Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Uchaguzi 2020 Mufti Mkuu wa Waislamu Sheikh Zuberi leo Korogwe mbele ya Rais Magufuli

Halafu watu mlioshikilia issue ya masheikh kipindi hiki naona kama wanafki tu,kwa sababu waislamu wamekuwa wakilalamika masuala mengi tu na kwa muda mrefu ila wanaishia kuambiwa hawana elimu na hupenda kulalamika na kuonekana wanataka kileta machafuko tu,ila sasa et kipindi cha kampeni ndio zinaletwa issue za masheikh wa uamsho na wakati huko nyuma tulikuwa tunaambiwa wale masheikh walikuwa wanafanya machafuko na ndio baada ya wao kukamatwa na uhalifu uliyokuwa ukifanyika umetoweka hivyo serikali imewachikilia kwa sababu za kiusalama hivyo wako sahihi.
 
Hawa mashekh wanafiki wa BAKWATA wanamfanyia hujuma JPM kwa makusudi kwa kuacha kugusia kero za waislamu
Yule ponda anasema wazi wazi kero za waislam na kuvuta hisia zao
Waislamu wengi watapigia kura Lissu
2010 Sheikh Ponda alivyompigia kura muislamu mwenzake Kikwete,je hakumwambia shida za waislamu?
 
Halafu watu mlioshikilia issue ya masheikh kipindi hiki naona kama wanafki tu,kwa sababu waislamu wamekuwa wakilalamika masuala mengi tu na kwa muda mrefu ila wanaishia kuambiwa hawana elimu na hupenda kulalamika na kuonekana wanataka kileta machafuko tu,ila sasa et kipindi cha kampeni ndio zinaletwa issue za masheikh wa uamsho na wakati huko nyuma tulikuwa tunaambiwa wale masheikh walikuwa wanafanya machafuko na ndio baada ya wao kukamatwa na uhalifu uliyokuwa ukifanyika umetoweka hivyo serikali imewachikilia kwa sababu za kiusalama hivyo wako sahihi.
Labda wewe ulikua husikii kwa sababu unasubiri TBC ikuonyeshe

Ukweli ni kwamba
Kila siku ya ijumaa misikiti yote tunachanga hela kwa ajili ya wao na Familia zao isipokua misikiti ya BAKWATA
Kila ijumaa tunapata marejesho ya mateso makali wanayopewa jela
Kila ijumaa tunapata marejesho kuhusu barua tulizowaandikia viongozi wa serikali
Wewe huna Habari labda wewe ni muuminiin wa BAKWATA na Muft
Nani kakwambia wanashikiliwa kwa sababu za kiusalama?
Watu wa nazungumza Sana wakati wa kampeni kwa sababu kuna mgombea ameonyesha uadilifu anasikutishwa na dhulma hizo
Na kuna wengine hawasemi kitu wapo kimya kama vile hakuna kitu
Afadhali wangekiri au kukanusha
Sisi waislamu wa haki kura zetu kwa Lissu
Waislamu wanafiki kura kwa katili
 
2010 Sheikh Ponda alivyompigia kura muislamu mwenzake Kikwete,je hakumwambia shida za waislamu?
Wakati huo 2010 tulikua hatuna kero kama Sasa

Wakati wa Jakaya shule za kiislamu hazikua zikichomwa wala hakuna aliokua jela kwa ugaidi

Akina kinana. Nape. Makamba. Mtambila. Msekwa. Ngudazi n.k waliopigia kampeni CCM kabla, hata wao wapo kimya maana JPM sio muadilifu na amewaaibisha hadi makada wa chama.

Kura yako kwa lissu kiongozi muadilifu.
 
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufunguwa kwa duwa mkutano wa kampeni wanmgombea urais wa ccm na kabla ya kuanza duwa amesema ana mawili kwanza kabla ya duwa.

1. Kukanusha waislamu hawana udini ( hili linahitaji mjadala wake)

2. Amemuomba Magufuli barabara ya kwao imezidi kuwa mbaya vumbi tupu.

Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yepi?

Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.

Ombi hili angelitowa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametowa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.

Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Mufti mbinafsi
 
Wakati huo 2010 tulikua hatuna kero kama Sasa
Wakati wa Jakaya shule za kiislamu hazikua zikichomwa wala hakuna aliokua jela kwa ugaidi
Akina kinana. Nape. Makamba. Mtambila. Msekwa. Ngudazi n.,k waliopigia kampeni CCM kabla, hata wao wapo kimya maana JPM sio muadilifu na amewaaibisha hadi makada wa chama
Kura yako kwa lissu kiongozi muadilifu
Aisee we umezaliwa mwaka gani?
 
Labda wewe ulikua husikii kwa sababu unasubiri TBC ikuonyeshe
Ukweli ni kwamba
Kila siku ya ijumaa misikiti yote tunachanga hela kwa ajili ya wao na Familia zao isipokua misikiti ya BAKWATA
Kila ijumaa tunapata marejesho ya mateso makali wanayopewa jela
Kila ijumaa tunapata marejesho kuhusu barua tulizowaandikia viongozi wa serikali
Wewe huna Habari labda wewe ni muuminiin wa BAKWATA na Muft
Nani kakwambia wanashikiliwa kwa sababu za kiusalama?
Watu wa nazungumza Sana wakati wa kampeni kwa sababu kuna mgombea ameonyesha uadilifu anasikutishwa na dhulma hizo
Na kuna wengine hawasemi kitu wapo kimya kama vile hakuna kitu
Afadhali wangekiri au kukanusha
Sisi waislamu wa haki kura zetu kwa Lissu
Waislamu wanafiki kura kwa katili
Tunakwenda kumalizana na ccm tarehe 28.
 
Wale wapo ndani kama wahalifu wengine na si kwa sbb ni mashekhe wa uamsho. Na kama walitenda makosa hayo kwa kivuli cha dini. Hyo haitoi unafuu wowote kwao. Tunachoamini sisi uwepo wao ndani huku nje jamii yetu imekaa kwa amani.
 
Hili Mufti letu nalo Jinga kweli mm ndio maana nilishaacha mambo ya dini naona ujinga

Kama Viongizi wenyewe ndio hawa kweli utegemee haki ipatikane?
 
Nawashangaa waislam mnaomuongelea vibaya Mufti wakati mtume wa allah aliagiza muheshimu na kuwafata viongozi hata kama ni mtu mweusi mwenye kichwa kama zabibu

Allah's Messenger (ﷺ) said, "You should listen to and obey, your ruler even if he was an Ethiopian (black) slave whose head looks like a raisin."Sahih
 
Hili Mufti letu nalo Jinga kweli mm ndio maana nilishaacha mambo ya dini naona ujinga
Kama Viongizi wenyewe ndio hawa kweli utegemee haki ipatikane ?
Huyu si muft wetu huyu ni muft wa BAKWATA tu wewe endelea na ibada zako wanafiki wasikuyumbishe
Kura za waislamu wa haki kwa lissu
Wanafiki kwa katili
 
Kisheria Mufti ni kiongozi wa waislamu wote Tanzania.

Uamsho ni movement tu ndani uislamu.

Ni kama wanakarismati au wanamaombi ndani ya kanisa katoliki.

Huu ni ushahidi tosha ccm bado hamyajui madai wala matatizo ya waislamu.

Kwa hili la leo umma wa kiislamu Tanzania utazidi kumuunga mkono Sheikh Ponda kwa sababu hasimami kwenye batili bali haki.
Sio kisheria sema kimazoea na kisiasa!

Bakwata ni kikundi kama cha Tawla au cha TGNP,

Ni kikundi cha hiyari

Bakwata imeanzishwa kwa sheria ipi?
 
Back
Top Bottom