Umkonto we Sizwe, yaliyokuwa majeshi ya ANC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…