kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Itapendeza sana.Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Akiondolewa wewe utapata faida gani? Zaidi ya umasikini utazidi kumuandama Tu?Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Namuondoa mimi au aliyemteua naona magimbi yanafanya kazi tumboni!Akiondolewa wewe utapata faida gani? Zaidi ya umasikini utazidi kumuandama Tu?
Ni mtanda si mtaka!Kweli mumempania Mtaka😂 mwana yanga imaraView attachment 3159276
Wewe ukijikita kujadili hayo inatosha sisi tuachie burudani kati kati ya shida!Ugali umewadumaza Watanganyika mtu aondolewe kisa ma mipira daah mmesahau kabisa mabilioni yanayolipwa huko kwenye Mahakama za Nje na hamtaki kujadili hili ninyi na hutu alikua uwanjani au alikua Nje..
Vili wala rushwa? nchi imejaaa wajinga sana hii, yaani Kutwa nzima ni Yanga na Simba, wajinga hawawazi jambo jingine lileHizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Mimi nipo kwenye mpira ila kitu ambacho haujui ni kuwa huyo ni Usalama wa Taifa kwa level ya Mkoa akitoka hapo ni Ubalozi nje huko hakuna kitu unamwombea njaa huyo ni Udumavu tu ndio unawafanya hivyo...hakuna kitu kibaya kama Udumavu wa Akili ndio janga la Taifa letu.Wewe ukijikita kujadili hayo inatosha sisi tuachie burudani kati kati ya shida!
Harafu tunalalamika kwa nini watu ni masikini hawatumii haya majukwaa kutaka kujikwamua wao wapo busy na ujinga ujinga tu utadhani wamerogwa..Vili wala rushwa? nchi imejaaa wajinga sana hii, yaani Kutwa nzima ni Yanga na Simba, wajinga hawawazi jambo jingine lile
oleNamuondoa mimi au aliyemteua naona magimbi yanafanya kazi tumboni!
Anza kuhesabu hao wakuu wa mikoa waliopewa ubalozi ufikishe watano na ujuha wako usalama wa taifa umebana pua!Mimi nipo kwenye mpira ila kitu ambacho haujui ni kuwa huyo ni Usalama wa Taifa kwa level ya Mkoa akitoka hapo ni Ubalozi nje huko hakuna kitu unamwombea njaa huyo ni Udumavu tu ndio unawafanya hivyo...hakuna kitu kibaya kama Udumavu wa Akili ndio janga la Taifa letu.
Aliyemteua ndie anayemtengua!Watanzania tuache Roho Mbaya! tupendane na tutakiane kheri! tusiishi kama Banyamulenge hata akiondolewa ww utapata faida gani? labda kama utapata wewe baada yake.