Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Waafrikaans ndio watu gani?Hizi lugha ndizo tulizofundishwa na wazulu na wafrikaans!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waafrikaans ndio watu gani?Hizi lugha ndizo tulizofundishwa na wazulu na wafrikaans!
Nasikia anaenda kuwa mwenezi maana lile guluguja Amos Makalla limechemsha kila likishika mike sera yake ni Tundu Lissu, Mbowe na Chadema hajawahi kuisemea CCM yake.Ramli chonganishi, mtanda ni mtarajiwa wa Nafasi kubwa CHAMANI, lijue hilo
Wakariri stori za vijiweni utawajuwa tu, huwezi kuishi sehemu hata majina yake huyajui.Kama kweli wewe ni baharia na sio mduanzi nitakualika kailicha na mainbeigh ukaone ufalme wangu na kizazi changu hatuna swaga za kujiweka mitandaoni!
Kauli: "kifo ni kifo"Mfano.......
Kwani akiendelea kubaki atapata faida ganiAkiondolewa wewe utapata faida gani? Zaidi ya umasikini utazidi kumuandama Tu?
Wote wanafanana tu kuna waliofurahia kifo cha Magufuli!Kauli: "kifo ni kifo"
Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Hii tabia ya viongozi kutumia madaraka yao kuwakomoa wapinzani wao inafanyika sana dhidi ya vyama vya upinzani. Viongozi wa ccm wamenogewa na tabia hiyo, taratibu wanaana kuhamishia tabia hiyo kwenye soka. Si muda mrefu tutaanza kuona hata wachezaji wakitekwa kwa maagizo ya viongozi, kama wanavyoagiza wapinzani watekwe ma kupotezwa.
Naam anaenda kuchukua hiyo nafasiNasikia anaenda kuwa mwenezi maana lile guluguja Amos Makalla limechemsha kila likishika mike sera yake ni Tundu Lissu, Mbowe na Chadema hajawahi kuisemea CCM yake.
Halikuwa halali refa alitangulia kupuliza kipenga kabla haujapigwa kichwa!Watu wa Simba mna kaswende ya ubongo, badala ya kuwekeza kwenye timu mnamuingiza Rais kwenye upuuzi.
Hebu tueleze lile goli la Pamba walilofunga na kukataliwa ni goli halali au siyo goli?
Kapigwa tukio january mtanda ni nani isiwezekane!Mtanda anatekeleza vizuri majukumu yake na mfumo hauwezi kumtoa kisa kaonyesha unazi dhidi ya Simba.
Haya ni masuala ya kupita hayawezi kupewa kipaumbele kulinganisha na picha ya pana ya utendaji wa Mtanda kiserikali.
MKuu anaitwa Mtanda na siyo MtakaKweli mumempania Mtaka😂 mwana yanga imaraView attachment 3159276
Tafuta nchi ya wenye akili ili ujuike nao au hama nchi.Mimi nipo kwenye mpira ila kitu ambacho haujui ni kuwa huyo ni Usalama wa Taifa kwa level ya Mkoa akitoka hapo ni Ubalozi nje huko hakuna kitu unamwombea njaa huyo ni Udumavu tu ndio unawafanya hivyo...hakuna kitu kibaya kama Udumavu wa Akili ndio janga la Taifa letu.
Puuzi hiloKweli mumempania Mtaka😂 mwana yanga imaraView attachment 3159276
HuyohuyoNi mtanda si mtaka!
Nani?Huyohuyo