kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
- #21
Kama kodi aliyokulipia inakwisha mwezi mkatikie vizuri akupe fungu la mwisho!Jifunze kuwaza mema kwa wenzako vinginevyo wewe ni mchawi kama wachawi wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kodi aliyokulipia inakwisha mwezi mkatikie vizuri akupe fungu la mwisho!Jifunze kuwaza mema kwa wenzako vinginevyo wewe ni mchawi kama wachawi wengine.
Harafu=Halafu unamaliza chumvi ulimi bado una magome!Harafu tunalalamika kwa nini watu ni masikini hawatumii haya majukwaa kutaka kujikwamua wao wapo busy na ujinga ujinga tu utadhani wamerogwa..
Hakuna loloteKweli mumempania Mtaka😂 mwana yanga imaraView attachment 3159276
Yes/noHizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Shida umeshadumaa hakuna kitu utaelewa hapa Kipara kipya cha porini..Anza kuhesabu hao wakuu wa mikoa waliopewa ubalozi ufikishe watano na ujuha wako usalama wa taifa umebana pua!
Wapeleke mahakamani kama una uchungu sana!Vili wala rushwa? nchi imejaaa wajinga sana hii, yaani Kutwa nzima ni Yanga na Simba, wajinga hawawazi jambo jingine lile
Hata hivyo najitahidi sana muda wote nipo na Wazulu na Afrikaans kwenye kazi zangu...wadumavu kama wewe hawapo kila wakiamka huyu aondolewe aliingia uwanjani..Harafu=Halafu unamaliza chumvi ulimi bado una magome!
Unajijambia mashuzi ndani ya shuka unasikilizia harufu unatuletea habari za vijiweni na kuandika usiyoyajua!Shida umeshadumaa hakuna kitu utaelewa hapa Kipara kipya cha porini..
aondolewe aondolewe utura ni ugonjwa mkubwa sana kwa Watanganyika.
Tumepita level hizo kitambo sana mwenyewe ndio umeingia mjini!Hata hivyo najitahidi sana muda wote nipo na Wazulu na Afrikaans kwenye kazi zangu...wadumavu kama wewe hawapo kila wakiamka huyu aondolewe aliingia uwanjani..
Ndio lugha zenu mliokulia makuzi mabovu..Unajijambia mashuzi ndani ya shuka unasikilizia harufu unatuletea habari za vijiweni na kuandika usiyoyajua!
Unataka kudanganya na huku umepita wapi wewe andika mkuu wa mkoa aondolewe huku upite uende wapi?Tumepita level hizo kitambo sana mwenyewe ndio umeingia mjini!
Tusubiri aliyemteua!Unataka kudanganya na huku umepita wapi wewe andika mkuu wa mkoa aondolewe huku upite uende wapi?
Hizi lugha ndizo tulizofundishwa na wazulu na wafrikaans!Ndio lugha zenu mliokulia makuzi mabovu..
Pia kuna kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa zinaendelea.Ugali umewadumaza Watanganyika mtu aondolewe kisa ma mipira daah mmesahau kabisa mabilioni yanayolipwa huko kwenye Mahakama za Nje na hamtaki kujadili hili ninyi na huyu alikua uwanjani au alikua Nje wiki nzima Wadumavu bhana..
Nilidhani utasema umepita nilikopita ningeomba tuchart kwa lugha za ulikopita kumbe ni wa hapa hapa..Tusubiri aliyemteua!
Kati yetu na anayetumia vibaya madaraka nani ana roho mbaya.Watanzania tuache Roho Mbaya! tupendane na tutakiane kheri! tusiishi kama Banyamulenge hata akiondolewa ww utapata faida gani? labda kama utapata wewe baada yake.
Anatuchanganya huyu Mtaka si yuko Njombe auNi mtanda si mtaka!
Hii tabia ya viongozi kutumia madaraka yao kuwakomoa wapinzani wao inafanyika sana dhidi ya vyama vya upinzani. Viongozi wa ccm wamenogewa na tabia hiyo, taratibu wanaana kuhamishia tabia hiyo kwenye soka. Si muda mrefu tutaanza kuona hata wachezaji wakitekwa kwa maagizo ya viongozi, kama wanavyoagiza wapinzani watekwe ma kupotezwa.Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Naongea Afrikaans ,Zulu, Khosa, Shona,,Nyanja ya Zambia na kichewa cha Malawi vizuri ukiweza chagua lugha yeyote hapo twende sawa..Hizi lugha ndizo tulizofundishwa na wazulu na wafrikaans!
Sina ulimbukeni wa lugha mjomba hizo pande kitambo sana wenyewe tunafahamiana sina muda wa kuchati na mduwanzi!Nilidhani utasema umepita nilikopita ningeomba tuchart kwa lugha za ulikopita kumbe ni wa hapa hapa..