Mufindi: Afungwa Jela miaka 20 kwa kukutwa na kilo 32 za nyama ya Tandala

Mufindi: Afungwa Jela miaka 20 kwa kukutwa na kilo 32 za nyama ya Tandala

Soma habari vizuri,huyu hakuwa na kibali,hao wengine unaowataja itakuwa wana vibali,huyu angekuwa amekata kibali yasingemfika haya.Mnatakiwa muwafahamishe wananchi,kuwa ukifanya biashara ya wanyama pori uwe na kibali,na ukakate kibali na leseni, mahali fulani,ni sawa na dereva aendeshe gari bila leseni,au mfanyabiashara asiwe na leseni,au ufanyekazi ya udaktari bila leseni,uwe na duka la dawa bila leseni,wategemea nini,kama sio kuvunja sheria.
Hicho kibali atakipata wapi na wakati hali yake ni ya umasikini? Mnapitisha sheria za kipuuzi za kuwapendelea nyinyi peke yenu, halafu unaleta mambo ya vibali hapa!
 
Wakuu, inawezekanaje kilo 32 za nyama ziwe na thamani ya milioni 7 na ushee? Wataalamu tunaomba ufafanuzi..
Wahuni hao, vibali vya halmashauri haina bei hizo.

Hata vibali vya wizara vya professional hunting kuuwa Simba sidhani kama inazidi USD 5000.

Sina kumbukumbu vizuri nimefanya kazi hunting company na nimewinda local hunting open area hunting blocks na shotgun yangu vibali tunachukuwa halmashauri, hiyo million 7 ndio naishangaa hapa.
 
Utafanyaje biashara bila kufuata sheria.Lazima uwe na kibali,je kama huyu mnyama alikufa kwa ugonjwa ambao ni hatari kwa binadamu,huyu muuzaji ni muuaji,maradhi yakiingia kwa binadamu,na kuuambukiza na kkua watu wengi.
Nchi hii nikiwa Rais nitamwaga sana damu za wengi sana ikiwemo wanaotunga sheria za kujipendelea wao na kuwakandamiza masikini. Nasisitiza, damu nitaimwaga.

Hakuna huruma kwenye nchi yenye double standards.
 
Utafanyaje biashara bila kufuata sheria.Lazima uwe na kibali,je kama huyu mnyama alikufa kwa ugonjwa ambao ni hatari kwa binadamu,huyu muuzaji ni muuaji,maradhi yakiingia kwa binadamu,na kuuambukiza na kkua watu wengi.
Sheria gani zinawahusu masikini peke yao!! Vigogo wa CCM ndiyo wanaongoza kwa ujangili nchini, lakini huwezi kusikia wamehukumiwa vifungo jela, hata pale wanapokamatwa na vielelezo!
 
Utafanyaje biashara bila kufuata sheria.Lazima uwe na kibali,je kama huyu mnyama alikufa kwa ugonjwa ambao ni hatari kwa binadamu,huyu muuzaji ni muuaji,maradhi yakiingia kwa binadamu,na kuuambukiza na kkua watu wengi.
Wewe kama ni Mpemba hakuna ulijuwalo kuhusu nyama pori.

Wenye Leseni za mabucha ya wanyama pori ni wachache sana Tanzania nzima, ila wawindaji wanatumia vibali halali ni wengi.

Binafsi huwezi kunifunga kwa kesi ya kipuuzi kama hiyo, nyama nimenunuwa kwa wawindaji ambao wamewinda kihalali na huu ni msomi wa uwindaji.

Nyama pori tunauziana mtaani kwa ajili ya kitoweo sawa na muuza utumbo au muuza mchicha hakuna kwenye Leseni ya kufanya hizo biashara.

Isitoshe siwezi kukaa kijiji Jirani na game reserve halafu nisile nyama pori wakati hivyo vitoweo katupa Mungu mwenyewe.

Ni sawa na watu wa pwani au ziwani uwaambie kuvuwa Samaki wavuwe kwa kibali ni upuuzi mtupu.
 
Wewe kama ni Mpemba hakuna ulijuwalo kuhusu nyama pori.

Wenye Leseni za mabucha ya wanyama pori ni wachache sana Tanzania nzima, ila wawindaji wanatumia vibali halali ni wengi.

Binafsi huwezi kunifunga kwa kesi ya kipuuzi kama hiyo, nyama nimenunuwa kwa wawindaji ambao wamewinda kihalali na huu ni msomi wa uwindaji.

Nyama pori tunauziana mtaani kwa ajili ya kitoweo sawa na muuza utumbo au muuza mchicha hakuna kwenye Leseni ya kufanya hizo biashara.

Isitoshe siwezi kukaa kijiji Jirani na game reserve halafu nisile nyama pori wakati hivyo vitoweo katupa Mungu mwenyewe.

Ni sawa na watu wa pwani au ziwani uwaambie kuvuwa Samaki wavuwe kwa kibali ni upuuzi mtupu.
Don't waste your time to that dude, man!
 
Huruma na huzuni sana. Hii nchi labda nisiwe Rais. Nitamwaga damu sana.
Hapo unakuta kuna mwigine atakutwa na nyara za mamilioni atakana kosa, atatoka kwa dhamana, kesi itaenda weeeee mwishowe jamhuri itaamua kuachana nayo.
UMASIKINI NI JAMBO BAYA SANA. ANGEKUWA NA HELA HAPO MWANASHERIA ANGESHAMUELEKEZA KWANZA KANA KOSA.
 
Nchi hii nikiwa Rais nitamwaga sana damu za wengi sana ikiwemo wanaotunga sheria za kujipendelea wao na kuwakandamiza masikini. Nasisitiza, damu nitaimwaga.

Hakuna huruma kwenye nchi yenye double standards.
Huyo aliyeuza nyama ya porini,bila kibali,ndio umtetee,ukisikia kibali,ni pamoja na nyama kupimwa na daktari wa wanyama,kua alikufa kibudu,na alikufa na maradhi gani,na pia kama kachinjwa,je hakuwa na maradhi ya kuambukiza binadamu?
Wewe unamtetea muuaji,je kama nyama ina maradhi,na yakaambukiza binadamu,wewe na wenzako wengine,utalaumu serekali,kwa kutoweka sheria ya vibali,baada ya kukaguliwa nyama kabla ya kuuuzwa na kufanywa kitoeo.
 
Hapo unakuta kuna mwigine atakutwa na nyara za mamilioni atakana kosa, atatoka kwa dhamana, kesi itaenda weeeee mwishowe jamhuri itaamua kuachana nayo.
UMASIKINI NI JAMBO BAYA SANA. ANGEKUWA NA HELA HAPO MWANASHERIA ANGESHAMUELEKEZA KWANZA KANA KOSA.
Duuuh! Kumbe kuna kuitwa chemba na kutonywa kabisa kuwa kana kosa?
 
Back
Top Bottom