Tetesi: Muda wowote kabla mwezi haujaisha Rais kutandika mkeka mpya, Mtanda ajiandae kisaikolojia!

Tetesi: Muda wowote kabla mwezi haujaisha Rais kutandika mkeka mpya, Mtanda ajiandae kisaikolojia!

Potelea pote mwanangu uwe na siku njema bhana..nimecheka sana eti uduanzi wewe kavu sana ujue...
Kama kweli wewe ni baharia na sio mduanzi nitakualika kailicha na mainbeigh ukaone ufalme wangu na kizazi changu hatuna swaga za kujiweka mitandaoni!
 
Friends, ladies and gentlemen,

mabadiliko yoyote serikalini hayaepukiki,
na hufanywa katika nia na dhamira ya kuimarisha utendaji wa serikali na kuongeza ufanisi katika utoaji huduma na kuchochea maendeleo kwa wananchi na si vinginevyo 🐒
 
Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Ramli chonganishi, mtanda ni mtarajiwa wa Nafasi kubwa CHAMANI, lijue hilo
 
Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Mtanda anatekeleza vizuri majukumu yake na mfumo hauwezi kumtoa kisa kaonyesha unazi dhidi ya Simba.

Haya ni masuala ya kupita hayawezi kupewa kipaumbele kulinganisha na picha ya pana ya utendaji wa Mtanda kiserikali.
 
Mimi nipo kwenye mpira ila kitu ambacho haujui ni kuwa huyo ni Usalama wa Taifa kwa level ya Mkoa akitoka hapo ni Ubalozi nje huko hakuna kitu unamwombea njaa huyo ni Udumavu tu ndio unawafanya hivyo...hakuna kitu kibaya kama Udumavu wa Akili ndio janga la Taifa letu.
So what????
 
Vili wala rushwa? nchi imejaaa wajinga sana hii, yaani Kutwa nzima ni Yanga na Simba, wajinga hawawazi jambo jingine lile
Yaani... Huyo Mtanda alififisha kesi ya ubakaji ya mkuu mwenzake wa mkoa...
Mchengerwa alifuta vijiji na vitongoji kisha akapora haki ya wananchi kushiriki kwenye uchaguzi serikali za mitaa...
Lakini Wadanganyika hawakushinikiza wajiuzulu wala kutumbuliwa!
Ila zikiguswa Simba na Yanga walalahoi wanakuja juu! Na system inafanya kuwapumbaza!


Ujinga ni laana!!
 
Hizi ni habari za ndani pasi na shaka muda wowote kutafanyika mabadiliko ya watendaji wakuu wa mikoa,ni mabadiliko ya kawaida ila chanzo ni wengine kulewa madaraka na kuyatumia vibaya na kufanya utoto hao watakwenda na maji.
Angalizo:
Hatujui mabadiliko haya kama yanahusiana na mechi ya Pamba jijivs Simba ssc A.K.A wenye nchi!
Watu wa Simba mna kaswende ya ubongo, badala ya kuwekeza kwenye timu mnamuingiza Rais kwenye upuuzi.

Hebu tueleze lile goli la Pamba walilofunga na kukataliwa ni goli halali au siyo goli?
 
Back
Top Bottom