Mufindi: Afungwa Jela miaka 20 kwa kukutwa na kilo 32 za nyama ya Tandala

Ni kuwapa Mzigo wananchi kulisha bure watu Magerezani

Hizi sheria reforming watu watolewe huko Magerezani ....mambo ya Kikoloni yaliyopitwa na wakati

Busara zitumike TAWA TANAPA TFS nk
Haki haiombwi mkuu. Umeongea kijyonge na kirahisi mno, ilhali mtu ameshakula mvua 20 tayari. Tutaendelea kuongea mpaka lini? Lini tutafanya vitendo?
 
Hii serikali ina sheria za kipuuzi sana. Wageni kutoka nje mfano Waarabu, na watawala ndiyo wanajiona wana haki ya kula wanyama wa porini.

Ila sisi wanyonge tukijaribu tu kuua hao wanyama kwa ajili ya kitoweo, tunaishia kufungwa vifungo virefu magerezani. Huu ni upumbavu.
 
Kutakua kuna lingine nyuma ya pazia
 
Soma habari vizuri,huyu hakuwa na kibali,hao wengine unaowataja itakuwa wana vibali,huyu angekuwa amekata kibali yasingemfika haya.Mnatakiwa muwafahamishe wananchi,kuwa ukifanya biashara ya wanyama pori uwe na kibali,na ukakate kibali na leseni, mahali fulani,ni sawa na dereva aendeshe gari bila leseni,au mfanyabiashara asiwe na leseni,au ufanyekazi ya udaktari bila leseni,uwe na duka la dawa bila leseni,wategemea nini,kama sio kuvunja sheria.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…